Bila presha wadau mbalimbali waliyoitoa Lissu asingetangazwa leo
Shukrani. Kwa Kigogo2014, real good luck haule, viongozi wa cdm na wanachama kwa ujumla
 
Sikuwa online, lakini nafikiri kwa sababu Lissu ni mwanasheria na muungwana sana lazima baada ya uteuzi kamshukiru sana jaji..ambaye kisheria ni senior kwake...

nakukuu

:Asante sana kaka yangu, nashukuru mno...." asante. Huku akitoa tabasam kwa kaka yake wa kisheria.

Lissu ni mtu mwema sana sana!!

Congratulations Lissu...first step done!!
 
Mahakama za Tanzania ni hovyo sana kitendo chao cha kuwarejesha wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi ilikuwa ni kosa kubwa sana.

Wakurugenzi ndio walio mstari wa mbele katika kuvuruga uchaguzi ili kuipendelea ccm. Kama hatutapata katiba mpya hizi chaguzi hazitakuwa na maana yoyote zitabaki kuwa ni chaguzi za kihuni tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…