Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

Usafi unapaswa kufundishwa kila mahali, wengi kwenye usafi hawajali
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekemea hali ya uchafu uliokithiri katika miji, hususan jiji la Dar es Salaam. Akizungumza Septemba 2, 2026, katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, wakati akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Rais Samia ameeleza kuwa ni aibu kwa miji kuendelea kuwa michafu wakati nchi inalenga kukua kiuchumi na kuvutia watalii.

Ili kukabiliana na changamoto hiyo, Rais Samia amewataka viongozi hao wapya na mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za haraka kwa kusimamia usafi kikamilifu. Amekosoa utaratibu wa halmashauri na wilaya kuwapa mikataba ya usafi madiwani au watu wasio na vifaa na uwezo badala ya wakandarasi wenye sifa, huku akiagiza kuwa walioshindwa kutekeleza wajibu wao waondolewe na mikataba ipewe watu wenye uwezo wa kuweka miji safi.

Pia soma
~
Dar: Viongozi wana mpango gani na usafi wa mazingira? Maeneo mengi ni machafu, hakuna mkakati wa wazi unaotekelezwa
~ Huu uchafu mtaroni hapa Sinza Africasana, wahusika hawauoni au hakuna wa kuwajibika?
~ Dar: Mtaa wa kidosho - Mikocheni uchafuzi wa daraja linalopitisha maji taka ni chanzo cha malaria
~ Dar es Salaam: Mtaa wa Darajani - Mikocheni A, maji ya kinyesi yanasambaa tu mtaani
~ Watu wanatupa taka nyingi kwenye mabonde ya mito. Hiyo ni mbaya kwa afya na mazingira
~
Hizi mvua na mrundikano wa taka maeneo mengi ya Dar, mamlaka hazioni hatari ya kipindupindu?
~
Kwa mpangilio mbovu wa dar lazima pawe pachafu tu hakuna namna. Mvua ikinyesha mji wote unanuka.
 
Hakuna sheria hapa kila siku ni maneno tu
Nchi kubwa ila kila mmoja anaongelea mji wake tu Kama sheria
 
Mama unda tume ibaini halmashauri zilizotoa tenda kwa madiwani na utimue wakurugenzi wa wilaya waliyofanya hayo madudu. Yaani mtu hana vitendea kazi inakuwaje anapewa tenda kama sio ukithirishwaji wa rushwa?

Ningekuwa rais mbona wangenyooka hawa wala rushwa
 
Hivi yule meya wa jiji la dar anakazi gani haswa yaani sijawahi muona hata kaitisha press ila kwenye K.O ya mama namuonaga sana na kule miaka 30 ya bongo namuonaga sana
Wewe shetta haufai kuwa meyq wa jiji pamoja na mzungu wako manara wote matapeli 😂 😂
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekemea hali ya uchafu uliokithiri katika miji, hususan jiji la Dar es Salaam. Akizungumza Septemba 2, 2026, katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, wakati akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Rais Samia ameeleza kuwa ni aibu kwa miji kuendelea kuwa michafu wakati nchi inalenga kukua kiuchumi na kuvutia watalii.

Ili kukabiliana na changamoto hiyo, Rais Samia amewataka viongozi hao wapya na mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za haraka kwa kusimamia usafi kikamilifu. Amekosoa utaratibu wa halmashauri na wilaya kuwapa mikataba ya usafi madiwani au watu wasio na vifaa na uwezo badala ya wakandarasi wenye sifa, huku akiagiza kuwa walioshindwa kutekeleza wajibu wao waondolewe na mikataba ipewe watu wenye uwezo wa kuweka miji safi.

Pia soma
~
Dar: Viongozi wana mpango gani na usafi wa mazingira? Maeneo mengi ni machafu, hakuna mkakati wa wazi unaotekelezwa
~ Huu uchafu mtaroni hapa Sinza Africasana, wahusika hawauoni au hakuna wa kuwajibika?
~ Dar: Mtaa wa kidosho - Mikocheni uchafuzi wa daraja linalopitisha maji taka ni chanzo cha malaria
~ Dar es Salaam: Mtaa wa Darajani - Mikocheni A, maji ya kinyesi yanasambaa tu mtaani
~ Watu wanatupa taka nyingi kwenye mabonde ya mito. Hiyo ni mbaya kwa afya na mazingira
~
Hizi mvua na mrundikano wa taka maeneo mengi ya Dar, mamlaka hazioni hatari ya kipindupindu?
~
Chalamila yupo bize na mabasi ya mikoani
 
Back
Top Bottom