Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,124
- 49,501
Daa aisee ni vile kutokujua tuu mkuu, ningeiona hii post mapema ningeshakuja zamani sana, nilikuwa na uhitaji mkubwa wa kadet nikaangukia kwa mfanyabiasha kimara kwa bei aliyoniuziwa ukilinganisha na bei yako ni kwamba nilipigwa. Sema nimeshachukua namba yako nikikaa vzr nitakuja hpo ofisini kwako. Ornet linganisha bei hku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sijakupiga kiongozi
Kuna cadet grade tofauti tofauti
Pole kwa kuona umepigwa.
Ila kutokana na grade tunayouza bei yake ni sahihi kabisa
Kariakoo hata za 17,000 zipo naweza kukuagiza dukani ukachukue ila utarudi kulaumu zinatoa unga.
Sent using Jamii Forums mobile app