malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
China unachukuliaje mzigo mkuuDar, mwanza, Uganda before korona, China
China unachukuliaje mzigo mkuuDar, mwanza, Uganda before korona, China
Chimbo lake ni pale pembeni ya kituo cha mwendokasi msimbazi B unapandisha moaka barabara ya uhuru kwote huko kumetapaa hizo bidhaa mkuu.Mimi nataka kujua wapi naweza kwenda kunyonya movies mpya kwenye external hard drive zangu, pia ningependa kufaaham chimbo la chaji za simu, makava, flashi, protector
China/alibabaChimbo la kupata hizi mashine View attachment 1922848
Quality ni nzuri mnoo wanachukua kwanzia pc 50 na kuendelea.Quantity yake ikoje au wanachukua hata order ndogondogo??
Piga hii namba watakujuza zaidi 0767859718Namba zipo wapi kaka
Chimbo la kupata hizi mashine View attachment 1922848
Na bei yake ndiyo shilingi ngapi za kitanzania? Binafsi nilidhani zinapatikana hapo Jijini DSM.China/alibaba
wapi ntapata chimbo la frame za mbao kwa ajili ya printingNgoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!
Dar zinapatikana ila mi bei ya wabongo utapenda mkuuNa bei yake ndiyo shilingi ngapi za kitanzania? Binafsi nilidhani zinapatikana hapo Jijini DSM.
Ndiyo shilingi ngapi hiyo kwa fedha za kibongo?Dar zinapatikana ila mi bei ya wabongo utapenda mkuu
China around 400-450k
Kuna jamaa anaziagiza china. Anauza around 700k mpaka 800kNdiyo shilingi ngapi hiyo kwa fedha za kibongo?
Mawasiliano yake tafadhali. Na hii 700k mpaka 800k ndiyo laki 7 mpaka 8 bila shaka!!Kuna jamaa anaziagiza china. Anauza around 700k mpaka 800k
Mawasiliano yake tafadhali. Na hii 700k mpaka 800k ndiyo laki 7 mpaka 8 bila shaka!!
Na pia naomba msaada wa picha za mashine za kuprint yale mabango ya kidigital. Ikiwezekana na bei zake. Ninaipanga kuingia kwenye hii biashara.
There you goLogin • Instagram
Welcome back to Instagram. Sign in to check out what your friends, family & interests have been capturing & sharing around the world.instagram.com
Anza tu boss ina faida karibu robo 3 ya bei uliyonunulia so karibu kwenye ulimwengu huu boss
Laki 400 mpaka laki 450Ndiyo shilingi ngapi hiyo kwa fedha za kibongo?