Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,248
Mimi huwa simwamini mtu anayejiita kigogo lakini kutoka na hiki kilichoanza kutokea nimekosa kikwazo chochote cha kutokumwamini kigogo kwa kuwa kitu kama hiki kilichotokea ni miongoni mwa kile kilichoandikwa na kigogo kuwa vyombo vya usalama vimeagizwa kuwashambulia wafuasi wa Lissu.