Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Tahadhari: huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala wa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini katika namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Hiyo Biblia unaifahamu vipi? Tuanzie hapa
 
Ukitaka kufahamu zaidi juu ya issa basi soma qurani.
Anaelezewa vizuri sana humo, pitia na hadithi za mtume muhammadi.

Au unaweza kwenda Maka na Madina sehemu alizo ishi na kukulia, utapata maelezo zaidi kwa ndugu zake wa Kikureshi.
Mh! Issa yupi sasa huyo aliyeishi Makka na Madina?
 
Jina la Yesu haliwezi kutumika kutokana na kwamba huyo Alie nyuma ya Quran anaplan na anajua hatma ya waliouamini uislam,,lakini yeye hatakubali kuonekana at center of anything ila always Yuko pembeni na ni mtaalam wa kujitoa,,, hahusiki,,,,ulivyotaja kitabu Cha Sheikh Farsy najua unasoma vitabu vyao,,,Na hutashangaa wakimuombea Muhammad rehema ili apunguziwe adhabu huko aliko,,,na ndiko wanakoenda,,,Isa ni jina wamepewa maana Linatumika pia kama tafsida ya kupunguza ukali wa jina la Yesu maana Kuna mazingira hasa yenye viumbe vichafu kama majini likitajwa jina la Yesu litaleta tafrani,,kwa hio Isa liko rahisi kwenye mazingira hayo kwa sababu hata maana yake ni wekundu uliochanganyika na weupe,, kwamba inawezekana Isa alikuwa zeruzeru hasa kutokana na mazingira ya shida aliokuwa nayo mama yake alieitwa MIRIAM
Jina ni jina tu ndio maana kwenye biblia ya kiingereza anaitwa Jesus na si Yesu hivyo na lugha zengine wanamwita kwa jina lengine, sasa hapo iweje muone jina Yesu lina athari yeyote? Hii ni imani ya kijinga maana hata huyo mnaemwita Yesu mwenyewe halijui hilo jina la Yesu wala Jesus ila nyie mnasema jina Yesu linamiujiza.

Lina uzito gani hilo neno Yesu hadi mkaamini lina miujiza? Lina historia gani?
 
Quran imewataja manabii wengine pia kama Suleiman na Daud hivyo haikuchukua jukumu la kuwaelezea kwa undani kama kwenye vitabu vyao
Kuna shida ya muda mrefu juu ya ufahamu wako wa dini ya Kiislamu na kitabu chake

Kuna aya kwenye Quran inasema "Siamini mnacho amini wala hamtaamini ninacho kiamini" (tafsiri yangu)
Case closed
 
Mtu anayeanza na hoja ya dini zimeletwa siku zote ni wa kupuuzwa, tumeletewa mpaka nguo mbona hatujagoma tukatembea uchi,tumeletewa tiba za hospitalini hatujagoma,ila dini kwa sababu kwa upande wako mambo hayaendi unataka wote wazikatae, we baki na ignorance yako kuhusu mambo ya dini.

Sisi wengine ni Christians, na tunamuona Mungu katika maisha yetu haijalishi dini hzi kuna mtu alizipokea kwanza kisha na sisi tukazipokea au tumeitunga wenyewe,the fact kwamba its true is enough for us.
 
Yesu atakuja kuwahukumu wanadamu,kwani Yeye ndiye aliyewaumba?Mwenye uwezo wa kuwahukumu Wanadamu ni Mungu peke yake ambaye ana sifa zote za Uungu,hakuzaliwa hafi,hana mwanzo wala mwisho
Muhammad (ﷺ) said, "By Him in Whose Hands my soul is, surely (Jesus,) the son of Mary will soon descend amongst you and will judge mankind justly ;.....Sahih al-Bukhari 3448
 
Mtu anayeanza na hoja ya dini zimeletwa siku zote ni wa kupuuzwa, tumeletewa mpaka nguo mbona hatujagoma tukatembea uchi,tumeletewa tiba za hospitalini hatujagoma,ila dini kwa sababu kwa upande wako mambo hayaendi unataka wote wazikatae, we baki na ignorance yako kuhusu mambo ya dini.

Sisi wengine ni Christians, na tunamuona Mungu katika maisha yetu haijalishi dini hzi kuna mtu alizipokea kwanza kisha na sisi tukazipokea au tumeitunga wenyewe,the fact kwamba its true is enough for us.
Haya jadili hoja sasa.
 
Quran imewataja manabii wengine pia kama Suleiman na Daud hivyo haikuchukua jukumu la kuwaelezea kwa undani kama kwenye vitabu vyao
Kuna shida ya muda mrefu juu ya ufahamu wako wa dini ya Kiislamu na kitabu chake
Kuna aya kwenye Quran inasema
"Siamini mnacho amini wala hamtaamini ninacho kiamini" (tafsiri yangu)
Case closed

Vizuri Kwa uthibitisho kuwa Quran haijitoshelezi, Kwa kushindwa kuelezea Wahusika wake. Niliandika hapa kwenye Uzi Fulani kuwa Quran sio kitabu kikuu cha kumuongoza MTU Kwa sababu hakijitoshelezi
 
Kwanza niseme inaonekana umesoma au umesimuliwa Quruani kama hadithi lakini siyo kwa kuielewa ndiyo maana hukuilewa,nitaanza na hapa uliposema Yesu atakuja kuwahukumu wanadamu,kwani Yeye ndiye aliyewaumba?Mwenye uwezo wa kuwahukumu Wanadamu ni Mungu peke yake ambaye ana sifa zote za Uungu,hakuzaliwa hafi,hana mwanzo wala mwisho

Kwa kutokujua hicho tu unaonekana mwenyewe elimu yako ni ndogo kiasi kwamba huna uwezo wa kumchambua Issa na Yesu

Umeongezea hoja nyingine ambayo inamtofautisha Yesu na ISSA.

7. Yesu anasifa ya uungu Kwa mujibu wa maandiko na Utabiri aliotabiriwa nao. Lakini ISSA ni mtume kama mitume wengine, kina Daudi, Muhammad, Hosea n.k.
Rejea;

Mt 1:23 SUV​

Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.

Isaya 9:6 BHN​

Maana mtoto amezaliwa kwa ajili yetu, tumepewa mtoto wa kiume. Naye atapewa mamlaka ya kutawala. Ataitwa: “Mshauri wa Ajabu”. “Mungu Mwenye Nguvu”, “Baba wa Milele”, “Mfalme wa Amani”.

Yesu kwa mujibu wa maandiko anasifa ya uungu, kama Unabii unavyomuelezea hapo,.
Msikie mwenyewe,
Yohana 9
39 Yesu akasema, “Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona, wawe vipofu.”

Huyo ni Yesu, ndio maana nimeeleza Yesu na Issa ni Watu Wawili tofauti. Wakati Yesu akija kuhukumu Ulimwengu, ISSA atakuja kuoa
 
Umeongezea hoja nyingine ambayo inamtofautisha Yesu na ISSA.

7. Yesu anasifa ya uungu Kwa mujibu wa maandiko na Utabiri aliotabiriwa nao. Lakini ISSA ni mtume kama mitume wengine, kina Daudi, Muhammad, Hosea n.k.
Rejea;

Mt 1:23 SUV​

Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.

Isaya 9:6 BHN​

Maana mtoto amezaliwa kwa ajili yetu, tumepewa mtoto wa kiume. Naye atapewa mamlaka ya kutawala. Ataitwa: “Mshauri wa Ajabu”. “Mungu Mwenye Nguvu”, “Baba wa Milele”, “Mfalme wa Amani”.

Yesu kwa mujibu wa maandiko anasifa ya uungu, kama Unabii unavyomuelezea hapo,.
Msikie mwenyewe,
Yohana 9
39 Yesu akasema, “Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona, wawe vipofu.”

Huyo ni Yesu, ndio maana nimeeleza Yesu na Issa ni Watu Wawili tofauti. Wakati Yesu akija kuhukumu Ulimwengu, ISSA atakuja kuoa
kutokana na maandiko inawezekana kuna utofauti kutokana na upotoshaji ntakujibu kwamba yesu sio jina pale limetumika kama kivumishi cha sifa "uwokozi au mwokozi"
 
Alichoeleza ni kuwa Quran haijitoshelezi, kwamba imeshindwa kueleza majukumu muhimu ya Wahusika wake, isipokuwa Mhusika aitwaye Muhammad tuu.
Lakini hata nikikuuliza hapa Unipe Misheni za Daudi, au Suleiman Kwa mujibu wa Quran hutoniambia.
Hapana we ndo hujaelewa alivyosema kama Qur an inaeleza kuzaliwa na yesu mpaka kupewa jina inakuwaje hapo?

Tambu Qur an ni complete ni mfumo mza kila kitu unachojua wewe .


Nimekujibu kwa kifupi Qur an haijaacha kitu labda uzue mjadala ni mada nyingine
 
Back
Top Bottom