heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,758
- 8,701
Maybe inatakiwajeTatizo kituo kiko barabarani kabisa. Miaka 10 ijayo itabidi kihamishwe tena.
Maybe inatakiwajeTatizo kituo kiko barabarani kabisa. Miaka 10 ijayo itabidi kihamishwe tena.
Si anatakiwa awe mapumziko kesho Ndio anakinukisha. Maaskari huo msafara si wakauzuie alale hapo barabarani ama?ni sehemu ya kampeni pia.
Jafo anamaanisha Kanda ya Ziwa ambayo na Chato imo humo ni washamba sana?Jaffo amesema watu wa kutoka mkoa wa Ruvuma na wale wa kanda ya ziwa watakuwa wanakuja katika stendi hii kushangaa na watapotea kabisa hapa mjini.
Maendeleo gani wakati maisha ya watumishi wa umma yamerudi nyuma katika kipindi chote cha miaka mitano.Safi sana Magufuli kwa kutuletea maendeleo
Sawa mkuu,nimekusoma.Kwa watu wake ni kitu kikubwa sana. Land locked . this is where they open up to the world. Sawa na kivuko kuingia na kutoka Malawi.
KabisaHuwa Majiwe ya Msingi yanawekwa mara mbili? Maana kama ni jiwe la msingi lilishawekwa toka miaka miwili iliyopita, au wanadhani watu wamesahau..
PAYE imeshuka tayari. Watumishi wengi wamefurahishwa na hili. Wewe siyo mtumishi wa umma inaelekea.Maendeleo gani wakati maisha ya watumishi wa umma yamerudi nyuma katika kipindi chote cha miaka mitano.
Huyu dhalimu wenu mtamchagua wenyewe.