Mimi Mwalimu Sekondari Manispaa Ya Singida Natafuta Wa Kubadilishana Naye Kituo Kutokea Mkoani Mbeya
 
Mimi mwalimu wa sekondari singida manispaa natafuta mwl wa kubadilishana naye kituo cha kazi kutoka mkoani mbeya
 
manispaa kuna mwenge,ipembe,dr salmin,senge,utemin na hata mitunduruni na pia kuna mungumaji we upo shule gan?
 
Mkuu juzi kati nilibandika bandiko hapa kuhusu kutafuta mwalimu yeyote ambaye yupo Morogoro Municipal, nahitaji mtu wa kubadilishana kituo cha kazi, mie nataka kwenda Moro mjini nipo Mpanda Mjini...mkoa wa Katavi....hebu nipe A, B, C nn cha kufanya.
 
Ndugu yangu anatafuta mwalimu wa sekondari wa kubadilishana yeye yupo Moshi mjini(manispaa),anataka kwenda Kilosa-Morogoro. Kwa anayehitaji wasiliana naye kwa 0766 919145.
 
NDUGU YANGU ANATAKA KUBADILISHANA KITUO CHA KAZI(MWALIMU WA SEKONDARI) YUPO MOSHI MJINI(MANISPAA), ANATAKA KWENDA KILOSA-MOROGORO. Kwa aliye tayari wasiliana naye kwa 0766919145.
 
Ndugu yangu wa sekondari kutoka Moshi mjini(manispaa) anataka kubadilishana na mwalimu kutoka Kilosa-Morogoro. Mawasiliano yake ni 0766919145
 
Cha msingi ni kubadilishana na mtu,hakuna zaidi ya hapo,vingnevyo njia za mkato huwa znagharimu
 
Ndugu!
Juzi kati nliweka hapa bandiko la ktafta mwl wa kubadilishana naye bahti nzuri nmempata na taratibu zimeshaanza.

Kwa sasa naweza kusema nmeshakuwa mzoefu na nmekuwa mizizi mipana! Xo kwa wale wenye nia ya kuhama au kubadiliaha kituo cha kazi naomba tuwasiliane. Nambie uko wapi na unataka kihamia/kubadilisha wapi. Hamna gharama yetote.

mimi nataka kutoka singida manispaa kwenda mbeya na sina wakubadilishana naye, nipe mikakati mkuu
 
Back
Top Bottom