Mimi nataka kujua wapi naweza kwenda kunyonya movies mpya kwenye external hard drive zangu, pia ningependa kufaaham chimbo la chaji za simu, makava, flashi, protector
Chimbo lake ni pale pembeni ya kituo cha mwendokasi msimbazi B unapandisha moaka barabara ya uhuru kwote huko kumetapaa hizo bidhaa mkuu.
 
Chimbo la kupata hizi mashine
_20210903_212740.JPG
 
Jaman msaada wanakouza vifaa vya sm like chaji, betri, cover, memory na flash, headset kwa bei poa kkoo n sehem gan
 
Ngoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!
wapi ntapata chimbo la frame za mbao kwa ajili ya printing
 
Mawasiliano yake tafadhali. Na hii 700k mpaka 800k ndiyo laki 7 mpaka 8 bila shaka!!

Na pia naomba msaada wa picha za mashine za kuprint yale mabango ya kidigital. Ikiwezekana na bei zake. Ninaipanga kuingia kwenye hii biashara.
 
Back
Top Bottom