Njoo KIBAHA mji nije mara seconary
Njoo tabora manispaa
Njoo KIBAHA mji nije mara seconary
wewe ni mwalimu (msingi, sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na jamiiforums ni kwa pm (private messages) ndani ya jf - kwa usalama wako na usiri zaidi.
muhimu: ni vema kusema upo wapi na ungependa kwenda wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
Jamiiforums
njoo songea nije tarime,shinyanga,mwanza,mara
songea halmashauri ya wilaya au manispaa kuna walimu watatu wapo galmashauri ya wilaya ya songea wanataka kuja mbeya