Nipo Manispaa ya Musoma... Tunaweza kubadilishana?Anayetaka kuja Dar es salaam! Wilaya ya ubungo! Mie niende Mara serengeti! Ani PM! Idara msingi! Ningeweza kwenda bila ya kubadilishana ila nimeona nimsaidie mwalimu yeyote mhitaji
Yaani utajaza watu inbox hadi uchokeNjoo manispaa ya Ubungo Nije manispaa ya Shinyanga
Mbona siwaoni, yaan Nina shida kweliYaani utajaza watu inbox hadi uchoke
Should I link you with someone?Mbona siwaoni, yaan Nina shida kweli
Anayetaka kuja madaba ruvuma mimi noje dodoma. Singida tabora
Mbona siwaoni, yaan Nina shida kweli
Njooo chatoNjoo manispaa ya Ubungo Nije manispaa ya Shinyanga
NtashukuruShould I link you with someone?
Ni mwaka mmoja tu ukishathibitishwa kazini.Jamani msaada...kubadilisha kituo cha kazi ni mpaka ufanye kazi muda gani....natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama upo serious njoo geita bukombe (runzewe),pm kama utahitaji kubadilishana..Wakuja Ubungo manispaa nije Shinyanga manispaaa