Jina la Yesu haliwezi kutumika kutokana na kwamba huyo Alie nyuma ya Quran anaplan na anajua hatma ya waliouamini uislam,,lakini yeye hatakubali kuonekana at center of anything ila always Yuko pembeni na ni mtaalam wa kujitoa,,, hahusiki,,,,ulivyotaja kitabu Cha Sheikh Farsy najua unasoma vitabu vyao,,,Na hutashangaa wakimuombea Muhammad rehema ili apunguziwe adhabu huko aliko,,,na ndiko wanakoenda,,,Isa ni jina wamepewa maana Linatumika pia kama tafsida ya kupunguza ukali wa jina la Yesu maana Kuna mazingira hasa yenye viumbe vichafu kama majini likitajwa jina la Yesu litaleta tafrani,,kwa hio Isa liko rahisi kwenye mazingira hayo kwa sababu hata maana yake ni wekundu uliochanganyika na weupe,, kwamba inawezekana Isa alikuwa zeruzeru hasa kutokana na mazingira ya shida aliokuwa nayo mama yake alieitwa MIRIAM