Huyo luka ni zaidi ya changamoto, asipoambulia hata uded basi dunia haina huruma 😂😂😂dr umeona isiwe tabu
Ova
Wataje waliosema mzee aliacha wosia azikwe mkuranga ili tuwaujue wanaodharau wosia wa marehemu.Walisema mzee aliacha wosia wake kuwa azikwe kwao Mkuranga; imekuwaje watoto wamedharau matakwa ya marehemu?
Kuna athari gani kwa familia wanapokiuka matakwa ya marehemu kama yalivyoainishwa kwenye wasia wake?
kabla ya kusafirishwa kuelekea kwao Zanzibar kwa Mazishi yaliyopangwa kufanyika Tarehe 2 March.View attachment 2920756
Hii ndio Taarifa ya Serikali iliyosambazwa kwa vyombo vya habari usiku huu, Kwamba Mzee huyu ataagwa na Wananchi wenzake kwenye Uwanja wa Uhuru tarehe 1/3/2024, kabla ya kusafirishwa kuelekea kwao Zanzibar kwa Mazishi yaliyopangwa kufanyika Tarehe 2 March.
Apumzike kwa Amani
Una Akili sanaLinaweza likawekwa jeneza tupu tu...
Kuna tofauti Kati ya Mwili na jenezaWale wenye kelele za mwili kupelekwa uwanjan kuagwa waje watoe povu na hapa
Waliotangulia wote Mungu awape pumziko la amani!MSIBA MZITO Kwa Taifa.
Rais Mstaafu wa JMT.
Baba mzazi wa M.Kiti wa Baraza la Mapinduzi.
Mkuu wa chuo bora cha Afya Tanzania (Muhimbili).
Siku ya kukumbuka kifo chake itakuwa kila baada ya miaka minne ... (Miaka yenye mwezi wa pili wenye siku 29 tu)
View attachment 2920492
Hii picha ili trend kipindi cha msiba wa Rais John Pombe.
Tuone kama mwili utagoma kuenda zenji,
Weka huo wosia wakeWalisema mzee aliacha wosia wake kuwa azikwe kwao Mkuranga; imekuwaje watoto wamedharau matakwa ya marehemu?
Kuna athari gani kwa familia wanapokiuka matakwa ya marehemu kama yalivyoainishwa kwenye wasia wake?
Elewa mwanawe ni rais wa Zanzibar.Walisema mzee aliacha wosia wake kuwa azikwe kwao Mkuranga; imekuwaje watoto wamedharau matakwa ya marehemu?
Kuna athari gani kwa familia wanapokiuka matakwa ya marehemu kama yalivyoainishwa kwenye wasia wake?
Hivi ule ugomvi waliosema unaamuliwa umeshaisha au..?
Hata hivyo lile benzi la zawadi ya birthday waliuze wajenge madaraja
Hakuna nyimbo kwenye misiba ya kiislamKwani Mpoto anayeimba ni Mkristo au Myunani??
Na historia itapindishwa, utasikia Mzee Mwinyi alizaliwa na kukulia ZanzibarKesho nafungua kesi ya kupinga mazishi ya mzee Ali Hassan Mwinyi kufanyika Unguja Zanzibar.