naomba na machimbo ya hvyo vituKama unahitaji chimbo la jezi high quality, mcheki huyu jamaa
0622882036
itakuwa kwa GSM...ndo yapo mtaa gani?
Congo na aggrey.Wakuu naombeni machimbo ya viatu na Sendo za kiume kkoo bei za afadhari nataka fungua duka mkoani... ThanksView attachment 2607703View attachment 2607704
Biashara ni kuipenda na kujifunza..natakiwa niwe na mtajii wa kuanzia shngp ilinitoboe Ii biasharaa
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Weka pichaDuka la vipodozi Linauzwa lipo sweet corner uzuri manzese mawasiliano 0621454970
Msimbazi ipi tafadhali tukajaribu na sisiHabari Wadau Nashukuru Nimerudi mkoan salama Jana Mrejesho kwenye ununuzi wa bidhaa za yebo yebo Na slippers Zipo Mtaa wa Msinbazi kariakoo kuna Ndala, slippers,yebo yebo Za Kila Aina Bei za jumla nilizokutana nazo zipo za 2600,2800,3500,5500,6000 kuanzia pic's 6 Nami nimeondoka Na mzigo wa Kuanzia biashara pic's 107 nizizuungushe masokoni nteleta mrejesho Wakuu.
No Za Simu tufanye businessMimi nauza ndala kutoka China ndala kali na bei ni kitonga mikoani tunatuma
Zipo za kitoto za kike na kiume
Muhonda st.Me Naomba kujua wanakouza ndala, crocks na sendles za kiume jumla Kkoo kwa anaejua atusaidie tafadhali
Nenda maeneo ya mnazi mmoja vuka barabara kama unaenda station au kisutu hapo katikati Kuna maduka ya wahindi mengi sana wanuza vitu vya dukani kwa bei ya jumla, usipopaona ulizia wenyeji wa maeneo hayo.Hbr watanzania Naombeni kujua sehemu wanakouza sabuni za dalani na Dettol jumla
Dah
0768480963 nitafuteMe Naomba kujua wanakouza ndala, crocks na sendles za kiume jumla Kkoo kwa anaejua atusaidie tafadhali