kama vp weka mawasiliano,nahtajikuja sengerema niko mbogwe geita kuna mshkaji yuko moro inahtaj kuja mbogwe hvo 2pia contact ila uwe secondari.
Iringa manispaa na lindi wapi bora?????!!! We endelea tu kuchoma mihogo huko...
kama vp weka mawasiliano,nahtajikuja sengerema niko mbogwe geita kuna mshkaji yuko moro inahtaj kuja mbogwe hvo 2pia contact ila uwe secondari.
Mwalimu wa kubadilishana kutoka nyamagana au ilemela kwenda sengerema halmashauri(mjini),idara sekondari nauli ya uhamisho ipo,mawasiliano 0712905698
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana
nahtaji mwalimu wakubadilishana nae sekondary somo la kiswahili nipo simiyu halmashauri ya nyashimo shule ipo km moja toka halmashauri,kwenda mwanza ni 5000 mimi nije pwani wilaya ya mkuranga.
mawasiliano 0768560009 au 0763052800 tuma ujumbe mfupi(mesage)