Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Shehe Farsy katika Qurani yake ya tafsiri ya Kiswahili katumia Jina la Isa.

Mi najiuliza ni kwanini asitumie jina la Yesu ambalo ndio la Kiswahili ?

Waarabu Wakristo wanatumia jina la Yesu wanamwita Yasu.

Mtu anayebisha afungue sasa hivi kwenye YouTube video clips asikilize nyimbo za Waarabu Wakristo wanavyo imba Jina la Yesu kwa kutaja Yasu na sio Isa.

Kwanini wasi imbe Isa ?

Hapa inaonekana jina la Isa sio la Kiarabu wala la Kiswahili. Bali ni la Dini ya Kiislamu pekee.

Kwenye Qurani ya Kiswahili linatumika jina la Isa. Na ni kitabu pekee kinachotumia hilo jina. Kwanini asiandikwe Yesu humo ?
 
Hujakosea kabisa, Qur'an ni janja kweli kweli tena. Ni kitabu pekee kinacho/kilicho challenge watu na majinni mkusanyike mufaya japo sura moja tu kwa mfano wake, mmeshindwa kwa miaka zaidi ya 1400 mpaka sasa na hamtoweza. Somaa...

Please sit comfortably, lend me your ears and your heart and let me tell you why no human being can ever replicate the Qur'an.

The Qur'an is built around a fascinating and mind blowing structure that cannot be attributed to coincidence. This design or structure is built around mathematics. When most people think of the Qur'an's challenge of producing the like of the Qur'an, their mind usually fixate on the poetic structure of the Qur'an. Some people will focus mainly on the scientific structure. But there is a numerical structure that goes against all odds. Another thing about this challenge, the Qur'an keeps making the challenge easier. In one place, it says produce the like of the Qur'an. In another place, it says produce half of the Qur'an. It keeps making the challenge easier. In one other place it says, produce one chapter(the shortest chapter of the Qur'an is 3 verses long). Just one. It is not asking for a whole Qur'an. Now here's the brilliance of the Qur'an. It knows for one to accept this challenge, one must be a professional or a native speaker of the Arabic language, hence the Qur'an makes Another challenge. It says, point out a contradiction in the Qur'an. For this challenge, anyone can play. And the kind of contradiction we are talking about is like the one you find in the Bible, whereby for a single event for example like the census in the Bible, two different numbers were given. But let's move on from all of this and let us focus on the numerical structure of the Qur'an.

There are numerous instances in the Qur'an where the Qur'an mentions a word and also a contrasting word, and though these words are in different places of the Qur'an, it turns out the two words, i.e the word and it's contrast is used in equal number of times. For example:
  • Hot and cold is used 4 times each.
  • Man and woman is used 24 times each.
  • The Qur'an says in Surah 3:59, the example of Jesus with God is like Adam. It turns out Jesus and Adam is each mentioned 25 times in the Qur'an.
  • The devil is mentioned 68 times and the Angel is mentioned 68 times. This is assuming we are using the word itself.
  • If we take all of the various forms by which the devil (s) and the angel(s) are mentioned, they are each mentioned 88 times. It is balanced again.
  • The Qur'an contrast this world with the next world or hereafter. They are each mentioned 115 times. How does this coincidence come about?
  • The word for Month- singular- occurs in the Qur'an 12 times.
  • The word for Day(singular) without any suffixes occur 365 times. How does that come about. What are the odds?
The Qur'an is comprised of 114 chapters and each chapter carries with it the chapter number and the number of verses in the chapter. It turns out there is a mathematical relationship between these two numbers- the chapter number and the number of verses. Formula:
  1. Add them across. That is to say you add the chapter number with it's total number of verses. This will give you as you would expect 114 results comprising of even and odd numbers.
  2. Here's the first shock. Half of those numbers (57) is even and the other half is odd. What created this fine balance? What book on this planet with chapters and verses that can be added to produce this balance of even and odd? This formula has been tried with the Bible, all of its books and non pass the test.
  3. Now take the 57 even number result and add them up together. You get the grand total of 6236. 6236 (hold your breath) is the total number of verses in the entire Quran.
  4. Now let's add all of the 57 odd numbers. You should get 6555. You remember I told you there are 114 chapters that makes up the Qur'an. Well 6555 is what you get if you add up all the chapter numbers of the Qur'an. Simply put, if you add from 1 to 114, you get 6555.
First, what these numbers show really is that not a word have been added to the Qur'an, nor a word removed since adding one word or removing one will break all of the patterns that we have talked about so far. This is the system by which Allah has chosen to preserve the Qur'an.

The number 19:

Studies about the Qur'an have revealed that things in the Qur'an measure up to 19. That is to say there is a pattern of 19 in the Qur'an. Now, I did not just pick this number out at random. The number 19 itself is mentioned in the Qur'an and Allah in the Qur'an gives reason for mentioning this number.

Qur'an 74:30–31

Pay special attention to verse 31 and especially the part in bold. Those are the reasons given for the number 19. Not only that, but the very reaction towards this post I'm writing is already predicted. That, the Muslims will see this and it will increase them in their faith. And for the people of the scripture, this will convince them in a way. And then there will be those who are disbelievers who will deride this answer and shrug it off as nothing. Either response is welcomed.

Now let's examine this number.
  • The verse that details the purpose of the number 19, i.e, the 31st verse contains 57 words(Arabic words-not the translation) which is 19 times 3.
  • The words in this chapter, chapter 74, up to the 30th verse are 95 words which is 19 times 5.
  • If we count the words within the first 19 verses of this chapter we get a total of 57 words, which is 19 times 3.
  • If we count all of the letters from the very first verse of this chapter coming all the way down to the mention of the number 19 while excluding the number 19 itself, there are 361 letters. 361 is 19 times 19 or 19 squared.
  • Let's go to one of my favorite Surahs, Surah 96(Alaq). As you know, the first five verses of this Surah was the very first verses revealed to the blessed Prophet Muhammad in the cave. These first five verses is made of 19 words.
  • Count the letters in the first five verses of Surah 96 you get 76 letters which is 19 times 4.
  • Count all the letters in this entire chapter, there are 19 times 15 letters which is 285.
  • The number 285- a multiple of 19 occurs in other places of the Qur'an, like in the 72nd chapter. This chapter by the way ends by saying that “God has taken into account everything NUMERICALLY”. The last word in this chapter is numerically. This chapter has 285 words a multiple of 19 as we've said.
  • If we check the last word of every verse of the Qur'an and we add up all of the letters, we get a total of 114 letters. We've seen this number before, haven't we? It is the total number of chapters of the Qur'an, which again is a multiple of 19 (19x6). Can you seriously attribute the occurrence of 19 to mere coincidence?
The disjointed letters:

Some chapters of the Qur'an begins with disjointed letters. The meaning for which no Muslim claims to know. Here we go again:
  • The 50th chapter of the Qur'an begins with the letter ق (qaf).
  • The number of times the letter ق is used in chapter 50 of the the Qur'an is 57, which is 19 times 3.
  • The 42nd chapter has the letterق as a disjointed letter in the beginning of the chapter. And here too, the letter appears 57 (19 x 3) times.
  • Do you see how both chapter 50 and 42 that begins with the disjointed letter ق or qaf has the letter appearing 57 times in each chapter? And do you also remember how we said in the begining that there is a relationship between the chapter number of the Qur'an and the number of verses? It turns out similar pattern plays out for both chapter 42 and 50.
  • In both cases for these two chapters (50 and 42), the chapter number plus the number of verses totals 95. 95 is 19 times 5. How?
  • Previously I stated that both Jesus and Adam is mentioned 25 times each in the Qur'an. Mind you the Qur'an was revealed in bits and pieces hence the mentions occur in different places of the Qur'an. Also the Qur'an was only finally compiled after the passing on of the Prophet. The question becomes, who was counting these occurrences to make sure they check out to be equal. Anyways let's leave it at that. But Jesus and Adam is mentioned in Surah 2 and Surah 3 first together. In Surah 3:59, is where the actual quotation that “Jesus in the eyes of God is like Adam” is taken from. From Surah 3:59(the 7th mentions of both Jesus and Adam) onwards, the two names do not occur in the same chapter (they were mentioned separately in other chapters) until in Surah 19 where they both appear again together. Hold your hat. Surah 19 is the 19th time Jesus is mentioned and the 19th time Adam is mentioned.
  • If we count the number of verses from the 7th mention of Adam(not with Jesus) in Surah 3:59 to the 19th mention in chapter 19, we get a total 1957 verses. 1957 is 19 times 103.
  • If we do the same for Jesus, we also get 1957. On what planet can this be attributed to coincidence.
Before I conclude let me say this, I have not scratch the surface of the numerical and mathematical patterns of the Qur'an. We can speak about the number 19 all day. And not just the number 19. There are other numbers too, like the number 7 and it turns out when the Qur'an explicitly mentions a number, it tends to build a consistant pattern around that number.

In conclusion, if you ever intend to take up the challenge of the Qur'an, this is what you are going up against. First you will have to provide a book or a chapter that has a consistent equal number of contrasting words. You will choose your own number and model your book around that number. Your book must provide new knowledge that people in the 21st century cannot fathom. You know like the way the Qur'an has the audacity to tell us before modern Science that in fact even the sun moves in it's own orbit or that fire can occur under the ocean. Then your book must be poetic, dazzling and captivating to the reader. And now, most importantly, your book must make sense or have a clear goal. For now we will just ignore the impossible feat of having 2 billion people read your book more than once.

Now I've read some of the answers here and mostly from the so called ex-muslims. They try to be condescending while trying to maintain a scholarly decorum about Islam. I'll say this, no one, not a human being nor a computer can produce the like of the Qur'an. There's nothing I'm not willing to bet on this. If you think you have managed to replicate the Quran or part thereof, bring it forward, give us a good laugh.

Credits:

Dr. Shabir Ally.

Dr. Ally has done an incredible research into the numerical structure of the Qur'an and my answer relies heavily on his research.
Quran Ni KITABU Cha mashetan ,sijui unaongelea kitu gan
 
Hii ni sawa na kuuliza kwa nini yesu atambulika kama yesu ndani ya bibilia.

Yani anatambulika hivyo kwa sababu ndo aliitwa hivyo,hilo sio jina la utani alilopewa na Qurani ni jina halisi ambalo Qurani imenukuu na kutusimulia visa vyake.

Yeye hakua na baba kwa maana Allah alijaalia mariam apate mimba bila ya mume.

Na hiki kitendo cha kuwa hana baba ndio maana akaitwa issa bin maryan.

Bin ni mtoto wa kiume.
Binti ni mtoto wa kike

Kwa hivyo ukiambiwa john bin magufuli hii bin inamhusu aliyetangulia kutajwa na sie anaefuata kutajwa.

Mfano.

Samia bint hassa. Manake unajua binti inamhusu samia kwa maana hapa samia ndio binti mwenyewe.

Hii bin na binti sana ipo katika lugha ya kiarabu ambayo ina utajiri wake wa maneno kama lugha zingine.

Yule ni mtume mkuu kwa mujibu wa Qurani.lakini Qurani haikuishia hapo tu kutambua kwamba ni mtume bali iendelea kuonesha kwamba inatambua kuna watu wanamtukuza kinyume na alivyo.

Mfano ukiangia aya hii..

وإذ قال الله يا عيسى ابن مريم أأنت قلت للناس اتخذوني وأمي إلهين من دون الله قال سبحانك ما يكون لي أن أقول ما ليس لي بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علام الغيوب [ AL - MAIDA - 116 ] Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.

Hii aya inaelezea future time yaani kana kwamba imefanya time travelling na kujua kitakachotokea siku ya kiama.




Hili ni swala ambalo wanatakiwa wajibu hao watu ambao hawatumii Qurani

Kuwajibia suala kama hili hatutafanya haki.
Wakristo jifunzeni jambo hapa. Kama hizi ni nukuu kweli za Quran. Hapo wanaosemwa kumuabudu Yesu na Mariam ni Wakristo! Maana yake habari za bikira Maria kwenye Kanisa si za juzi ni toka karne za awali ndio maana hapa tunatuhumiwa.... nilitaka tuone hilo sio kujibu tuhuma.
 
Hii ni sawa na kuuliza kwa nini yesu atambulika kama yesu ndani ya bibilia.

Yani anatambulika hivyo kwa sababu ndo aliitwa hivyo,hilo sio jina la utani alilopewa na Qurani ni jina halisi ambalo Qurani imenukuu na kutusimulia visa vyake.

Yeye hakua na baba kwa maana Allah alijaalia mariam apate mimba bila ya mume.

Na hiki kitendo cha kuwa hana baba ndio maana akaitwa issa bin maryan.

Bin ni mtoto wa kiume.
Binti ni mtoto wa kike

Kwa hivyo ukiambiwa john bin magufuli hii bin inamhusu aliyetangulia kutajwa na sie anaefuata kutajwa.

Mfano.

Samia bint hassa. Manake unajua binti inamhusu samia kwa maana hapa samia ndio binti mwenyewe.

Hii bin na binti sana ipo katika lugha ya kiarabu ambayo ina utajiri wake wa maneno kama lugha zingine.

Yule ni mtume mkuu kwa mujibu wa Qurani.lakini Qurani haikuishia hapo tu kutambua kwamba ni mtume bali iendelea kuonesha kwamba inatambua kuna watu wanamtukuza kinyume na alivyo.

Mfano ukiangia aya hii..

وإذ قال الله يا عيسى ابن مريم أأنت قلت للناس اتخذوني وأمي إلهين من دون الله قال سبحانك ما يكون لي أن أقول ما ليس لي بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علام الغيوب [ AL - MAIDA - 116 ] Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.

Hii aya inaelezea future time yaani kana kwamba imefanya time travelling na kujua kitakachotokea siku ya kiama.




Hili ni swala ambalo wanatakiwa wajibu hao watu ambao hawatumii Qurani

Kuwajibia suala kama hili hatutafanya haki.
UISLAMU UMEANZISHWA NA ROMAN CATHOLIC , ELEWA HILO

Kipind Quran inaandikwa tayari Ukristo ulishakuwepo na Yesu alikuwa anatambulika Ni MUNGU ,

Hiyo time traveling inatokea wapi

Yaan leo nije na Kitabu niseme Wanadhambi wanaomuita Yesu Ni Mungu, useme ni time traveling?

Wakati Biblia ipo miaka mingi kabla ya Quran


NDIO maana TUNASEMA UISLAMU Ni Dhehebu la Roman Catholic
 

Attachments

  • FB_IMG_1653718923635.jpg
    FB_IMG_1653718923635.jpg
    34.7 KB · Views: 35
wewe mkristo na yesu wako na hao waislam na mtume wao wote wapumbavu.
nyie Ni wajinga hasa wewe, maelezo meeengi yote ya kukaririshwa na ukiambiwa Leo yesu alikuwa mtu mweusi nadhani utarusha ngumi kabisa. Fool
Acha wajinga wajifunze huenda wakaelimika wewe mwenye akili pita kwa mbali
 
Yesu alizaliwa tarehe 01/01/01.
Ndio maana leo ni tarehe 07/05/2022 Baada ya Kristo.

Nyie sijui mko tarehe ngapi, mwezi Shaabani mwaka mnaujua wenyewe.

Yaani wewe hata jambo hili jepesi hulifahamu ?

Kweli Allah na Muhammadi wamewapiga na kitu kizito kichwani
YESU alizaliwa mwaka wa 6 kushuka chini, kipindi hicho walikuwa wanaenda mpaka mwaka 2000 kisha wanaanza kurudi kinyume nyume hawaendelei, kwahiyo mwaka 6 YESU akazaliwa, alipofufuka na kupaa wataalam na wandishi wakaona umuhimu wake hapana aliyetokea nakufanya mambo makubwa kama haya huo mwaka aliozaliwa ndiyo ukaanza kuhesabiwa mwaka 1
 
Rushdie Mwislamu Mwarabu mwenye PHD ya Dini ya Kiislamu. Alistuka na akaandika kuwa Qurani ni Satanic Verse.
Zimeandika uwongo mtupu.

Mnataka kumwua badala ya kumjibu hamwoni kuwa hili ni tatizo ?

Yesu Kristo aliandika mahali akasema.

Mathayo 11:16 Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni,
wanaowaita wenzao, wakisema,

17 Tuliwapigia filimbi, wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.

18 Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakasema, Yuna pepo.

19 Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.

"Mmejiwa na anaye jiita Mtume, Sisi tukaimba sana na kusema huyu ni tapeli wala hamkusikia"

Tuwafananishe na nini ?
Kizazi cha nyoka [emoji3]
 
Ila kuna swali huwa najiuliza hivi ilikuaje hadi huu mkusanyiko wa vitabu kwa maana biblia ukawa ndio kitabu kimoja chenye kutambulika kwamba ndio kitabu cha waumini wa Yesu kwa maana wakristo?
Kuna wataalam na wasomi walifanya hiyo kazi yakukusanya hivyo vitabu, Agano la kale lilikuwepo na baada ya YESU likazaliwa Agano jipya kama mwinjili Luka alikuwa msomi Dr .
 
Hii ni sawa na kuuliza kwa nini yesu atambulika kama yesu ndani ya bibilia.

Yani anatambulika hivyo kwa sababu ndo aliitwa hivyo,hilo sio jina la utani alilopewa na Qurani ni jina halisi ambalo Qurani imenukuu na kutusimulia visa vyake.

Yeye hakua na baba kwa maana Allah alijaalia mariam apate mimba bila ya mume.

Na hiki kitendo cha kuwa hana baba ndio maana akaitwa issa bin maryan.

Bin ni mtoto wa kiume.
Binti ni mtoto wa kike

Kwa hivyo ukiambiwa john bin magufuli hii bin inamhusu aliyetangulia kutajwa na sie anaefuata kutajwa.

Mfano.

Samia bint hassa. Manake unajua binti inamhusu samia kwa maana hapa samia ndio binti mwenyewe.

Hii bin na binti sana ipo katika lugha ya kiarabu ambayo ina utajiri wake wa maneno kama lugha zingine.

Yule ni mtume mkuu kwa mujibu wa Qurani.lakini Qurani haikuishia hapo tu kutambua kwamba ni mtume bali iendelea kuonesha kwamba inatambua kuna watu wanamtukuza kinyume na alivyo.

Mfano ukiangia aya hii..

وإذ قال الله يا عيسى ابن مريم أأنت قلت للناس اتخذوني وأمي إلهين من دون الله قال سبحانك ما يكون لي أن أقول ما ليس لي بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علام الغيوب [ AL - MAIDA - 116 ] Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.

Hii aya inaelezea future time yaani kana kwamba imefanya time travelling na kujua kitakachotokea siku ya kiama.




Hili ni swala ambalo wanatakiwa wajibu hao watu ambao hawatumii Qurani

Kuwajibia suala kama hili hatutafanya haki.
Allah ndiyo nani? Halafu hakuna yesu kuna YESU /Yesu ukisikia majina ya pekee ndiyo kama hayo MUNGU na YESU
 
Kuna wataalam na wasomi walifanya hiyo kazi yakukusanya hivyo vitabu, Agano la kale lilikuwepo na baada ya YESU likazaliwa Agano jipya kama mwinjili Luka alikuwa msomi Dr .
Yani ilikuwaje hivyo vitabu vikawa vinawahusu wakristo?
 
Yani ilikuwaje hivyo vitabu vikawa vinawahusu wakristo?
Agano la kale lilianza katika mlolongo wake yaani vitabu vya Musa vikafuata vya manabii na vyote vilikuwa vinatabiri ujio wa masiha yaani YESU , kama cha Nabii Isaya ambacho hata yeye YESU alikisoma, ukisoma injili ya Mathayo utaona ukoo wa YESU mpaka Adam, nayote hayo aliandikwa kwa uwezo wa Mungu au roho Mtakatifu
 
Agano la kale lilianza katika mlolongo wake yaani vitabu vya Musa vikafuata vya manabii na vyote vilikuwa vinatabiri ujio wa masiha yaani YESU , kama cha Nabii Isaya ambacho hata yeye YESU alikisoma, ukisoma injili ya Mathayo utaona ukoo wa YESU mpaka Adam, nayote hayo aliandikwa kwa uwezo wa Mungu au roho Mtakatifu
Uongo
 
Issa sio Yesu kijana, tafuta uongo mwingine
Baba yake ni nani ?

Moja ya maajabu ya Mola Muumba ndo hayo... Mariam alipandikiziwa mimba bila kuingiliwa na mwanaume yoyote... Hivyo, logically, Issa ( Yesu) hana baba....
 
Back
Top Bottom