Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

Nafikiri Raia wa Dar ndio wachafu na hawajui wajibu wao.. na SI vinginevyo
 
Tanzania tuna hasara sana. Mtu anajiita rais anazungumzia makopo iliyokutana nayo barabarani🤔 Wenzie wanawaza kwenda mwezini, Matumizi ya Nuklia, wanaumiza kichwa wafanye nini kuwaletea maendeleo wananchi wao.

Mungu tuokoe.
Unazungumziaje kwenda kote huko wakati ofisini kwako hapo Chadema ni matakataka yamejaa hata hamuokoti.

Kutwa kupiga kelele za no reforms mkiwa kwenye lundo la uchafu.
 
Back
Top Bottom