Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Abdul leo nimepata issue nyingine ya mudi , je kweli aliiba chupi ya mwanamke
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...

Mungu wa wakiristo alisema:

Hesabu 31:18
Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.
 
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...

Mungu wa wakiristo alisema:

Hesabu 31:18
Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.

Alio wamiliki mkono wake wa kuume NI WAKE ZAKE?? Kasim, Abdullah, na Ibrahim sio wanawe??[emoji12]
 
Ndio waliopokonywa mke hao na mtume?

Zaidi ndie aliyepokonywa mkewe na mo! chilubi mo alificha nini moyoni kuhusu Mke wa MWANAE??!
IMG_20190814_154417_847.jpeg
IMG_20190814_154521_830.jpeg
 
Ni dhahiri kabisa, ndugu waislamu huwaaminisha wakristo kuwa Yesu ndiye Issa. Kiukweli hili ni uongo mweupe! Pana tofauti kubwa Kati ya Yesu na Issa!

1. Yesu alikuwa myahudi-Issa hakuwa myahudi

2. Yesu alizaliwa Bethlehem kwenye hori la ng'ombe-Issa alizaliwa chini ya mtende.

3. Yesu hakuongea soon baada ya kuzaliwa-Issa aliongea baada ya Kuzaliwa (kama sheik Sharifu)

4. Yesu aliishi miaka 33-Issa aliishi miaka 40

5. Yesu aliteswa msalabani akafa na kufufuka-Issa cjui alikufaje.

6. Yesu ni Mungu na alitenda miujiza mingi na aliyaweza yote hata wasiyoamini-Issa hakufa msalabani, alitoroka!

7. Yesu aliacha mitume 12-Issa anasema Mtume wa mwisho ni Muhammad ambaye Yesu hamtambui kama Mtume Bali kiumbe wake.

Tofauti ni nyingi, Waislamu bakini na Issa wenu,msilazimishe wakristo wamuamini.

Nadhani ndiye aliyeachiwa Injili yenu isiyoonekana mpk mwisho.
 
Issa ni mojawapo ya stori za muhammad(piss be upon him)...kama mtume anasema mariam dada yake Mussa ndiye alimzaa yesu(quran 19:27-28)...wakati Yesu na mussa walipishana miaka zaidi ya 1000...sijui alikuwa hafi??? Lakini all is well wacha tumsikilize nabii wetu
Ni dhahiri kabisa, ndugu waislamu huwaaminisha wakristo kuwa Yesu ndiye Issa. Kiukweli hili ni uongo mweupe! Pana tofauti kubwa Kati ya Yesu na Issa!

1. Yesu alikuwa myahudi-Issa hakuwa myahudi

2. Yesu alizaliwa Bethlehem kwenye hori la ng'ombe-Issa alizaliwa chini ya mtende.

3. Yesu hakuongea soon baada ya kuzaliwa-Issa aliongea baada ya Kuzaliwa (kama sheik Sharifu)

4. Yesu aliishi miaka 33-Issa aliishi miaka 40

5. Yesu aliteswa msalabani akafa na kufufuka-Issa cjui alikufaje.

6. Yesu ni Mungu na alitenda miujiza mingi na aliyaweza yote hata wasiyoamini-Issa hakufa msalabani, alitoroka!

7. Yesu aliacha mitume 12-Issa anasema Mtume wa mwisho ni Muhammad ambaye Yesu hamtambui kama Mtume Bali kiumbe wake.

Tofauti ni nyingi, Waislamu bakini na Issa wenu,msilazimishe wakristo wamuamini.

Nadhani ndiye aliyeachiwa Injili yenu isiyoonekana mpk mwisho.
 
Tahadhari: huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala wa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini katika namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
 
1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.
Hana Baba.
2. Je wenye Quran wanamwamini ktk namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?
Ni mtume kama mitume wengine.... Ni mtume wa mwisho wapili kabla ya mtume Muhammad SAW
3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?
Watakuja kujibu wenyewe..
Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Naaam....
 
Back
Top Bottom