Mzee wangu anasema baba yake (babu)alikua na hela ya kununua bati,Ila walikua wanakaa nyumba ya nyasi,kisa Sera za nyerere,..Yani kibunda unacho lakini hqta sabuni ya kuogea hupati polite,Hadi sabuni nimekumbuka anaitwa LIFE BOY hahYuko Kama Babu yangu,
Alimwelewa sn mzee ruksa,
Alikua hampendi kbs mwalimu mpk anafariki, anamlaumu kuwaondolea mkoloni,
Anadai maisha awamu ya mwalimu yalikua magumu kuliko ata alivokuepo mkoloni
Naomba unisamehe sana maana niliandika kabla ya kutangazwa kwa kifo cha mzee wetu.hata hivyo nimeshabadilisha haraka sana.Boring
it's because our nation has lost our beloved second term president. Am in great pain and sorrow I just need a very tight long hug from you. I cant stop crying.Kunani tena mabreaking news usiku wote huu?
Lilikua linaeleweka chadema au?Hili lilikuwa linaeleweka.
Sio poaHapna ni live hiyo mtoa mada kaiweka sasa hivi
Naomba unisamehe sana mkuu.nilikuwa nimeandika kabla ya kutangazwa kwa kifo cha mzee wetu.hata hivyo nimeshabadilisha haraka sana.naombeni mnisamehe sana tena sana.Hivi wewe una matatizo ya akili?
Acha matusi ya kingese wewe. Kutukana bila sababu ni umaku.Pumbavu wewe Mshenzi wewe na mwanga jamii forums sio kanisani mbwa wewe nyoko usitake nikuporomoshee matusi ya nguoni mbwa wewe
Duu aisee hesabu imekaa vibaya anyway Rest easy Mzee Mwinyi!Kafa tarehe 29 mwezi wa pili hii ina maana kumbukumbu ya kifo chake itakuwa kila baada ya miaka 4
Pumzika kwa amani mzee mwinyi