Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,099
22,538
Salaam, Shalom!

Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa.

Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.

Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.

NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!

CHADEMA,imeendelea kutuonyesha jinsi Gani imekomaa kisiasa, sababu Mh Lissu Ameyasema haya mbele ya Mh Mbowe na Lema wakiwa wanatabasamu.😀😀😀

Chanzo/Source: WANANCHI TV.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿,

Mungu ibariki CHADEMA.

Amen

==
NB: Tundu Lissu hakuzungumza kitu kuhusu Uchaguzi wa Mwaka 2025, bali amezungumza namna ambayo alikuwa amefahamiana na viongozi wa dini.
 
Salaam, Shalom!

Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa,

Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.

Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.

NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!

Source: WANANCHI TV.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Amen
Huwa mnafuatilia hata mambo ya kijinga!! Hii nchi ni ngumu sana
 
Mbumbumbu Lisu

Huyu Jamaa Toka aanze kuvaa pampas akili zimehamia kwenye kitako

Anashiriki tu Rais wetu ni Samia Suluhu Hassan

Yeye akajifiche kwa mabwana zake huko
 
Tatizo la Lisu uongo mwingi.Kwa mfano,huwa anasema siku anapigwa risasi Magufuli masaa mawili tu kabla alikuwa ametoka kusema wasaliti hawana budi kuuawa.Inawezekana Magufuli aliwahi kutamka maneno hayo,lakini siyo siku hiyo hiyo aliyopigwa risasi.
Pia sheria za kulinda maliasili za taifa zilizotungwa mwaka 2017 ambazo Lisu alizipinga sana siku zinajadiliwa bungeni,lakini sasa hivi ndizo anazitumia kuikosoa Serikali kuhusiana na bandari na misitu,mbuga nk.
Hasemi kuwa sheria hizo hazifai tena.Vile vile,hataki kukiri kuwa sheria hizo zimekuwa na manufaa makubwa hususan kwa upande wa madini.
Siyo muungwana na ni muongo mkubwa.
 
Tatizo la Lisu uongo mwingi.Kwa mfano,huwa anasema siku anapigwa risasi Magufuli masaa mawili tu kabla alikuwa ametoka kusema wasaliti hawana budi kuuawa.Inawezekana Magufuli aliwahi kutamka maneno hayo,lakini siyo siku hiyo hiyo aliyopigwa risasi.
Pia sheria za kulinda maliasili za taifa zilizotungwa mwaka 2017 ambazo Lisu alizipinga sana siku zinajadiliwa bungeni,lakini sasa hivi ndizo anazitumia kuikosoa Serikali kuhusiana na bandari na misitu,mbuga nk.
Hasemi kuwa sheria hizo hazifai tena.Vile vile,hataki kukiri kuwa sheria hizo zimekuwa na manufaa makubwa hususan kwa upande wa madini.
Siyo muungwana na ni muongo mkubwa.
Kimada wa mzungu huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom