MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,228
- 2,423
Uchawi utaacha lini?Mama hii ngoma haiwezi. Tuko hapa
Uchawi utaacha lini?Mama hii ngoma haiwezi. Tuko hapa
Yan mpango asifit mama afiti....hii kaliMama anafit
Gang lenu kwisha kazi tayari tumekwisha kulisambaratisha .Ila lenye mashiko ni lile la bavicha maana lipo ikulu
Kwahiyo unataka tufanane mawazo kisa??Yan mpango asifit mama afiti....hii kali
nipe connection basiMimi nakula Meza moja na wakubwa zako. Wewe endelea kupiga kelele hapa JF
Hahahha.. Tutaomba radhi kwa bavicha wakiwa ikuluGang lenu kwisha kazi tayari tumekwisha kulisambaratisha .
Hapo ndiyo imetoka hiyo imebaki stori na sasa mtaomba sana samahani.
Wamesikilizwa? Ruzuku wanachukua kwannCDM walishamaliza kazi yao hata kwenye orodha ya wanachama wa CDM hawapo tena
Chaguo la bavicha hoiYessir!!
Safi sana mheshimiwa Rais. Chaguo murua kabisa hilo.
Congratulations are in order.
Kwahiyo hana mamlaka ya kuuliza chochote siyo
Kabla ya Hapo Mpango alikua wapi ?Kwani Kakoko aliteuliwa na nani? Utendaji bora ufanywe na Mpango! Halafu wewe unataka nimsifie Magufuli?
Yale yale ya barabara zinajengwa kwa kodi zetu, ila sifa zinaenda kwa magufuli!
Safari hii mtadhalilika na mtaishia kunywa kimpumu tu kudadadeeki maana hamna pa kuuzia fitina zenu.Hahahha.. Tutaomba radhi kwa bavicha wakiwa ikulu
CDM hawajawahi kuchukua ruzuku wewe mpuuziWamesikilizwa? Ruzuku wanachukua kwann
Tutakunywa kimpumu huku nyie mkiwa ikulumnakunywa wine.. HahahhahahSafari hii mtadhalilika na mtaishia kunywa kimpumu tu kudadadeeki maana hamna pa kuuzia fitina zenu.
Tuwacheni tuijenge nchi yetu sasa na nyinyi wakimbizi rudidni kwenu.