Muharami Saidi
Member
- Jan 4, 2015
- 74
- 1
Njoo mwanza jiji nyamagana nami nije dar es salaam jiji au kibaha mjini,idara sekondari:0716264618 #0756021311
Habari ya Asubuhi Wadau..
Mimi ni Mwl. wa sekondari ngazi ya Shahada katika halmashauri ya wilaya ya Mbozi ( Mbeya) natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kutoka mkoa wa Arusha wilaya yoyote yeye aje Mbozi mm niende huko aliko..
anaehiyaji jaman ani PM tupigane tutoke majina ya July TAMISEMI..
Nawasilisha..
.Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingaitia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums