Yisapwe Ing'uku
Member
- Mar 13, 2014
- 31
- 5
Njoo Sumbawanga nije iringa wilaya yeyote. Idara-sekondari
NJOO MWANZA JIJI nije MBEYA JIJI sec 0768183041
Mwanza popote hata wilayani?Njoo Iringa. Nije mwanza
Mwanza jiji tuMwanza popote hata wilayani?
Mkuu huku hakuna wasukuma. Huku kuna wahaya walioelimika zamani sana. Elimu na mambo ya kishirikina na maji na moto. Uchawi tuwaachie akina Ngosha.Unataka nami ninyolewe (mavumba) yangu hapana mkuu pambana na hali yako na wasukuma wako.
Nataka mjini kwakua na mimi nipo mjini, na mipango yangu nimeiplan kuifanyi mjini ktk moja ya halmashauri hizo.We unataka mijini tu.... unawezaona dodoma nipazur ila ukipangiwa kata za pembezon unaweza ona ni bora urudi ulipokuwa
Njooo magu nikarb na maraKutoka Geita kwenda Mara namba zangu in
0753805449