Dar.. Maeneo ya Kariakoo:- maduka na godwon ya mitumba utapata mitaa ya Pemba,Narungombe,Lindi chini mnazi mmoja...Anayejua Jimbo la shatiii za mitumba grade one Bei na mahalii zinapatikana. Kwa urahisi na kwa Bei cheee
Dukani mkuuHii dukani ama mtumba mkuu
Ungetaja na bei zitakuwa haziuziki enheeAgiza Google pixel aina zote kuanzia pixel 2plain Mpaka pixel 5 storage ni 64GB na 128GB
Hii simu ni balaa kwa picha nzuri
nicheki 0713131366
View attachment 1864516View attachment 1864517View attachment 1864519
Bei inategemea Unahitaji ipi mkuu karibu Sana 0713131366Ungetaja na bei zitakuwa haziuziki enhee
Ya dukani mkuuDukani mkuu
Ndio ya dukaniYa dukani mkuu
Hii biashara niliifanya miaka ya 2015 sidhani kama soko lake Bado lipo badala yake now watu wanaweka kwenye flash na sio kununua CDsMsaada
Natafuta chimbo la movie na series kwa bei poa niwe nauza mtaani kwa anaejua bei ya chini kwa huko kariakoo naomba anijuze..
Nicheki pm nkupe namba yanguAnayejua chimbo la mashati ya mitumba grade one bei na mahalii yanapatikana kwa urahisi na kwa bei nafuu.
HongkongWandugu mi. Nauliza hizi kadeti za kiume zinazouzwa 17000 wananunua wapi kwa jumla ? Mfano huyu jamaa anjiita Mr kadeti anauza Bei huyo na wemgine wengi tu mtandaoni...
Duh ungeongeza nyama kwenye jibu lako ingependezaHongkong
Kabisa mkuu..vp kakudo biashara yako ya nguo za ndani ushaiacha ama unaendelea nayoDuh ungeongeza nyama kwenye jibu lako ingependeza
Very simple,mr kadet anaagiza toka china ama italy,,siku hizi hata chinga wanaagiza mizigo china,shipping agency wanaokufanyia purchasing huko china wanaongezeka kila siku na hivyo kurahisisha ufanyaji biasharaDuh ungeongeza nyama kwenye jibu lako ingependeza