Mimi nahitaji kubadilisha kituo cha kazi,kutoka kasulu mji(kigoma) kwenda mikoa ifuatayo 1:Tanga
2:pwani
3:Kilimanjaro
4:morogoro
Wilaya yeyote ile katika mikoa hiyo.Idara Elimu sekondari,kwa mwenye uhitaji kama wangu ani pm.Ahsante
 
Mwl MKIWA Idara msingi yupo SIMIYU-ITILIMA anatafuta mwl wakubadioishana nae kutoka RUVUMA;IRINGA AU MBEYA
NO:0763173006
 
Anayetaka tubadirishane kituo kuja Kahama niende Iringa Manispaa,Iringa vijijini. Idara Sekondary.255684122208
 
Njoo Kigoma halimaahauri Mimi nije kati ya mikoa ifuatayo Kahama;Kongwa;Mvomero:Babati;Tukuyu namba 0754966072
 
Mwalimu wa Idara ya Msingi anaehitaji kuhamia H/W NZEGA, TABORA akitokea MOROGORO, PWANI, TANGA, ARUSHA, KILIMANJARO au MANYARA kwa kubadilishana ajitokeze. Piga au tuma meseji: 0756160787/0718541913.
 
Back
Top Bottom