Piga 0743790009 kwa vitabu vya jumla wapo kariakoo mtaa wa Aggrey
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga 0743790009 kwa vitabu vya jumla wapo kariakoo mtaa wa Aggrey
Samahani dada hivi madera ya Kisomali Mombasa yanapatikana? ni bei gani halafu vijora kwenda kuchukua mombasa kwa mtaji wa laki tano unatosha?Kwa Dar sidhan na hata kama vipo bei zao zipo juu kwenye unafuu ni Tanga my dear au huko mombasa maan wengi wanaagiza huko kwa dar ni ghali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama utatak kwa sas ni vijora mbadala wa madera ya msomali nunua Indonesia kwa huko mombasa sin uhakika na madera ya msomali ila vijora ndio kwaosamahani dada hivi madera ya kisomali mombasa yanapatikana?ni bei gani halafu vijora kwenda kuchukua mombasa kwa mtaji wa laki tano unatosha?
Sent using Jamii Forums mobile app
nashukuru,madera ya kisomali hivi inahitaji niyafuate indonesia?au kuna wakala analeta me nayataka kariakoo bei sanaKama utatak kwa sas ni vijora mbadala wa madera ya msomali nunua Indonesia kwa huko mombasa sin uhakika na madera ya msomali ila vijora ndio kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaji wa laki tano utanitosha kuchukua vijora Mombasa?Kama utatak kwa sas ni vijora mbadala wa madera ya msomali nunua Indonesia kwa huko mombasa sin uhakika na madera ya msomali ila vijora ndio kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nitapata chimbo la chupi za kike, taiti, boxer, vest, sidilia na soksi.
Na je bei zake zina arrange vipi?
Mwanzo mgumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu wa malipo ukoje?Karibu nikutumie chupi kutoka Guangzhou kwa bei ya jumla
Chupi za Cotton 100%
CHUPI ZA WATOTO WA KIKE 1-5yrs 200dozen (2400pcs) Tsh 1,800,000
CHUPI ZA ZA WATOTO 6-12yrs 200dozen Tsh 1,800,000
BOXER ZA WATOTO WA KIUME 2-12 yrs (200 dozens) Tsh 2,300,000
CHUPI ZA WADADA NA WAMAMA NI TSH 2,350,000 kwa 200dozens 100% cotton!
BOXERS ZA WAKAKA NI TSH 3,900,000 kwa dozen 200 zinakuwa 2,400 pieces
( Unaweza kulipia na USAFIRI moja kwa moja au ukalipia pesa ya usafiri mzigo ukifika warehouse.
COST ZA USAFIRI INAPIMWA KWA CBM 1CBM=380$
Chupi inarange kwenye 0.3-0.38CBM inategemea kama ni za wakubwa
Utaratibu wa malipo ukoje?
Nimekuuliza hapa na unijibu hapa kwa faida ya wengi, najuwa swali langu wengi wanajiuliza kimya kimya.WhatsApp +8618857052304
Pitia Instagram page yangu kuangalia bidhaa tofauti na kama unahitaji bidhaa yoyote kutoka China kwa bei ya jumla na kwa wingi
@panda_sourcing
Daa aisee ni vile kutokujua tuu mkuu, ningeiona hii post mapema ningeshakuja zamani sana, nilikuwa na uhitaji mkubwa wa kadet nikaangukia kwa mfanyabiasha kimara kwa bei aliyoniuziwa ukilinganisha na bei yako ni kwamba nilipigwa. Sema nimeshachukua namba yako nikikaa vzr nitakuja hpo ofisini kwako. Ornet linganisha bei hku.Jumla ni kuanzia PC 5 kwa Elfu 18,000 Boss...ukichukua mzigo mkubwaa kuanzia PC 20 nakupunguzia pazuri as mteja kwetu ni mfalme piah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo 18,000 ni ile grade one?? Ebu funguka zaidi.Ninauza Kadeti Kwa bei ya Jumla 18,000/=
Kadeti zinazovutika
Ukiitaji Ngumu pia zipo
Duka Langu lipo Mtaa wa Kongo & Aggrey
Watsupp Number 0759 20 20 25
Insta natumia:Elae_clothing_stores
Pia Pensi kali, Mashati, na Tshirts nk ninazo.
Kukiwa na Swali Lolote waweza kunicheki hata DM
Elae
CEO!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuuliza hapa na unijibu hapa kwa faida ya wengi, najuwa swali langu wengi wanajiuliza kimya kimya.
Letter of credit LC is acceptable? Au hayo nalipo kabla assurance yake ikoje kama hakutakuwa na janjajanja yoyote? Maana wenzetu wa online hawana matatizo huko Alibaba ila kuna wakati Wabongo ni pasuwa kichwa.UTARATIBU WA MALIPO NI UNALIPIA MZIGO
COST YA USAFIRI UNALIPIA UKIENDA KUCHUKUA MZIGO WAREHOUSE
NIKIUPELEKA MZIGO WAKO WAREHOUSE WATANIPA RECEIPT AMBAYO NITAKUTUMIA KUPITIA WHATSAPP INAYOONYESHA NUMBER YA MZIGO
CONTACT INFORMATION ZA MPOKEAJI
NA COST UTAKAYOLIPIA
Ebwana na chimbo la trouser kali za kitambaa zinapatikana pia hpo kwako ama wapi mkuu.Jumla ni Elfu 18 boss kuanzia PC 5 ila ukichukua mzigo mkubwaa unapunguziwa piah
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie nauli ya ChinaTafta hela uende china. Kuna masoko yao kule vitu bei cheap kweli. Kuna vijana walianza kdgo kdgo tu this day wanafanya vizuri kweli. Just know ur niche.
Vitu vingine in china the prices are lower kuliko hata hapo Kariakoo.
Ebwana na chimbo la trouser kali za kitambaa zinapatikana pia hpo kwako ama wapi mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikupe machimbo eh best kizuri kula na mwenzio...Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule mnazi mmoja wengi wanaouza k.koo wanaenda kufata huko, Viatu navyo vinapatikana huu mtaa wa Narung'ombe na congo pale nenda straight kwenye maduka ya wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini nop unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile visandles wanauza 2500/pc. Cheni zama mchikichi katikati kuna mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki.Magauni nayo ingia ndanindani kule congo na aggrey wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka kutype ah.