Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Inaonekana ni mgumu sana kuelewa.kuto kufanana kwa maandiko haita badilisha Yesu kuwa Issa...
Wapo watamwita mungu,wengine watamwita nabii na wengine watasema yùle sio Yesu.
Kila kitabu kimemueleza jinsi wanavyo mjua.
yaani tuiamini qurani iliyokuja baada ya miaka 600 , tuache biblia na vitabu vya historia vya kina josephus , INAKUJA AKILINI KWELI?

JINA TU LENYEWE ISSA HALIKUWEPO KABLA YA QURANI
 
Inaonekana ni mgumu sana kuelewa.kuto kufanana kwa maandiko haita badilisha Yesu kuwa Issa...
Wapo watamwita mungu,wengine watamwita nabii na wengine watasema yùle sio Yesu.
Kila kitabu kimemueleza jinsi wanavyo mjua.
HATA MTUMIE UONGO VIPI, UKWELI NI KWAMBA YESU SIO ISA

1621983514226.png
 
Aliyekuambia hivyo amekudanganya na ndio maana nakuambie endeleeni kudanganyana na ndio maana hadi Leo hamumjui Mungu wa kweli kwa ajili ya kufuata maneno ya watu

Quran 2:2
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,

3.
Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa.

4.
Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini nayo
HAKIKA MIMI MUHAMMAD ABDULLAH MTALIB NINASHETANI KAKIRI MBELE YA MKEWE AISHA

SWALI AYA ZIPI ZILISHUKA MUHAMMAD AKIWA HANA HUYO SHETANI KATI YA SURA 1 HADI 114 ILI QURAN ISIWE YA SHETANI YOTE AU AYA AYA IPI MUHAMMAD ALIFANYIWA UPASUAJI KUMUONDOA HUYO SHETANI?
😂
😁
😁


MUHAMMAD ANAKILI KUWA YEYE NI MTUME WA SHETANI MBELE ZA AISHA MKEWE
Kasema Aisha
✔
MTUME amma Kwa hakika shetani wako amekujilia leo!
#Aisha akauliza Ewe mtume wa Mwenyezi Mungu! Jee wewe unaye #shetani? Akajibu #Naamu ninaye lakini Mwenyezi Mungu alinisaidia mimi Muhammad dhidi yake #Akasilimu kuwa #Mwislamu
😁
😁
😁
👈
👈


MUHAMMAD AMEKIRI KUWA YEYE NI MTUME WA SHETANI USHAHIDI HUU HAPA
Ilisimuliwa kutoka kwa 'Ubadah bin Al-Walid bin' Ubadah bin As-Samit kwamba 'Aishah alisema:
"Nilimtafuta Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na nikaweka mkono wangu kwenye nywele zake." Akasema: Shet'ani amekujia. Nikasema: "Je! unaye Shaitan wako?" Akasema: Ndio, lakini Mwenyezi Mungu alinisaidia naye, kwa hivyo alijisalimisha.
Grade : Sahih (Darussalam)
Reference. : Sunan an-Nasa'i 3960
In-book reference : Book 36, Hadith 22
English translation : Vol. 4, Book 36, Hadith 3412

1621984027163.png

1621984079540.png
 
  • Mtu muongo ni son of the devil, kasome maelezo ya Kathir - Ibn Al Kathir acha kujitia uchizi
Hi website ya wagalatia wenzako wameiweka ili wazidi kukupotezeni mazwazwa kama nyinyi

About QuranX.com

This website was created in order to collate various Islamic sources into a single cross-referenced location. This project could not have succeeded without standing on the shoulders of giants. Thanks go to the following projects.

Hakuna mfasili yoyote wa Quran anaweza kuandika utumbo kama huu


Sin

« PrevGoNext »

36.13 Abbas - Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs(Coin for them a similitude) explain to the people of Mecca: (The people of the city) of Antioch, how We destroyed them (when those sent (from Allah) came unto them) i.e. when the emissary of Jesus, Simon the Pure, came to them and they disbelieved in and denied him;

36.13 Jalal - Al-JalalaynAnd strike for them as a similitude (mathalan is the first direct object) the inhabitants (ashāba is the second direct object) of the town, [of] Antioch (Antākya), when the messengers, namely, Jesus’s disciples, came to it (idh jā’ahā’l-mursalūna is an inclusive substitution for ashāba’l-qaryati, ‘the inhabitants of the town’).

Na wafasili wa Quran ni kwa ajili ya Ku simplify terminology ngungumu za maneno ya kiarabu sio kuweka majina katika aya za Quran ambazo Allah hakutaja hayo majina

In short mmesha ngizwa chaka na wajanja wenu

Kama mlivyokuaga mnadamganywa kuwa ile aya ya kitika Surat maida kuwa inasema wakristo ni wachamungu

Nyinyi ni wa kuonewa huruma mmepoteza muelekeo wala hamjui mnaelekea wapi

Kama unataka kujua kweli nenda ukatafute original version ya hao wafasili alafu uangalie kama utakuta jina Paulo
 
Hawa ndo mitume 25 wa Uislamu... Na wote hawa wametajwa kwenye Qur'an... Sasa nataka unioneshe huyo Paulo.

The prophets of Islam include:
Adam, Idris (Enoch), Nuh (Noah), Hud (Heber), Saleh (Methusaleh), Lut (Lot), Ibrahim (Abraham), Ismail (Ishmael), Ishaq (Isaac), Yaqub (Jacob), Yusuf (Joseph), Shu'aib (Jethro), Ayyub (Job), Dhulkifl (Ezekiel), Musa (Moses), Harun (Aaron), Dawud (David), Sulayman (Solomon), Ilyas (Elias), Alyasa (Elisha), Yunus (Jonah), Zakariya (Zachariah), Yahya (John the Baptist), Isa (Jesus) and Muhammad. Peace be upon them all.

Unajua moja kati ya vitu basic kwenye Uislamu ni kuamini hiyo mitume 25...Sasa huyo Paulo katoka wapi kama sio uzushi ?
Hadiyth ambayo Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) iliyosimuliwa na Abu Dhar ambayo alimuuliza Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) idadi ya Mitume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na akamjibu kuwa ni mia tatu na makumi kadhaa. Hadiyth hiyo imeelezwa usahihi wake na Imaam Al-Albaaniy kama ilivyo hapa chini:



عن أبي ذر ، قال : قلت : يا رسول الله ! أي الأنبياء كان أول ؟ ! قال : آدم ، قلت : يا رسول الله ! ونبي كان ؟ ! قال : نعم نبي مكلم ، قلت : يا رسول الله : كم المرسلون ؟ ! قال : ثلاث مئة وبضعة عشر ؛ جما غفيرا .
الراوي: أبو ذر الغفاري - خلاصة الدرجة: صحيح - المحدث: الألباني - المصدر: مشكاة المصابيح - الصفحة أو الرقم: 5669



Kutoka kwa Abu Dhar ambaye amesema: Nilisema: Ee Mjumbe wa Allaah, Nabii yupi wa mwanzo? Akasema: ((Aadam)). Nikasema: Ee Mjumbe wa Allaah, alikuwa ni Nabii? Akasema: ((Ndio Mtume aliyesemeshwa)) Nikasema: Ee Mjumbe wa Allaah. Wapo Mitume wangapi? Akasema: ((Mia tatu na makumi kidogo)) [Mishkaat Al-Maswaabiyh ikiwa na daraja ya Swahiyh]

Quran 36:14-19

Ufafanuzi ya Qur'ani hiyo
KWA KIARABU

(عندما أرسلنا إليهما رسلان حرمهما كليهما ؛) يعني سرعان ما كفروا بهما.
(لذلك قمنا بتدعيمهم بثالث ،) يعني ، `` لقد دعمناهم وعززناه برسول ثالث. وروى ابن جريج عن وهب بن سليمان عن شعيب الجبععي: "أسماء الرسولين الأولين شمعون (سيمون) ويوحنا (يوحنا) واسم الثالث بولس (بولس). ) ، وكانت المدينة أنطاكية (أنطاكية).
(eindama 'arsalna 'iilayhima rslan haramahuma kulihima yaeni srean ma kafaruu bihima.
(ldhulk qumna bitadeimihim bithalith ,) yaeni , `` laqad daeamnahum waeazaznah birasul thalithin. warawaa abn jarij ean wahab bin sulayman ean shueayb aljbeey: "asima' alrasulayn al'awalin shimeun (syumuna) wyuhnaa (ywhna) waism alththalith bwls (bwls). ) , wakanat almadinat 'antakia (antakiat

https://www.answering-islam.org/Shamoun/christs_apostles.htm

KWA KINGEREZA
(When We sent to them two Messengers, they denied them both😉 means, they hastened to disbelieve in them.
(so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un(Saimon) and Yuhanna (Yohana ), and the name of the third was Bulus(Paul ), and the city was Antioch (Antakiyah).

KWA KISWAHILI
Tulipowatuma Mitume wawili, nao wakawakanusha😉 inamaanisha, waliharakisha kuwakataza.
(kwa hivyo tuliwaimarisha kwa theluthi,) inamaanisha, `Tuliwaunga mkono na tukawatia nguvu na Mjumbe wa tatu. Ibn Jurayj alielezea kutoka kwa Wahb bin Sulayman, kutoka Shu`ayb Al-Jaba'i, "Majina ya Wajumbe wawili wa kwanza walikuwa Sham`un (Saimon) na Yuhanna (Yohana), na jina la wa tatu alikuwa Bulus (Paul ), na mji ulikuwa Antiokia (Antakiyah).

Kwa sasa alisema kuwa Ibn Jurayjqubo Mitume watatu (3) aliandika hivi kwa njia ya kwanza ya Simon, aliacha kuchagua Yohana na watatu ni Paulo kwa kiunga Paulo anaitwa Bulus walitumwa mji wa Antiokia
 
Swali lako halina maana kwasababu hakuna kinachoshindikana mbele ya Mungu...

Kama alizaliwa kwa tendo la ndoa,, ni jukumu lenu kutuambia baba yake alikuwa nani,,
Km hakuna kinachoshindikana Kwa MUNGU ,mbn mnawabeza na kuwakatalia wale wanaosema MUNGU alishuka Kwa namna ya mwili wa nyama

MUNGU ambaye ni huyu mnayejibizana hapa ambaye wengine mnamwita ni nabii wa kawaida?
 
Wewe ulikwepo kipindi hicho yesu anazaliwa.hizo ni ngano kama ngano nyengine tu.watu wamekaa chini wakaandika wewe ukaamini basi mishipa ya shingo inakutoka.
wakati hata mtunzi wahiko kitabu humjui..
Imani katika Biblia imethibitishwa pia na sehemu kubwa ya unabii wake, na hasa huu mmoja. Danieli, nabii wa zamani alitabiri kwa usahihi mwaka ambao Yesu alianza huduma Yake. Kwa mujibu wa Danieli 9:25, “Tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani Zake Masihi [Yesu] Aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini na mawili.” Hii ni jumla ya majuma 69, au siku 483. Wasomi kwa ujumla hukubaliana kuwa majuma ya Danieli yanapaswa yaeleweke kama “majuma ya miaka,” siku ikimaanisha mwaka, kwa jumla ya miaka 483.

Wakaldayo waliiangamiza Yerusalemu na kuchukua sehemu kubwa ya mateka kwenda Babeli. Baadaye, wafalme watatu wa Kiajemi walitoa matamko wakiwaruhusu Wayahudi kurudi kwenye nchi yao. Tamko linalokidhi kwa ukaribu sana matakwa ya unabii wa Danieli ni lile lilitolewa na Atashasta mwaka 457 KK. Hesabu rahisi huonesha kuwa miaka 483 ya Danieli iliishia katika mwaka wa 27 BK.

Yesu alitiwa mafuta kwa ajili ya huduma Yake wakati wa Ubatizo Wake. Kwenye Injili yake, Luka anatupatia taarifa za kina zilizopangiliwa zinazonesha kuwa Yesu alibatizwa mwaka wa 27 B.K. (4) Hivyo, Danieli alitabiri mwaka halisi ambao Yesu angeanza huduma Yake! Huu ni ushahidi wenye nguvu kwamba tunaweza kuitumaini Biblia kama ujumbe kutoka kwa Mungu, sio tu kutoka kwa wanadamu.

1621980593974.png
 
Wewe ulikwepo kipindi hicho yesu anazaliwa.hizo ni ngano kama ngano nyengine tu.watu wamekaa chini wakaandika wewe ukaamini basi mishipa ya shingo inakutoka.
wakati hata mtunzi wahiko kitabu humjui..
UNABII WA YESU KUHUSU HEKALU LA YERUSALEMU

“Yesu akaenda zake, akatoka hekaluni; wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya hekalu. Naye akajibu akawaambia, hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni, halitasalia jiwe ambalo halitabomoshwa.” (MT.24:1-2)

Unabii wa kubomolewa kwa majengo ya Hekalu ulikuja kutimizwa rasmi mnamo mwaka 70 B.K ambapo Warumi waliuhusuru mji wa Yerusalemu na kulibomoa hekalu zima kama Yesu alivyokwisha kutabiri.

KWANINI NISIMUAMINI HUYU YESU AISEE.....NAWAHURUMIA WANAOMUAMINI MUHAMAD

1621980919361.png
 
QURAN HAIJAKAMILIKA? Wapi inamuelezea KEDARI hadi KWA mudy....






QURANI NGAPI INAELEZA HUO UKOO KUTOKA KWA ISHMAELI HADI KWA MUDY?


KEDARI NI ADUI WA MUNGU WA ISRAEL
[emoji818]



(Isaya 21 )
------------
16 Kwa sababu Bwana ameniambia hivi, Katika muda wa mwaka, kama miaka ya mtu mwenye kuajiriwa, utaangamia utukufu wote wa Kedari.
17 Na mabaki ya hesabu ya wavuta pinde, hao mashujaa wa Kedari watakuwa wachache; maana Bwana, Mungu wa Israeli, amenena neno hili.
(Zabur 120 )
------------
1 Katika shida yangu nalimlilia Bwana Naye akaniitikia.
2 Ee Bwana, uiponye nafsi yangu Na midomo ya uongo na ulimi wa hila.
3 Akupe nini, akuzidishie nini, Ewe ulimi wenye hila?
4 Mishale ya mtu hodari iliyochongoka, Pamoja na makaa ya mretemu.
5 Ole wangu mimi! Kwa kuwa nimekaa katika Mesheki; Na kufanya maskani yangu Katikati ya hema za Kedari.

6 Nafsi yangu imekaa siku nyingi, Pamoja naye aichukiaye amani.
7 Mimi ni wa amani; Bali ninenapo, wao huelekea vita.

JIBUNI MASWALI BASI

View attachment 1798340
Quran haina mda wa kutaja majina ya watu sijui nani kamza nani na nani kamza nani kwa sababu katika Quran hakuna maneno ya waandishi


Mathayo 1:1
Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Mathayo 1:2
Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Mathayo 1:3
Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;

Huyo anaeongea hapo sio Mungu wala sio Yesu ila muandishi hakuna tofauti yoyote na huyu aliyeandika family tree ya kuanzia Ishmael hadi Muhammad au wewe unadhani hiyo injili

Injilia ambayo ni maneno ya Yesu inaanzia Mathayo 3:15 hapo Yesu ndio anaanza kuongea na hiyo ndio injili hizo za nyuma kuanzia Mathayo 1:1 zote ni brabra za mwandishi tu
Screenshot_20210523-104553.jpg
 
Quran haina mda wa kutaja majina ya watu sijui nani kamza nani na nani kamza nani kwa sababu katika Quran hakuna maneno ya waandishi


Mathayo 1:1
Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Mathayo 1:2
Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Mathayo 1:3
Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;

Huyo anaeongea hapo sio Mungu wala sio Yesu ila muandishi hakuna tofauti yoyote na huyu aliyeandika family tree ya kuanzia Ishmael hadi Muhammad au wewe unadhani hiyo injili

Injilia ambayo ni maneno ya Yesu inaanzia Mathayo 3:15 hapo Yesu ndio anaanza kuongea na hiyo ndio injili hizo za nyuma kuanzia Mathayo 1:1 zote ni brabra za mwandishi tu
View attachment 1798568
MBONA UNAJITETEA KWA BIBLIA, TOKA LINI MNAIAMINI BIBLIA NYIE?

QURAN HAIJAKAMILIKA? Wapi inamuelezea KEDARI hadi KWA mudy....

ACHA JANJA JANJA KIJANA

Mwanzo 12:1-3
«Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.»


Lakini Muhammad, Qur’ani na wafuasi wake huzidi kuhakikisha kuwa Muhammad ni wa ukoo wa Ibrahimu wakati Ibrahimu si mwarabu tena!

Katika kitabu cha «maisha ya mtume Muhammad sw», twahakikishiwa kwamba Muhammad ni mwarabu wa kabila la Makureshi.

1621981865042.png
 
Yesu ni nani kwako ?
Hapa nitatoa ufafanuzi kidogo juu ya Yesu ni nani
Maandiko yememthibitisha Yesu alikuwako hata kabla ya misingi ya Dunia {Mwnzo 1:24) Neno linasema “na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu wakatawale samaki wa baharini,na ndege wa angani na wanyama.........” Hapa Neno linazungumza katika hali ya wing na “tumfanya ...kwa mfano wetu.....kwa sura yetu” inaaman katika hali ya utatu wa Mungu yaan Mungu baba Mungu mwana na Roho mtakatifu. Lakini hwa watatu wanafanana ndiomaana wakasema tumfanye kwa sura yetu wangesema kwa sura zetu ingekuwa na maan hawafanani kila mmoja ana sura yake mwenyewe. Hivyo Yesu alikuwako kwa Mungu kabla ya mwanadamu kuumbwa.

YESU NI NANI SASA

Biblia inamthibisha kuwa Yesu ni nani.
1: Yesu ndiye njia ya kweli na uzima, biblia imemthibitisha kuwa ndiye ya Kweli na uzima mtu hawezi kwenda Mbinguni kwa Baba bila kupitia kwa Yesu. Ni muimu kwako wewe mwenye shauku ya kuiona Mbingu/Pepo ufanye uchaguzi wa kumpokea Yesu Kiristo awe Bwana na mwokozi wa Maisha yako ili upate kibali cha kuingia ufalme wa Mungu. Usindanganyike kuwa yesu ni sawa na Mwanadamu kama mimi na wewe yeye alikuwako toka Mwanzo kabla ya dunia.

2; Yesu ndiye chakula cha uzima. Chakula cha uzima hakimaanishi wali, Kuku ama chakula kingine uchachokifahamu hivyo ni vyakula vya mwili bali yeye kasema ni chakula cha Uzima. Uzima uko katika nafsi ya mtu hivyo unapaswa nafsi uilishe chakula safi ambacho ni neno la Mungu. Yoh 6:35-37 yeye alaye chakula cha uzima hatakufa ataishi milele. Hapa kuishi milele haimanishi mtu huyo hatakufa la hasha mwili wake utakufa kama watu wengine maana hilo ni amri ya Mungu kila kilichotokana na udongo kitaludi udongoni, kuishi milele ni nafsi kuishi milele mwili utakufa lakini roho haitakufa. Hivyo yatupasa kulila neno la Mungu ili litutie uzima Yoh 8:51 “amini amini nawambia, mtu akilishika Neno langu, hataona mauti milele”

3: Yesu ndiye huo ufufuo na uzima. Ifike mahali tutambue kama tunamwitaji huyu Yesu mbaye ndiye ufufuo na uzima. Wengine tunafahamu kuwa tumekufa kiroho wengine hatufahamu, huduma zetu zimekufa, Imani zetu zimekufa, ibada zetu zimekufa, upendo ndani yetu umekufa kiufupi shetani tumemruhu ameua kila kitu kicho chetu kama neno livyosema shatani ni kama mwivi na mwivi haji aibe tu bali kuharibu na kuchinja. Tunamwitaji Yesu akafufue Imani zetu, akafufue roho zetu, akafufue ibada zetu na huduma zetu zikawe hai kwa jina la Yesu. Mwite leo uone Jinsi huyu Yesu alivyo wa rehema na mwenye nguvu. Ataenda kufufua kila kilichokufa ndani ya maisha yako. Yoh 11:25-27


Haya ni machache niliyoyandaa ili mpate kujua na kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu na kwa kuamini muwe na uzima lwa Jina lake. Yoh 20:31
 
Issa siyo Yesu
1. Yesu alizaliwa kwenye holi la ng'ombe wakati Issa alizaliwa chini mtende
2. Yesu alisurubiwa, akafa na siku ya 3 akafufuka wakati Issa hakusurubiwa, hakufa wala kufufuka.
3. Yesu alitumia Biblia. Alipewa kusoma kitabu cha Isaya na alibatizwa wakati Issa alitumia Quran na hakubatizwa.
Kwanini huwa mnang'ang'ania Yesu ni Issa? Siyo kosa lako sbb huwa mnakaririshwa.
Kabla sijachangia chochote inapasa tupate mfanano wa majina haya na kama kweli yana maana ya jina moja la mtu huyo huyo mmoja:-
1. Yesu/Jesu/Jesus vs Issa
2. Adam na Ever vs Adam na Hawa
3. Solomon vs Seleman/Suleiman
4. Gabriel vs Jibril
5. Abraham vs Ibarahim
6. Isack vs Isihaka
7. Joseph/Yoseph vs Yusuf/Yusuph/Yousouf
8.nk nk nk nk.
Na kwa nini kwa mfano kama Gabriel na Jibril wanatajwa kua na sifa zilezile, Kwa nini Adam na Hawa na Adam na Ever wana sifa zinazofanana kwa vitabu vyote? Kwa nini Yesu ni Jesus na hiyo ikubalike? Kwa nini mama wa Yesu ni Marima na mama wa Issa ni Mariam? Kwa nini Yesu hana Biological Father likewise Issa hana Biological Father, hii imetokea kwa bahati mbaya?
Nimeuliza kwa mtu anaefikiri ataelewa nini maana yangu. Na kwa nini Masjid al Aqsa na Temple Mount na lile Kanisa vyote vipo sehem moja, kwa nini? Je hatuoni kama kuna unasaba mkubwa wa maandiko ila kuna sehemu tunakwama kwa kujopotosha wenyewe?
Ila bottom line, ukristo kwa uwiaono wowote, hauna uhusika wowote kule kwa Wayahudi. Kwa takwimu za sasa dini ya Ukristo una asili zote za wazungu wa Roma na kamwe siyo Israel. Ingekua Israel, kwa miaka mingi tangu Yesu azaliwe, isingewezekana Wakristo hadi leo wakabaki 2% pekee, huku Waislam wakiwa ni asilimia zaidi ya 17, hii kitu haiwezekani aslani, kuna wajanja wameanzisha hii dini(dini ni dini haijalishi, isipokua uhusika wa Yesu au jamii ya Kiyahudi kwenye Ukristo, inatia shaka)
 
Kwahiyo Yesu ni mtoto wa Mungu ? Au unamaanisha nn unaposema mwana wa Mungu ?
Yesu si Mwana wa Mungu kulingana na ubaba wa kawaida wa binadamu. Mungu hakuoa na kupata mwana wa kiume. Mungu hakufanya tendo la ndoa na Mariamu, na pamoja naye kuzaa mtoto wa kiume. Yesu ni Mungu katika hali kwamba ni Mungu anajithirihisha kama mwili. (Yohana 1:1, 14) Yesu ni mwana wa Mungu kwa dhana kwamba Mariamu alipata mimba kupitia Roho Mtakatifu. Luka 1:35 yasema, “Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.”

Wakati wa kujaribiwa kwake mbele ya viongozi wa Kiyahudi, kuhani mkuu alimtaka Yesu, “Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu” (Mathayo 26:63). “

Yesu akamwambia wewe umesema,’ Yesu akamwambia, wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni” (Mathayo 26:64)

viongozi wa Kiyahudi walimdhania kwa kukufuru (Mathayo 26:65-66). Baadaye mbele ya Pilato, “Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu” Yohana 19:7)

ni kwa nini makisio yake kuwa Mwana wa Mungu yachukuliwe kuwa kufuru na astahili hukumu ya kifo?

Wayahudi wilielewa vizuri sana chenye Yesu alimaanisha kwa maneno haya “Mwana wa Mungu” kuwa Mwana wa Mungu ni kuwa hali moja na Mungu. Mwana wa Mungu “wa Mungu” kusema uko katika hali sawa na Mungu-hakika kuwa Mungu- kulikuwa sawa na kukufuru kwa viongozi wa Kiyahudi; kwa hivyo walimtaka Yesu auwawe, kulingana na Mambo ya Nyakati 24:15.

Waebrania 1:3 inadhihirisha haya wazi, “Yeye kwa kuwa ni mng’ao wa utukufu wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Ukuu huko juu.”
 
Kabla sijachangia chochote inapasa tupate mfanano wa majina haya na kama kweli yana maana ya jina moja la mtu huyo huyo mmoja:-
1. Yesu/Jesu/Jesus vs Issa
2. Adam na Ever vs Adam na Hawa
3. Solomon vs Seleman/Suleiman
4. Gabriel vs Jibril
5. Abraham vs Ibarahim
6. Isack vs Isihaka
7. Joseph/Yoseph vs Yusuf/Yusuph/Yousouf
8.nk nk nk nk.
Na kwa nini kwa mfano kama Gabriel na Jibril wanatajwa kua na sifa zilezile, Kwa nini Adam na Hawa na Adam na Ever wana sifa zinazofanana kwa vitabu vyote? Kwa nini Yesu ni Jesus na hiyo ikubalike? Kwa nini mama wa Yesu ni Marima na mama wa Issa ni Mariam? Kwa nini Yesu hana Biological Father likewise Issa hana Biological Father, hii imetokea kwa bahati mbaya?
Nimeuliza kwa mtu anaefikiri ataelewa nini maana yangu. Na kwa nini Masjid al Aqsa na Temple Mount na lile Kanisa vyote vipo sehem moja, kwa nini? Je hatuoni kama kuna unasaba mkubwa wa maandiko ila kuna sehemu tunakwama kwa kujopotosha wenyewe?
Ila bottom line, ukristo kwa uwiaono wowote, hauna uhusika wowote kule kwa Wayahudi. Kwa takwimu za sasa dini ya Ukristo una asili zote za wazungu wa Roma na kamwe siyo Israel. Ingekua Israel, kwa miaka mingi tangu Yesu azaliwe, isingewezekana Wakristo hadi leo wakabaki 2% pekee, huku Waislam wakiwa ni asilimia zaidi ya 30, hii kitu haiwezekani aslani, kuna wajanja wameanzisha hii dini(dini ni dini haijalishi, isipokua uhusika wa Yesu au jamii ya Kiyahudi kwenye Ukristo, inatia shaka)
Katika Qurani yenye jumla ya juzuu 30 Surah 114 aya 6236 maneno yenye kutamkika 76,440 herufi 322,373 jina Isa linatamkwa lisa au Aysi limetajwa mara 25. Isa pia ameitwa masihi mara 93. Lakini tunaposoma Qurani iliofarsiriwa na Imam Baidawi voI.1 ukurasa wa 160 ameeleza kuwa Isa jina la Kiarabu maana yake ni Wekundu unaozidiana na weupe.

Maana ya jina Yesu​

Jina Yesu linatokana na lugha ya Kiebrania ‘Yehoshua’ katika lugha ya Kigiriki wanasema ‘Iesous’ inatamka ‘Yesous’ yaani Yesu. Katika lugha ya Kiarabu wanasema “ Yasu.”kwa kiingereza ni ‘’Jesus’’ Maana yake “Bwana anaokoa au Bwana ni Mwokozi”Soma aya hizi..

Mathayo 1:18-21 na Luka 2:8-11. Bwana maana yake Mungu ndiye mwokozi Isaya 43:6, 10-11. Katika Biblia ambayo ina jumla ya Surah 1189 aya 31,102 vitabu 66 39, Agano la kale na 27 agano jipya neno Mwokozi kiiengereza wanasema Saviour limetajwa mara 55. ikumbuke kwamba katika agano jipya jina Yesu au kiebrania Yehoshua kiarabu Yashua au Yasu limetajwa mara 1275 katika aya zipatazo 1226. zingatia pia kuwa agano jipya lina jumla ya aya 7930 na Sura 260 hivyo hapa tunaona jina Yesu maana yake ni Mwokozi na jina Isa ni wekundu uliozidiana na weupe. Kwa kuwa maana ya haya majina tofauti bila shaka Isa siyo Bwana Yesu.

KABLA YA MWAKA 622 AD HAPAKUWAHI KUWEPO DINI INAYOITWA UISLAMU, HATA LEO HAKUNA KUMBUKUMBU WALA TONE YA MABAKI KUWA KABLA YA MUHAMMAD KULIWAHI KUWEPO UISLAMU, KAMA UNAO LETA HAPA

LAKINI UPO USHAHIDI WA KUTOSHA UKRISTO UPO KABLA YA UISLAMU ,

HATA HUO MSIKITI HAPO LILIPOKUWEPO SOLOMON TEMPLE UMEJENGWA MWAKA 711AD

The al-Aqsa Mosque, originally built in 711 A.D., has not changed significantly in size or plan since the 12th century

HALAFU ACHA KUKARIRI HAO WAYAHUDI ASILIMIA 2, HAIBADILISHI KUWA UKRISTO UPO KITAMBO KULIKO UISLAMU

KUTOKUAMINI KWA BAADHI YA JEWS HAIBADILI UAMNIFU WA MUNGU.....

Warumi 3​

1 Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.


BADO MUNGU ANA WAYAHUDI WANAOMUAMINI YESU UNAWAJUA MESSIANIC FAITH

Messianic
Jews believe that Jesus is the Messiah, and that the Tanakh (Hebrew Bible) and New Testament are the authoritative Scriptures. Salvation in Messianic Judaism is achieved only through acceptance of Jesus as one's savior, and Jewish law does not contribute to salvation

Messianic Jews consider themselves Jewish Christians. Specifically they believe, as do all Christians, that Jesus is the son of God, as well as the Messiah, and that he died in atonement for the sins of mankind. There are approximately 175,000 to 250,000 messianic Jews in the U.S, and 350,000 worldwide
 
" Yesu ni Mungu"
" Yesu ni mwana wa Mungu"

Hizo ni Nukuu kutoka kwako kwenye hiyo reply..

Swali,

Inawezekana vipi ikatokea hio kitu at the same time ? Huoni kwamba unajiletea contradiction ?

Statement ya kwanza unasema Yesu ni Mungu,,
Statement ya pili unasema Yesu mwana wa Mungu.. This means Kuna Mungu mwengine ambaye mwana wake ni Yesu...

Sasa yupi ni Mungu ?
HAKUNA CONTRADICTION

Ni kweli kwamba Mungu Baba anakaa ndani ya Mwana, na Yesu amefundisha hili mara nyingi, katika Yohana 14:10, na Yohana 17:21. Lakini hili halimfanyi Yesu kuwa Mungu Baba mwenyewe. Hapana. Hapa ni kwenda mbali katika kufafanua maandiko. Yesu na Mungu Baba ni wawili tofauti ila walio Umoja.

Yesu alisema hivi:"Yohana 10:30
[30]Mimi na Baba tu umoja. Na tena Yesu mwenyewe anasema hivi:"

Yohana 14:1

[1]Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
👆
👆
👆
👆
Biblia iko wazi, tunapaswa kumwamini Mungu Baba na kumwamini Yesu pia kwa sababu Mungu Baba na Yesu ni wawili tofauti, ila ni mamoja na wanashirikiana kwa kila kitu. Biblia iko wazi kuwa Kuna Mungu Baba na kuna Bwana Wetu Yesu Kristo. Biblia inasema hivi:"

1 Wakorintho 8:6
[6]lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.


Na tena Maandiko yanasema hivi:"

Waefeso 4:5-6
[5]Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.
[6]Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.

Nabii yohana anasema kwamba pasipo Yesu ambaye ndiye neno la Mungu," hakikufanyika cho chote kilichofanyika".(Yoh1:3).

⚘Hakuna aliyemwona Baba, Ila Mungu Baba alimtuma Mwanaye wa pekee ili Baba afunuliwe kwa njia ya Mwanaye. Mwana ametajwa katika maandiko kuwa ni "mng'ao wa utukufu wa Baba na ni chapa ya nafsi ya Baba"(Hebr1:3).

Ay hii inamaanisha kwamba Mwana anamfanania Baba yake kama vile chapa ilivyo kwamba ni copy kamili ya kitu chenyewe. Hivyo aliyemwona Mwana ambaye ni copy ya Baba, ni sawa na amemwona Baba Mwenyewe.

⚘Mwana alikuja kumfunua Baba asiyeonekana, hivyo kwa kumtazama Mwana tunaweza kujua na kufahamu kitu fulani kuhusu Uweza wa Mungu Baba, Utukufu wa Baba, Tabia ya Mungu Baba ya Upendo, na mapenzi yake kwetu. Hivyo ndivyo Yesu alivyomwambia filipo kwamba

"Aliyeniona Mimi amemwona Baba"(Yoh14:9).
 
Kama kweli Yesu alieneza Ukristo, Je, Kwanini taifa ambalo aliishi Yesu kuna asilimia ndogo ya Wakristo ( hata Waislamu wamewazidi ) ?
Hata mataifa ya jirani yanayoizunguka wakristo ni wa kuhesabika ( yaani Waislamu ni wengi zaid ) ...

Alafu ikaweje mataifa ya mbali ya wazungu kama Italy ndo iwe na Wakristo wengi ? Huoni kwamba hio dini imetungwa tu ? Na kwamba Yesu hajahubiri Ukristo!!
UPO USHAHIDI WA KUTOSHA UKRISTO UPO KABLA YA UISLAMU ,

HATA HUO MSIKITI HAPO LILIPOKUWEPO SOLOMON TEMPLE UMEJENGWA MWAKA 711AD

The al-Aqsa Mosque, originally built in 711 A.D., has not changed significantly in size or plan since the 12th century

HALAFU ACHA KUKARIRI HAO WAYAHUDI ASILIMIA 2, HAIBADILISHI KUWA UKRISTO UPO KITAMBO KULIKO UISLAMU

KUTOKUAMINI KWA BAADHI YA JEWS HAIBADILI UAMNIFU WA MUNGU.....

Warumi 3​

1 Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.


BADO MUNGU ANA WAYAHUDI WANAOMUAMINI YESU UNAWAJUA MESSIANIC FAITH

Messianic
Jews believe that Jesus is the Messiah, and that the Tanakh (Hebrew Bible) and New Testament are the authoritative Scriptures. Salvation in Messianic Judaism is achieved only through acceptance of Jesus as one's savior, and Jewish law does not contribute to salvation

Messianic Jews consider themselves Jewish Christians. Specifically they believe, as do all Christians, that Jesus is the son of God, as well as the Messiah, and that he died in atonement for the sins of mankind. There are approximately 175,000 to 250,000 messianic Jews in the U.S, and 350,000 worldwide
 
Bado hujanijibu swali langu...

Sasa yupi ni Mungu ?

Kama kweli hakuna contradiction jibu hilo swali...

Tuokoe muda kijana,, let's go direct to the point...
unataka jibu gani au unalo la kwako la mfukoni.... nimekujibu vzr kwa aya zilizo wazi....sina majibu ya kuokoteza
 
Umesema hapo Mungu baba alimtuma mwanaye....

Nataka uniambie huyo Mungu baba ni nani ?
NI YEHOVA

Katika Biblia Takatifu, Mungu anasema: “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu.” (Isaya 42:8) Ingawa ana majina mengi ya cheo kama vile “Mungu Mweza-Yote,” “Bwana Mwenye Enzi Kuu,” na “Muumba,” anawaheshimu waabudu wake kwa kuwaalika wamwite kwa jina lake la kibinafsi.—Mwanzo 17:1; Matendo 4:24; 1 Petro 4:19.
Biblia inamtaja Yehova kuwa Mungu wa Kweli, Muumba wa kila kitu. (Ufunuo 4:11) Manabii kama Abrahamu na Musa walimtumikia. (Mwanzo 24:27; Kutoka 15:1, 2; Yohana 20:17) Yeye si Mungu wa watu fulani pekee, bali wa “dunia yote.”—Zaburi 47:2.
YHWH / YAHWEH / YEHOVA: "BWANA" (Kumbukumbu la Torati 6: 4; Danieli 9:14) — kwa kusema, jina pekee la Mungu. Ilitafsiriwa katika maandiko ya Kiingereza "BWANA" (miji yote) ili kuitenganisha kutoka Adonai, "Bwana." Ufunuo wa jina hulitolewa kwanza kwa Musa "MIMI NIKO AMBAYE NIKO" (Kutoka 3:14). Jina hili linafafanua haraka, uwepo. Yahweh yupo, anaweza kupatikana, karibu na wale wanaomwita kwa ajili ya ukombozi (Zaburi 107: 13), msamaha (Zaburi 25:11) na mwongozo (Zaburi 31: 3).


NABII YEREMIA ANAMTABIRI YESU KAMA PIA ANAYEKUJA MWENYE SIFA YA YEHOVA


Yeremia 23:6 SRUV​

Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli atakaa salama, na jina lake atakaloitwa ni hili, YEHOVA ni haki yetu.
 
Okay,, kwenye hilo reply yako naona unajichanganya sana,, mara unasema Yesu sio Mungu,, mara Yesu Mwana wa Mungu,, mara Mungu Baba kamtuma mwanaye,, mara Yesu ni Mungu...
Yaani full kujichanganya...

Umetoa majibu kwa kuzunguka mno,, wakati nilikuwa nahitaji sentensi moja au mbili... Mm sijakwambia ulete ushahidi.. Nilikuuliza maswali mafupi tu..

Please be professional,,

Haya Narudia kukuuliza, lakini nahitaji short answers.... Sitaki ushahid wa biblia

" Yesu ni Mungu"
" Yesu ni mwana wa Mungu"

Hizo ni Nukuu kutoka kwako kwenye hiyo reply..

Swali,

Inawezekana vipi ikatokea hio kitu at the same time ? Huoni kwamba unajiletea contradiction ?

Statement ya kwanza unasema Yesu ni Mungu,,
Statement ya pili unasema Yesu mwana wa Mungu.. This means Kuna Mungu mwengine ambaye mwana wake ni Yesu...

Sasa yupi ni Mungu ?
WEWE NDIO UNAJICHANGANYA , YESU ANA MAJINA NA SIFA NYINGI, SIO MOJA, HUYO HUYO NI MUNGU PIA NI MWANA WA MUNGU,

ANA MAJINA MENGINE KAMA

 
Back
Top Bottom