mwalimu anahitaji wa kubadilishana yeye atoke mbeya wilaya ya rungwe aende mwanza.
njoo Serengeti idara msingi
njoo serengeti nije arusha kilimanjaro au tanga
Mkuu nindoto kupata muha anayetaka kurudi kwao! Mimi mwenyewe nilikuwa kabanga, niliangaika sana karibia miaka mitatu,nilikatapeli kadogo Fulani kalikuwa kanaanza kazi nikachomokea hapo! Jipe moyonjoo kasulu mm nije hapo ulipo idara sec
leo ni mwisho kupost tangazo manake toka mwakajuzi sipati mtu wakubadilishana nae duuuuu!haya njoni muheza nije kibaha,au wilaya yoyote ya dar es salaam idara ya sekondari
Mi
Nipo kigamboni...