Daa aisee ni vile kutokujua tuu mkuu, ningeiona hii post mapema ningeshakuja zamani sana, nilikuwa na uhitaji mkubwa wa kadet nikaangukia kwa mfanyabiasha kimara kwa bei aliyoniuziwa ukilinganisha na bei yako ni kwamba nilipigwa. Sema nimeshachukua namba yako nikikaa vzr nitakuja hpo ofisini kwako. Ornet linganisha bei hku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata sijakupiga kiongozi
Kuna cadet grade tofauti tofauti

Pole kwa kuona umepigwa.
Ila kutokana na grade tunayouza bei yake ni sahihi kabisa
Kariakoo hata za 17,000 zipo naweza kukuagiza dukani ukachukue ila utarudi kulaumu zinatoa unga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sijakupiga kiongozi
Kuna cadet grade tofauti tofauti

Pole kwa kuona umepigwa.
Ila kutokana na grade tunayouza bei yake ni sahihi kabisa
Kariakoo hata za 17,000 zipo naweza kukuagiza dukani ukachukue ila utarudi kulaumu zinatoa unga.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ok kumbe deference ni kulingana na grade, nimekupata bt dukan kwako ungekuwa unaweka na grade zote na price ili mteja alinganishe, anunue na aondoke kiroho safi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok kumbe deference ni kulingana na grade, nimekupata bt dukan kwako ungekuwa unaweka na grade zote na price ili mteja alinganishe, anunue na aondoke kiroho safi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapana siwezi atanunua akivaa miezi miwili ikiharibika hawezi kurudi tena

Mfano zile za 40k zinatoka Uganda kule napo siyo cheap kihivyo so zinauzwa kutokana na ubora n unavyonunua

Ila cadet ukitaka za 17,000 feel free nakuagizia duka la nyumbani wanazo kibao
Ila hawana hasara wanauzia watu wa mikoani kwa jumla mtu akiondoka ameondoka
Pale wateja ni wa kwenda na kurudi utauzaje mali ya lawama?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana siwezi atanunua akivaa miezi miwili ikiharibika hawezi kurudi tena

Mfano zile za 40k zinatoka Uganda kule napo siyo cheap kihivyo so zinauzwa kutokana na ubora n unavyonunua

Ila cadet ukitaka za 17,000 feel free nakuagizia duka la nyumbani wanazo kibao
Ila hawana hasara wanauzia watu wa mikoani kwa jumla mtu akiondoka ameondoka
Pale wateja ni wa kwenda na kurudi utauzaje mali ya lawama?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata vyema sister, angalau roho imerelax kdg, naamin usemayo ni kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nichinga wa wamitumba. malanyingi hununua mitumba kwa kusoti bidhaamojamoja yan kuchuz. na nimekuwa niki mix bidha sasa naona faida kama ni kidogo sana nawaza kununua balo zima ila najiuliza ninunue balo gani yenye kunipa faida na kuisha kwa wakati?? kwa walio naudhoefu na biashala hii wanisaidie mawazo maendeleo hayana chama"

Sent using Jamii Forums mobile app

Uzi madini sana huu.

Jamani nami naombeni mawazo yenu wandugu...

Nimepata mkopo wa Tsh Milioni MOJA kamili. Ni mkopo usio na riba. Nimepewa MIEZI MITATU niwe nimerejesha yote.

Nipeni ushauri ndugu zangu. Nifanye biz gani ya kukimbiza chap chap? any ideas please. Kwa sasa nipo Dar, ila ni kijana ambaye nipo tayari kuingia kokote penye fursa ya biashara kwa mtaji huo. Nipeni mawazo wapendwa, maisha yamenichapa mno ndugu zangu, sasa naukataa umasikini kwa nguvu zote!

CC: charty , Danhappy , na wachangiaji wengine wote. Natanguliza shukrani
Nibora ungeanzisha uzi wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nichinga wa wamitumba. malanyingi hununua mitumba kwa kusoti bidhaamojamoja yan kuchuz. na nimekuwa niki mix bidha sasa naona faida kama ni kidogo sana nawaza kununua balo zima ila najiuliza ninunue balo gani yenye kunipa faida na kuisha kwa wakati?? kwa walio naudhoefu na biashala hii wanisaidie mawazo maendeleo hayana chama"

Sent using Jamii Forums mobile app


Nibora ungeanzisha uzi wako

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakushauri ubase kwenye bidhaa moja
Utajua nje na ndani ya hiyo bidhaa
Ukishasimama nayo ndipo uongeze nyingine


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahhahah sasa wewe mie mkali wa hizi kazi tokea nipo chuo kitamboo nimeivuruga sana hiyo k.koo hahah hadi leo nipo yaani na sibanduki ng'ooo inabidi tuwasaidie wenzetu bana maana haya maisha mtu akikuongezea jero kwenye product ni kubwa sanaaaa.Na hivi vyuma vimekaza acha tu na wenyewe wale.Ila si unajua mjini wasioujua bado wengi utawapata tu maana hawapo humu JF .



Ngoja niwape chimbo la pochi za bei rahisi zile ronya na za kati 6000,8000,12000 lipo maeneo ya nyamwezi karibu na soko la shimoni kale kamtaa cha kati uje utokee msimbazi kota,karibu wanapouza maturubali, lingine lipo mtaa wa congo na aggrey kwa juu ghorofani kama unataka kutoka congo kituo cha basi pale wanauza high quality PU zao 22k,25k,28k,30 nk ambazo ukikuta kwenye botique ni mwendo wa 50k,70k hadi 100k. Pia tena hiyohiyo congo/mchikichi pale katikati kwa ghorofani wanauza pochi eh bei chee tatizo lenu mnapita juu juu tu ingieni maduka ya ndani na chini yana mambo mazuri Wallet nazo mchikichi zipo za kumwaga za kiume na za kike bei chee hakikisha unaingia ndani kabisa kwenye vichochoro. Haya kwa wale wa mabegi ya kusafiria kuna mchina anazalisha mwenyewe maeneo ya Veta karibu na sofia house kule anakutengeneezea design unayotaka eh,pesa yako tu. Kuna kingine nimesahau? Danhappy
Mkuu itabidi upange deal na operator wa simu yako ili number yako.ukipigiwa iwe ya premium rate. Kwa mfano normal rate ni Tshs200/min simu yako kupigiwa ni Tshs500/min kwa hiyo unapata Tshs 300/min kila ukipigiwa
 
Pia Nimeshusha MZIGO wa MASHATI MAZURI NA TSHIRTS
TUCHEKIANE KWA HII NAMBA 0785 18 21 08
IMG_20190414_194040_575.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninauza Kadeti Kwa bei ya Jumla 18,000/=
Kadeti zinazovutika
Ukiitaji Ngumu pia zipo
Duka Langu lipo Mtaa wa Kongo & Aggrey
Watsupp Number 0759 20 20 25
Insta natumia:Elae_clothing_stores
Pia Pensi kali, Mashati, na Tshirts nk ninazo.


Kukiwa na Swali Lolote waweza kunicheki hata DM
Elae
CEO!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nahitaji one size za kuvaa Mimi nitazipata. Kwa bei ya jumla utaniuzia kuanzia kadeti ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom