mimi" data-source="post: 35381504" class="bbCodeBlock bbCodeBlock--expandable bbCodeBlock--quote js-expandWatch">
Hbr,nahitaji kubadilishana na mwalimu aje wilaya ya morogoro mimi niende shinyanga manispaa idara secondary

Maswa vipi mkuu??? Ukiwa tayari tuwasiliane..0743 251125


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Guys mimi ni mwalimu mwenzenu japo sio wa primary wala secondary. Ila mrs wangu ni mwalimu wa sec. Natamani sana kuwaunganisha walimu wote tanzania nzima ili kuwaletea umoja na mshkamano ambao ni solid. Kwa maana ya kwamba wanaweza kujadili jambo kuwahusu na wakawa na msimamo mmoja nchi nzima.
Kwa watakaopenda kabla ya kujiunga download app inaitwa telegram kwanza kupitia link hii hapa Download it here: Telegram – a new era of messaging
Baada ya kuipata app ya telegram nakuomba ujoin kwa kuclick hii link hapa chini
TANZANIA ALL TEACHERS ASSOCIATION
Basda ya hapo endelea kumshirikisha walimu wenzako wote walio kwenye contsct phone book ya simu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ili ugundue nini?
 
NJOO KIGOMA(KAKONKO) MIMI NIJE MOROGORO, DODOMA, SINGIDA, PWANI, DAR AU ARUSHA.
IDARA: ELIMU MSINGI.
SIMU:0656466114
 
Back
Top Bottom