On 19 May 2024, an Iranian Air Force helicopter crashed near the village of Uzi, East Azerbaijan, Iran, killing President of Iran Ebrahim Raisi, Foreign Minister Hossein Amir-Abdollahian, Governor-General of East Azerbaijan Malek Rahmati, representative of the supreme leader in East Azerbaijan Mohammad Ali Ale-Hashem, the head of the president's security team, and three flight crew. It was en route in a convoy of three helicopters from the Giz Galasi Dam to Tabriz.
Bila kujua watanganyika sasa mtaitwa wote magaidi kama mlivyo wafanyia wajomba zake wale uhamusho.
Hii ni visasi na sio vya kusema anaficha ni kwamba anaonuesha wazi wazi kuwa kinacho fata ni kufuta Tanganyika.
Msipo nielewa leo mtanielewa kesho.Tanganyika inafutwa kwa yoyote mwenye kuhoji ni...
Mambo yalikuwa hivi. Kulikuwa na sababu tosha kabisa za kujenga Refinery ya Dangote Tanga. Museveni, Ruto na Dangote walijadiliana hili, na wakasema kwa sababu bomba la mafuta kutoka Uganda linaenda Tanga basi ni vema refinery ijengwe Tanga.
Na hata ilifikiriwa kwamba bomba jingine lingeweza...
Madereka anakwambia ukifatilia hii nchi masaa 12 kinachofata unaweza kuwa kichaa au mungu kukusaidia tu.
Tunaelewa kwamba madini ya uranium yapo.Je unayekwenda kumuomba kuwa mtu wako wa karibu unajua historia yake.
Ukiangalia historia ya urusi pale Afghanistan alichokifanya,sudani na sehemu...
Baada ya Nchimbi kuongea jinsi Nyerere alivyochukia na kukemea rushwa na kukataa kabisa kutumia nafasi yake ya uraisi kuwanufaisha watoto wake, ndugu zake na jamaa wengine wa karibu, kumekuwa na maneno mengi mitaani kwamba Makamu wa Raisi alikuwa akimpiga dongo Raisi Samia.
Watu wameenda mbali...
"Nabii" ni neno la Kiswahili lenye maana ya mjumbe au msemaji kwa niaba ya Mungu
Chalamila anamuweka samia kundi moja na watu kama Yohana Mbatizaji na wakina Musa.
Hapa ndio wanaosema hakuna Mungu wanapokua na point, Kama kweli Mungu yupo, kwa damu aliomwaga anaruhusu vipi hizi dharau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.