Mkuu mm nataka nirud dar tanga hapana.Njoo tanga jiji ama vip
Mkuu sogea Rock city(nyamagana-mwanza) uje ule satoo!!Wakuu natafuta mtu wakubadilisha na be aje Dar temeke Mimi niende Dodoma,Singida au Moro lakini je Tamisemi wamesha ruhusu uhamisho wa nje ya mkoa?
wamesha ruhusu kuhama?Mkuu sogea Rock city(nyamagana-mwanza) uje ule satoo!!
Nitafute Man 0682321571 kuna jamaa angu yupo hapo
Njoo wapi na wapi cjui nije wapi na wap!!? Hivi nyie nani anapitisha uhamisho wenu maana wenzenu tumeomba toka mwaka jana mpaka leo hatujui hatma yetu. Cjui barua zenyewe zilishapotezwa!!!!
Mkikutana na hilo Tangazo popote pale mjue ni feki na wanataka kuwaibia mishahara yenu.Hivi mnabadilishana vituo wakati Tamisemi bado hawajaruhusu kuhama?. Mimi sio mwalimu ila nawasaidia taarifa tulieni kwa sasa uhamisho bado mtaibiwa bure.
Pia nilitaka kufahamu kama uhamisho umesharuhusiwa maana tangu mwaka jana umesimama kwa kigezo cha uhakiki.
Naomba tujuzane kama uhakiki umeisha tuombe.
Uhamisho bado haujaruhusiwa japo tunajipa moyo kuwa muda c mrefu utaruhusiwa Tena.kama upo dar na wataka kuja Mwanza tuwasiliane ukiruhusiwa tu tuanze makeke!!!!wamesha ruhusu kuhama?
Natafuta namba zako hazipatikani, hata mimi natafuta wa kuja rombo mi niende bukoba mjini, kama uko tayari nifahamisheMwl.Sekondari,Njoo Bukoba mi niende Babati/Arusha/Mbulu/Moshi.Mawasiliano:0789282235/0624339021
Niko secHujasema uko m
singi au sekondari
0744173815Hujasema uko m
singi au sekondari
Ya mama akonyanoko