serengeti

  1. WIDERANGE AFRICAN SAFARIS

    JamiiForums Tanzania 7 days Serengeti Migration private safari package

    This 7 days Serengeti Migration private safari package is designed to maximize your chances of seeing the Great Wildebeest Migration, while also giving you the opportunity to encounter the Big Five and enjoy breathtaking African landscapes. A 7-day private safari packages in Tanzania focus on...
  2. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys Waichapa China 2-0

    https://www.youtube.com/watch?v=AemOB_qdHo0 Pamoja na kukosa penati
  3. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Norway (Himanshu Gulati) akutana na Spika Zungu na Eric Shigongo, atembelea Serengeti National Park

    Mbunge wa nchini Norway, Himanshu Gulati ametembelea nchini Tanzania na kupata nafasi ya kukutana na Wanasiasa, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb) pamoja na Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo. Akielezea...
  4. Vien

    JamiiForums Tanzania Ifike mahali Serikali ilinde majina ya taifa: Si kila mtu aruhusiwe kusajili kampuni kwa majina ya Kilimanjaro, Serengeti, Simba na mengineyo

    Kuna jambo ambalo kwa muda mrefu limekuwa likinisumbua. Leo hii unaweza kupita barabarani ukakuta Kilimanjaro Company Ltd, Serengeti Traders, Simba Enterprises, Safari Logistics, Ngorongoro Supplies na majina mengine mengi yenye uzito mkubwa kwa taifa. Kwangu, hili si suala la kawaida. Naona...
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hoteli ya Mapito Safari Camp, Serengeti, kulala Usiku mmoja ni Milioni 4.5 hadi Milioni 7. Nani mmiliki?

    Inadaiwa inamilikiwa na Mtanzania Patel. Lakini nimeongea na Mwarabu rafiki yangu, nilimuuliza kwanini Tangu Januari 2026 hii hotel inapokea Watu wengi kutoka Uarabuni hasa Oman? Gharama ya kulala pale usiku mmoja, inaanzia milioni 4 hadi Milioni 7 na kuendelea kutegemeana na Msimu. Akanijibu...
  6. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania RC Arusha: Ujenzi wa barabara LUDUARE- Serengeti umeanza na hatua za kuunganisha Ngorongoro na Monduli

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla amesema serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tayari imeanza ujenzi wa kipande cha barabara ya Luduare- Serengeti (Km88), akisema barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha tabaka gumu ili kuondoa adha kwa watalii wanaotembelea hifadhi ya...
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo kuwekeza takriban Tsh. Bilioni 500 Ngongoro na Serengeti

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa X, mfanyabiashara na mwizi wa uchaguzi Wicknell Chivayo ameweka wazi azma yake kuwekeza kiasi cha takriban Tsh. Bilioni 500 (Dola Milioni 200) katika sekta ya utalii nchini humo. Kulingana na Chivayo, uwekezaji huo utalenga maeneo ya hifadhi za Serengeti na...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinawaumiza vichwa Wakenya kama mpango wa ujenzi wa uwanja wa Serengeti, Ponea yao ni wabunge wetu kina Nasari na Musukuma wanaoupinga

    kwa miaka mingi tume co exist kawaida kushea mbuga hii special duniani, Upande wao inaitwa Masai Mara upande wetu inaitwa Serengeti. watalii wao walishukia Nairobi, wetu wanashukia KIA, Baada ya hapo husafiri kwa magari au kukodi ndege ndogo hadi mbugani. Lakini wameona haitoshi. Wanajenga...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wabunge wachache wanaopinga uwanja wa Serengeti wanatumia nguvu kubwa sana kutetea maslahi ya Kenya, wananufaika vipi kuitetea Kenya ?

    Wakenya wanajua uwanja wa Serengeti ukijengwa tunaenda kuwapiga gap kubwa wanalijua hilo Hivi sasa wakenya wameshaanza ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa karibu na Masai Mara, hii ni mbuga iliyoungana na Serengeti, kwa lugha iliyorahisishwa ni serengeti inayoendelea upande wa Kenya Lakini...
  10. Stroke

    JamiiForums Tanzania Ogopa kufanya jambo ambalo Nyerere hakufanya

    Nyerere mwanzilishi wa Taifa huru la Tanzania toka Tanganyika na Zanzibar. Kama kuna jambo hakulifanya tukaja kulifanya sisi. Tufikiri mara mbili. Pamoja na kuwa mzaliwa wa Mkoa wa Mara, hakufikiri hata kujenga Airport Mbuga ya Serengeti. Ila sasa sisi wajanja kumzidi tunataka kujenga...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Serengeti imekuwa ikiinufaisha Arusha kwa miaka mingi, Ujenzi wa uwanja wa ndege unawapa hofu kubwa sana ndio maana hoja haikauki bungeni

    Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja na imeonyesha haijaanza leo bali ni ya muda mrefu sana kupiga sabotage uwanja huu, ila kwa sasa...
  12. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali iangalie kwa karibu zoezi la uandikishaji wanufaika wa TASAF Wilaya ya Serengeti

    Serikali inapaswa kuliangazia kwa karibu zoezi la uandikishaji wa wanufaika wa TASAF katika Kata ya Nyambureti, Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara, hususan katika vijiji vya Gusuhi, Nyambureti na Maburi. Kuna madai ya kuwepo kwa udanganyifu mkubwa katika mchakato huo, jambo linalozua maswali...
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanywaji wengi wanapenda Serengeti Lager ndogo wakati kubwa ni rahisi zaidi?

    Hapa nilipo Serengeti Lager kubwa na ndogo zoto ni bei mmoja Tsh2500 ila ndogo ndio zinatembea zaidi, wanaokunywa kubwa wanahesabika!
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Fedha za Zawadi kwa Serengeti Boys, Tanzanite Queens zitalipwa, mchakato wa fedha za serikali unaendelea ili walipwe

    Baada ya mjadala kuwa mkali mtandaoni kuhusu ahadi ya serikali kwa timu hizo kugeuka hewa, Msigwa amekuja kutoa ufafanuzi, kuwa wanazifanyia kazi na mchakato unaendelea, huku kwa Tanzanite Queens mchakati ukielekea kukamilika. Hivi wangelipwa kweli kama raia wasingeliibua? ==== "Nimeona...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mkataba wa Arsenal na Rwanda umefika tamati baada ya miaka 8. Waziri Makonda fanya mchakato tuone “Visit Serengeti”

    Mkataba wa Rwanda Development Board (RDB) na Arsenal umeisha msimu huu wa EPL (2025/26)! Kwahiyo jersey za Arsenal hazitakua na Visit Rwanda mkononi tena. Jimbo liko wazi, Waziri wa Michezo na board yake, fanyeni mtangaze vivutio vyetu. #COYG
  16. D

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys wapigwa 500M

    Kichwa kinajieleza. Kambi imevunjwa leo, kesho wameambiwa asionekane mtu Tifany Hotel, kwenye Account kuna 2M za TFF pekee. Ahadi ya 500M imeota mbawa, wameambiwa waache A/c hela zitaingia ila madogo hawana imani maana hakuna ambacho walishawahi kuahidiwa wakatimiziwa. Haya mambo yanaumiza...
  17. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kama Taifa tuna hasara kubwa sana kama wanasiasa hawatajifunza baada ya kuwaharibia vijana wa Serengeti boys

    Guys Huyu dada na akili mara mia ya Makonda. kiufupi Makonda ni empty head kabisa sijui huwa anatumia ubongo upi kutekeleza mambo yake. Mara nyingi amekuwa ni mtu wa papara na mipango mibovu mibovu kwa kweli kama Taifa tuna hasara kubwa sana. Acha tu Nchimbi aitwe YUDA maana namba moja...
  18. K

    JamiiForums Tanzania AFCON U-17 Morocco: Kauli ya Miraji Maramoja “Tuwaache Tusiwaingilie” Imekuwa Unabii Uliotimia Serengeti Boys?

    Wakuu salamu, Wakati timu yetu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Boys) ikielekea nchini Morocco kwenye fainali za AFCON U-17, mchambuzi mahiri wa soka nchini, Miraji Maramoja, alitoa kauli fupi lakini nzito sana: “Tuwaache tusiwaingilie.” Wakati ule, wengi walichukulia...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Makonda alivyoshuka Jukwaani na kwenda kuomba Picha na Chole wa Serengeti Boys

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda baada ya timu vijana ya Serengeti Boys kupoteza fainali ya AFCON U17 mbele ya Senegal
  20. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa na Serengeti Boys kutotwaa ubingwa, raha tupu yaani!

    Numeona nianzishe Uzi kama huu, maana wenzangu wengi wameshafungua nyuzi za kuipongeza Serengeti Boys kutema ubingwa. Nimeona nami nisibaki nyuma katika hili. Hongera Serengeti boiz 👏👏👏👏.
Back
Top Bottom