serengeti

  1. C

    JamiiForums Tanzania Huku gharama za maisha zikizidi kupanda, serikali haramu yaipa serengeti boys Tsh Milioni 500.

    Kuna vitu vinasikitisha sana. Watanzania tulifanya makosa sana kuwaacha hawa manyangau wawe wazima 29 Oktoba. Hakuna wanalojali kuhusu wananchi zaidi ya kujiamulia na kuila nchi yetu tu. Fikiria, pamoja na gharama za mafuta kupanda kunakopelekea maisha kuwa magumu, hakuna jitihada zozote...
  2. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Baada ya Serengeti Boys kufuzu Fainali AFCON U17, tubaki hukuhuku tusiende kuwavuruga vijana

    Pia soma... ~ Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati ~ Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu Serengeti Boys, Juni 2, 2026 Video: Mchambuzi Smart
  3. R

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu Serengeti Boys, Juni 2, 2026

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya michuano ya AFCON kati ya Timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys na Senegal...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bingwa Wa Dunia Wa Masumbwi Crawford Kuitangaza Serengeti Kimataifa

    Katika muendelezo wa kuitangaza Tanzania duniani kupitia utalii wa michezo, leo Mei 28, 2026, bingwa wa masumbwi duniani, Terence “Bud” Crawford, amekabidhiwa rasmi ubalozi wa utalii baada ya kukutana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji. Tukio hilo limefanyika ndani ya Hifadhi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Serengeti Boys wameandika historia kwa kutinga Fainali ya AFCON U17 baada ya kuiondosha Misri kwa ushindi wa mikwaju ya penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 90 za mchezo mkali uliochezwa usiku huu. Serengeti Boys wanamsubiri mshindi kati Senegal vs Morocco ambaye ndiye watakutana...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Serengeti ni moyo wa utalii wa Tanzania, halafu bado tunabishana kuhusu airport? https://youtu.be/9eOKGUVCjA4?si=UOzbKsu_RKP-Xeck Wakenya waliona tumelala, wana mipango ya kujenga airport karibu na Maasai Mara ili watalii watue moja kwa moja karibu na destination yao. Tumechelewa sana kuweka...
  7. Think2

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa uwanja wa ndege Serengeti

    Serikali hao wanaopiga promo ujenzi wa kiwanja cha ndege wanatafuta mianyaa ya kuiba fedha za umma tu Sasa unajengaje kiwanda cha ndege maeneo hayo miundombinu kama barabara ni mbovu kipindukia za tope Ikumbukwe kwa musoma kuna ujenzi unaendelea wa kiwanja cha ndege na hapohapo mnataka tena...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Kijaji: Serikali itatoa Shilingi Bilioni 8.1 kukarabati miundombinu Serengeti

    Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amesema serikali itatoa shilingi bilioni 8.1 kwa ajili ya matengenezo ya miundombinu ya madaraja na barabara zilizoharibiwa na mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha baadhi ya magari ya watalii kukwama kuendelea na safari kwa muda mrefu...
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Tukio hili limetokea kwenye hifadhi ya Serengeti

    Kumekuwepo na video zinasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania zikionyesha magari yakisombwa na maji katika mto. Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo wametoa maoni wakidai kuwa tukio hilo limetokea katika Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania. Waziri wa Maliasili na...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Ilikuwa bia tamu yenye ujazo wa uhakika na kilevi cha kueleweka Niliinywa kwa mara ya kwanza mwaka 1994 kwenye promotion iliyokuwa inaendeshwa na Prime time promotion pale Mwananyamala Siku ya pili nilipitia hapo bar nipate mtori niwahi job nikaagiza moja ya kushushia.. By the time namaliza...
  11. funaku

    JamiiForums Tanzania The provoked Serengeti lioness

    She was calm,honest and had a forever loving attitude towards all the Cubs and kittens. Genuinely intended to bring peace, prosperity and healing. Unfortunately those persistent stubborn, greedy, puppets and traitors have proveked the lioness ... The one notable character of Serengeti lioness...
  12. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wazee wa mila Serengeti watishia kulaani vijana watakaoandamana

    Wazee wa Mila Wilayani Serengeti, Mkoani Mara, wametoa onyo kali kwa Kijana yeyote atakayeshiriki maandamano, wakisema atatalaniwa na kutengwa na koo yake Wakizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marco, Wazee hao wamesema Wananchi wa Serengeti wanategemea shughuli za Kilimo...
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Nchi ilipofika mnyama wa serengeti analindwa vizuri kuliko raia

    CCM imeifikisha nchi sehemu mbaya sana, kwa sasa raia unawindwa kama paka na ukipatikana unapigwa kama mbwa mwizi na kuteswa ikiwezekana uuwawe kabisa. Why ? Ni hawa matajiri wanafanya haya? Au vigogo wanaopora haki za raia wa kawaida ? Inahitaji kuandamana hadi viongozi watusikie?
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwambien Rais Samia Vijana aloamuru Washughulikiwe pale Serengeti, wameumizwa na kuvunjwa, Mmoja yuko ICU

    Ndugu yangu unaweza jiuliza, huyu ni Mama na aliwahi kulea ??. Lile suala analodai Vijana wanawasukuma wenzao mbele , lilikua ni Suala la kusema "Wasaidieni waweze kusimama vizuri Kwa Utulivu ". Ila kwakua anajua HAPENDWI . kwakua anajua wamekuja Mkutanoni baada ya KULIPWA PESA hawezi kua nao...
  15. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tunajenga uwanja wa ndege Serengeti kukuza utalii

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga Uwanja wa ndege Mugumu Serengeti kama sehemu ya kutimiza adhma ya Chama Cha Mapinduzi ya kufikisha idadi ya watalii Milioni nane wanaoitembelea Tanzania kwa mwaka kufikia...
  16. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Suggested 3-Day Serengeti Camping Safari (Domestic)

    Day 1: Departure from Arusha (au karibu), kufika Serengeti kwa mchana, safari ya mchana (game drive), kulala campsite Serengeti. Day 2: Siku nzima ya game drives ndani ya Serengeti—uwezekano wa kuona the Big Five, uhamaji mkubwa wa nyumbu na pundamilia (inapotokea), twiga, faru, chui, simba na...
  17. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Itinerary ya Safari ya Siku Mbili – Serengeti National Park (Camping Safari)

    Itinerary ya Safari ya Siku Mbili – Serengeti National Park (Camping Safari) Karibu sana ndugu yangu Mtanzania! Kama tour guide mwenye miaka mingi ya uzoefu, napenda nikushirikishe itinerary ya safari ya siku mbili Serengeti. Safari hii ni budget friendly camping safari, lakini bado inakupa...
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania TBL na Serengeti tutengenezeeni local ciders(Savannah) za Tanzania kama Kenya

    Kama ni soko la cider Tanzania tayari liko kubwa sana kwa sababu karibia wadada wote wa mjini kila ukiwagusa kinywaji wanachotaka kwanza ni Savannah, hata wakaka wa mjini wengi tu wanapenda Savannah. Kama ni apples za kutengenezea cider zimejaa tele Njombe na Lushoto, mkitaka mtaletewa za...
  19. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro ya Sweden yatwaa ubingwa wa bonanza la Serengeti nchini Ubelgiji

    KILIMANJARO YA SWEDEN YATWAA UBINGWA WA BONANZA LA SERENGETI NCHINI UBELGIJI Na Mwandishi Wetu, Antwerp, Ubelgiji. Timu ya soka ya Watanzania iitwayo Kilimanjaro kutoka Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika tarehe...
  20. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mara, Mary Daniel aibuka Mshindi Kura za Maoni Mgombea Ubunge Serengeti

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mara, Mary Daniel, ameibuka mshindi wa kura za maoni za CCM kuwania ubunge wa Jimbo la Serengeti, akimshinda kwa mbali mbunge aliyemaliza muda wake, Amsabi Amri Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na mratibu wa uchaguzi huo...
Back
Top Bottom