Hivi nikiwa na mtaji wa elfu 50 tu nataka niwe chinga . Kati ya kuuza nguo za mtumba na viatu ni ipi option nzuri?.. kwa Dar
 
Wapi nitapata chimbo la chupi za kike, taiti, boxer, vest, sidilia na soksi.
Na je bei zake zina arrange vipi?
Mwanzo mgumu

Sent using Jamii Forums mobile app

Karibu nikutumie chupi kutoka Guangzhou kwa bei ya jumla
Chupi za Cotton 100%
CHUPI ZA WATOTO WA KIKE 1-5yrs 200dozen (2400pcs) Tsh 1,800,000

CHUPI ZA ZA WATOTO 6-12yrs 200dozen Tsh 1,800,000

BOXER ZA WATOTO WA KIUME 2-12 yrs (200 dozens) Tsh 2,300,000


CHUPI ZA WADADA NA WAMAMA NI TSH 2,350,000 kwa 200dozens 100% cotton!

BOXERS ZA WAKAKA NI TSH 3,900,000 kwa dozen 200 zinakuwa 2,400 pieces

( Unaweza kulipia na USAFIRI moja kwa moja au ukalipia pesa ya usafiri mzigo ukifika warehouse.
COST ZA USAFIRI INAPIMWA KWA CBM 1CBM=380$
Chupi inarange kwenye 0.3-0.38CBM inategemea kama ni za wakubwa
 
Karibu nikutumie chupi kutoka Guangzhou kwa bei ya jumla
Chupi za Cotton 100%
CHUPI ZA WATOTO WA KIKE 1-5yrs 200dozen (2400pcs) Tsh 1,800,000

CHUPI ZA ZA WATOTO 6-12yrs 200dozen Tsh 1,800,000

BOXER ZA WATOTO WA KIUME 2-12 yrs (200 dozens) Tsh 2,300,000


CHUPI ZA WADADA NA WAMAMA NI TSH 2,350,000 kwa 200dozens 100% cotton!

BOXERS ZA WAKAKA NI TSH 3,900,000 kwa dozen 200 zinakuwa 2,400 pieces

( Unaweza kulipia na USAFIRI moja kwa moja au ukalipia pesa ya usafiri mzigo ukifika warehouse.
COST ZA USAFIRI INAPIMWA KWA CBM 1CBM=380$
Chupi inarange kwenye 0.3-0.38CBM inategemea kama ni za wakubwa
Utaratibu wa malipo ukoje?
 
Jumla ni kuanzia PC 5 kwa Elfu 18,000 Boss...ukichukua mzigo mkubwaa kuanzia PC 20 nakupunguzia pazuri as mteja kwetu ni mfalme piah

Sent using Jamii Forums mobile app
Daa aisee ni vile kutokujua tuu mkuu, ningeiona hii post mapema ningeshakuja zamani sana, nilikuwa na uhitaji mkubwa wa kadet nikaangukia kwa mfanyabiasha kimara kwa bei aliyoniuziwa ukilinganisha na bei yako ni kwamba nilipigwa. Sema nimeshachukua namba yako nikikaa vzr nitakuja hpo ofisini kwako. Ornet linganisha bei hku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninauza Kadeti Kwa bei ya Jumla 18,000/=
Kadeti zinazovutika
Ukiitaji Ngumu pia zipo
Duka Langu lipo Mtaa wa Kongo & Aggrey
Watsupp Number 0759 20 20 25
Insta natumia:Elae_clothing_stores
Pia Pensi kali, Mashati, na Tshirts nk ninazo.


Kukiwa na Swali Lolote waweza kunicheki hata DM
Elae
CEO!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo 18,000 ni ile grade one?? Ebu funguka zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuuliza hapa na unijibu hapa kwa faida ya wengi, najuwa swali langu wengi wanajiuliza kimya kimya.

UTARATIBU WA MALIPO NI UNALIPIA MZIGO
COST YA USAFIRI UNALIPIA UKIENDA KUCHUKUA MZIGO WAREHOUSE

NIKIUPELEKA MZIGO WAKO WAREHOUSE WATANIPA RECEIPT AMBAYO NITAKUTUMIA KUPITIA WHATSAPP INAYOONYESHA NUMBER YA MZIGO
CONTACT INFORMATION ZA MPOKEAJI
NA COST UTAKAYOLIPIA
 
UTARATIBU WA MALIPO NI UNALIPIA MZIGO
COST YA USAFIRI UNALIPIA UKIENDA KUCHUKUA MZIGO WAREHOUSE

NIKIUPELEKA MZIGO WAKO WAREHOUSE WATANIPA RECEIPT AMBAYO NITAKUTUMIA KUPITIA WHATSAPP INAYOONYESHA NUMBER YA MZIGO
CONTACT INFORMATION ZA MPOKEAJI
NA COST UTAKAYOLIPIA
Letter of credit LC is acceptable? Au hayo nalipo kabla assurance yake ikoje kama hakutakuwa na janjajanja yoyote? Maana wenzetu wa online hawana matatizo huko Alibaba ila kuna wakati Wabongo ni pasuwa kichwa.

Ningekushauri utafute mtaji ili kwa wateja commited malipo wafanyie ware house mzigo unapofika.
 
Huyu mtu bado yupo kweli? Maana namchek pm inashindikana,, nataka madini zaidi ya machimbo kkooo
Ngoja nikupe machimbo eh best kizuri kula na mwenzio...Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule mnazi mmoja wengi wanaouza k.koo wanaenda kufata huko, Viatu navyo vinapatikana huu mtaa wa Narung'ombe na congo pale nenda straight kwenye maduka ya wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini nop unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile visandles wanauza 2500/pc. Cheni zama mchikichi katikati kuna mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki.Magauni nayo ingia ndanindani kule congo na aggrey wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka kutype ah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom