You ar the real deal in town
 


Wote tungekuwa na roho nzuri kama wewe! hakika tungeyashinda maisha haya magumu.

Asante eee! Ukipumzika tusaidie tena.
 
Ricecooker KWA HIYO UKAKUTA BEI CHEAP KULIKO ALIYOKUWA ANANUNUA YEYE?
Haaaa!! Kifaa cha 3000 dukani yeye anatuuzia 6000. Ilikuwa akipiga simu mbona hatuonekani tunamwambia tumefulia, hivyo hata hao wanaoenda China in hivyo hivyo mpaka uje kugundua supplier wa bei rahisi ni shida. Kama vipi kawaulize wale wanaomwaga Madela kwa bei rahisi kama watafunguka?
 
mnamwambia mmefulia kumbe mnampiga chenga kali. Duh!!
 
Mkuu mimi nataka chimbo la rasta
 
Nimekupenda bure mamy Mungu azidi kukubariki
 
Asanteeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…