Inasikitisha kuona post nzima inayohusu kulipuliwa kwa mgombea wa urais kupitia chadema huko Nyamongo Tarime mh. Tundu Lissu inawekea madubwana ya ajabu as comments ...
Inasikitisha kama siyo kuhuzunisha, ingia ushuhudie ...
👇
Thubutu
hivi umeona CHADEMA inapolekea?
U,ejiuliza kwanini kuna akina amma wengi wagombea huko CDM ?
I mean, post unayoiona pale juu kuhusu kinachoendelea huko Tarime imewekwa na CHADEMA Tanzania ila comments zilizowekwa ni picha za mgombea wa ccm mwanzo mwisho na mabandiko mengine kuhusu ccm.sijaelewa hapa IT wamefanya nini
Siasa wanaamini kwenye matumizi ya nguvu na sio matumizi ya akili.Hawa Wamasai wa njiro ni kama vile wamelazimishwa kushika hayo mabango. Nyuso zao hazina furaha kabisa yaani. View attachment 1583673
Hawa Wamasai wa njiro ni kama vile wamelazimishwa kushika hayo mabango. Nyuso zao hazina furaha kabisa yaani. View attachment 1583673
Sasa hao IT wa cdm wamelala usingizi wa pono au..?Ukigusa tu hapo umeliwa pumbavu kabisa
Kwa hiyo mleta mada mkaileta ili iweje tukifungua link.Ukigusa tu hapo umeliwa pumbavu kabisa
AHAAA MATAGA UCHWARA USSR KATIKA UBORA WAKO, 🤣🤣🤣 ,Unaiaibisha sana "EAGLE DOM" 🤣🤣🤣🤣Lisu hana lake atulie ahudumiwe na polisi
Election keshokutwa US ebu tuwaelize Diaspora Trump security privilege zimepunguzwa kipindi hiki?
Acheni kumuongopea huyo Lissu yeye sio Magufuli. Mgombea wa 2025 wa CCM na wa upinzani ndio mtaweza linganisha. Lakini this time anashindana na incumbent president they are not equal on the campaign trail...
Hao pilisi wana roho ya shetani, hata akilala na njaa, asubuhi akiamka anafikia kupiga saruti, hawezi kudai haki yake ya kupatiwa chakulaPolice awajaongezewa mishahara 5 yrs huo moyo wa kupiga watu mabomu utoka wapi.