Martine Anastazi
Member
- Oct 4, 2017
- 16
- 12
Ukishahamia huku ni rahis kupata wa bukoba..kama upo tyr tuwasiliane 0765952390
ppole wapi tena huko ulikoJamani hii issue imekaaje? Maana mimi nilikamilisha hatua zote na mwenzangu akahamia niliko tangu 2018 lakini mimi sipewi kibali, na nimepeleka nakala mara 2 kwa Katibu Tawala, mara 2 tena kwa Katibu Mkuu TAMISEMI tena pamoja na vivuli hadi vya kibali cha mwenzangu ila bado wamegoma, au ndio mkono mtupu haulambwi??
Daah! Rushwa imekita mizizi zaidi ktk huduma za serikali zama hizi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Masomo gani mkuu? Nenda Bariadi hutojuta mkuuHbr,nahitaji kubadilishana na mwalimu aje wilaya ya morogoro mimi niende shinyanga manispaa idara secondary
Bariadi hapana
Mbona group lina member wawiliGuys mimi ni mwalimu mwenzenu japo sio wa primary wala secondary. Ila mrs wangu ni mwalimu wa sec. Natamani sana kuwaunganisha walimu wote tanzania nzima ili kuwaletea umoja na mshkamano ambao ni solid. Kwa maana ya kwamba wanaweza kujadili jambo kuwahusu na wakawa na msimamo mmoja nchi nzima.
Kwa watakaopenda kabla ya kujiunga download app inaitwa telegram kwanza kupitia link hii hapaDownload it here: Telegram – a new era of messaging
Baada ya kuipata app ya telegram nakuomba ujoin kwa kuclick hii link hapa chini
TANZANIA ALL TEACHERS ASSOCIATION
Basda ya hapo endelea kumshirikisha walimu wenzako wote walio kwenye contsct phone book ya simu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamegoma!? Wanasemaje?Jamani hii issue imekaaje? Maana mimi nilikamilisha hatua zote na mwenzangu akahamia niliko tangu 2018 lakini mimi sipewi kibali, na nimepeleka nakala mara 2 kwa Katibu Tawala, mara 2 tena kwa Katibu Mkuu TAMISEMI tena pamoja na vivuli hadi vya kibali cha mwenzangu ila bado wamegoma, au ndio mkono mtupu haulambwi??
Daah! Rushwa imekita mizizi zaidi ktk huduma za serikali zama hizi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kuja tukuyu nije Moro? Mana umesema tu Safi sijakuelewa