Ufisadi wa Kutisha: Wanasiasa na Viongozi wa Umma kununua viwanja kwa Mabilioni ya Pesa huko Arusha! Watanzania tusiposimama imara, tumekwisha

Ufisadi wa Kutisha: Wanasiasa na Viongozi wa Umma kununua viwanja kwa Mabilioni ya Pesa huko Arusha! Watanzania tusiposimama imara, tumekwisha

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Kuna tuhuma nzito zimetolewa zikiwa na ushahidi kuhusu Viongozi wa Kisiasa na Utumishi wa Umma kununua viwanja kwa mabilioni ya pesa huko Arusha.

Kwenye tuhuma hizo zilizotolewa usiku huu na Mtanzania Mange Kimambi kupitia Akaunti yake ya X zimeonesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Paul Makonda kanunua viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni 1.

Pia kwenye Orodha hiyo ameonekana Katibu wa Rais Bwana Waziri Salum, Mpambe wa Rais Brig General Nyambura Mashauri, Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka, Waziri wa Ardhi Deogratius Ndejembi, Mbunge Christopher Ole Sendeka, Wakili Ally Possi ambaye ni wakili mkuu wa Serikali anayesimamia mashauri ambayo Serikali tunashtakiwa na kulipa Mabilioni ya Pesa Nje Nchi pamoja na kampuni mbalimbali.

Baada ya kuona orodha hii nimejiuliza maswali yafuatayo;

1. Viongozi na Wanasiasa hawa wamepata wapi pesa za kununua viwanja hivi?

2. Mchakato wa kuomba na kuuziwa viwanja hivi ulikuwaje?

Mwisho nawaonea huruma sana askari polisi wanaotumika vibaya kuwapiga virungu na kuwatesa Chadema ambao kimsingi wanapigania kuondoa Ufisadi nchini ili Watanzaia wote waishi maisha mazuri.

Pili nawaonea huruma sana TISS ambao kutwa kazi yao ni kuwalinda Mafisadi ambao wanaliibia hili taifa na kujinufaisha binafsi huku Watanzania wengi wakiteseka kukosa huduma za msingi na kufia kwenye umasikini wa kutisha.

Tatu nawaonea huruma JWTZ ambao wanakula kiapo cha kuilinda Katiba inayoweka misingi ya utawala bora na uwajibikaji wakati Viongozi wa nchi hii wanakiuka hiyo misingi na kufanya ufisadi wa kutisha huku wao wakiwepo.

Watanzania tuna kila sababu kuwaunga mkono Chadema ili kuhitimisha huu ufisadi unaofanywa dhidi ya nchi yetu na Taifa letu.

Kuna kila sababu tuipambanie No Reform No Election ili tupate Viongozi wanaowajibika kweli kwetu na ambao tutaweza kuwawajibisha.
 
Tanzania is a bandit economy, no doubt about it. But I have been in real estate business for a while to understand that, this bizarre report is laced with exaggerations and financial ignorance.

Plots/Landed Properties are not always bought at a market price enunciated within the valuation report. The law mandates it, but things are different on the ground.

It's like the frenzied sale of plots at O'Bay and Masaki under Magufuli, where Government officials bought houses at a cheaper price only to later value them in billions.

Akili Kumkichwa Mwanangu...​
 
Tanzania is a bandit economy, no doubt about that. But I have been in real estate business for a while to understand that, this bizarre report is laced with exaggerations.

Plots are not always bought at a market price enunciated within the valuation report.

It's like the frenzied sale of plots at O'Bay and Masaki under Magufuli, where Government officials bought houses at a cheaper price only to later value them in billions.

Akili Kumkichwa....​
My main concern is Where did they get the money? As they are public servants.
 
My main concern is Where did they get the money? As they are public servants.
Tanzanians are too gullible.

Easily tossed to and fro by every wind of cheap gossip, human cunning, craftiness and deceitful schemes.

Where Bashite gets his money is none of my business, all I can say is that Mange's Report is all bonkers.

Unbelievable....​
 
Viongozi karibu wote wana mabilioni wamejilimbikizia. Nilipoona yule waziri uso wake umemvimba kama kapigwa ngumi, anataka kununua eneo la biashara kwa 1.5 B sema wao wanataka 3 B.

Ndiyo tuone kwanini, kama nchi na wananchi wake hawapati huduma nzuri za kibinadamu. Sababu kuna kikundi cha watu wanagawana wao na watu wao. Nyinyi mtajijua wenyewe.
 
Viongozi karibu wote wana mabilioni wamejilimbikizia. Nilipoona yule waziri uso wake umemvimba kama kapigwa ngumi, anataka kununua eneo la biashara kwa 1.5 B sema wao wanataka 3 B.

Ndiyo tuone kwanini, kama nchi na wananchi wake hawapati huduma nzuri za kibinadamu. Sababu kuna kikundi cha watu wanagawana wao na watu wao. Nyinyi mtajijua wenyewe.
Kati ya siku nimetamani ningekuwa mwanajeshi ni leo baada ya kumsoma mange.

Juzi nimeenda Hospitali Chanika nimeambiwa dawa hamna nenda pharmacy ya nje ya hospitali alafu leo unaingia mtandaoni unakutana na hii habari.
 
Kuna tuhuma nzito zimetolewa zikiwa na ushahidi kuhusu Viongozi wa Kisiasa na Utumishi wa Umma kununua viwanja kwa mabilioni ya pesa huko Arusha.

Kwenye tuhuma hizo zilizotolewa usiku huu na Mtanzania Mange Kimambi kupitia Akaunti yake ya X zimeonesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Paul Makonda kanunua viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni 1.

Pia kwenye Orodha hiyo ameonekana Katibu wa Rais Bwana Waziri Salum, Mpambe wa Rais Brig General Nyambura Mashauri, Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka, Waziri wa Ardhi Deogratius Ndejembi, Mbunge Christopher Ole Sendeka pamoja na kampuni mbalimbali.

Baada ya kuona orodha hii nimejiuliza maswali yafuatayo;

1. Viongozi na Wanasiasa hawa wamepata wapi pesa za kununua viwanja hivi?

2. Mchakato wa kuomba na kuuziwa viwanja hivi ulikuwaje?

Mwisho nawaonea huruma sana askari polisi wanaotumika vibaya kuwapiga virungu na kuwatesa Chadema ambao kimsingi wanapigania kuondoa Ufisadi nchini ili Watanzaia wote waishi maisha mazuri.

Pili nawaonea huruma sana TISS ambao kutwa kazi yao ni kuwalinda Mafisadi ambao wanaliibia hili taifa na kujinufaisha binafsi huku Watanzania wengi wakiteseka kukosa huduma za msingi na kufia kwenye umasikini wa kutisha.

Tatu nawaonea huruma JWTZ ambao wanakula kiapo cha kuilinda Katiba inayoweka misingi ya utawala bora na uwajibikaji wakati Viongozi wa nchi hii wanakiuka hiyo misingi na kufanya ufisadi wa kutisha huku wao wakiwepo.

Watanzania tuna kila sababu kuwaunga mkono Chadema ili kuhitimisha huu ufisadi unaofanywa dhidi ya nchi yetu na Taifa letu.

Kuna kila sababu tuipambanie No Reform No Election ili tupate Viongozi wanaowajibika kweli kwetu na ambao tutaweza kuwawajibisha.

Kuna vyombo vingi sana vimeundwa ili kufuatilia mwenendo wa watumishi wote wa umma wakiwemo viongozi hasa kwenye masuala ya kupata na kumiliki mali. Wengi tunajua TAKUKURU lakini vyombo vipo vingi.

Tatizo la hivyo vyombo ni kwamba havina nguvu/havina meno. Vimeundwa na serikali yenyewe kwa hiyo ni vigumu sana vyenyewe kufuatilia miendo ya viongozi wakubwa, wataishia tu kufuatilia watumishi wa kawaida pale inapobidi.

Tunahitaji taasisi huru na zenye nguvu katika kufanya kazi zao kulinda rasilimali za nchi. Naamini taasisi huru zitapatikana kukiwa na sheria/katiba nzuri.
 
Back
Top Bottom