Kama kawaida yangu...

1.njoo rukwa wilaya mpya kalambo nije tanga,arusha,manyara,singda na kilmanjaro...

2.njoo sumbawanga nije morogoro wilaya yoyote isipokua ulanga....

3.njoo sumbawanga nije mbeya

4.njoo sumbawanga nije njombe


.....kama umeona ntafte 0763 240 278 idara sec
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU:
Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
 
Back
Top Bottom