malawi

Malawi (, or ; Chichewa: [maláβi] or [maláwi]), officially the Republic of Malawi, is a landlocked country in Southeast Africa that was formerly known as Nyasaland. It is bordered by Zambia to the west, Tanzania to the north and northeast, and Mozambique surrounding on the east, south and southwest. Malawi spans over 118,484 km2 (45,747 sq mi) and has an estimated population of 18,143,217 (as of July 2018). Lake Malawi takes up about a third of Malawi's area. Its capital is Lilongwe, which is also Malawi's largest city; the second largest is Blantyre, the third largest is Mzuzu and the fourth largest is its old capital Zomba. The name Malawi comes from the Maravi, an old name of the Nyanja people that inhabit the area. The country is nicknamed "The Warm Heart of Africa" because of the friendliness of the people.The part of Africa now known as Malawi was settled by migrating Bantu groups around the 10th century. Centuries later in 1891 the area was colonised by the British. In 1953 Malawi, then known as Nyasaland, a protectorate of the United Kingdom, became a protectorate within the semi-independent Federation of Rhodesia and Nyasaland. The Federation was dissolved in 1963. In 1964 the protectorate over Nyasaland was ended and Nyasaland became an independent country under Queen Elizabeth II with the new name Malawi. Two years later it became a republic. Upon gaining independence it became a totalitarian one-party state under the presidency of Hastings Banda, who remained president until 1994. Malawi now has a democratic, multi-party government headed by an elected president, currently Peter Mutharika. The country has a Malawian Defence Force that includes an army, a navy and an air wing. Malawi's foreign policy is pro-Western and includes positive diplomatic relations with most countries and participation in several international organisations, including the United Nations, the Commonwealth of Nations, the Southern African Development Community (SADC), the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA), and the African Union (AU).
Malawi is among the world's least-developed countries. The economy is heavily based in agriculture, with a largely rural population that is growing at a rapid rate. The Malawian government depends heavily on outside aid to meet development needs, although this need (and the aid offered) has decreased since 2000. The Malawian government faces challenges in building and expanding the economy, improving education, healthcare, environmental protection, and becoming financially independent amidst widespread unemployment. Since 2005, Malawi has developed several programs that focus on these issues, and the country's outlook appears to be improving, with a rise in the economy, education and healthcare seen in 2007 and 2008.
Malawi has a low life expectancy and high infant mortality. There is a high prevalence of HIV/AIDS, which is a drain on the labour force and government expenditures. There is a diverse population of native peoples, Asians and Europeans, with several languages spoken and an array of religious beliefs. Although there was periodic regional conflict fuelled in part by ethnic divisions in the past, by 2008 it had diminished considerably and the concept of a Malawian nationality had reemerged.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Serikali ya Tanzania na Malawi waharakishe Kutatua suala la ziwa Nyasa

    Malawi questions Tanzania on port Malawi has faulted Tanzania for embarking on a project to upgrade and expand Mbamba Bay Port on Lake Malawi without seeking consent as the lake boundary dispute between the two countries remains unresolved In a confidential diplomatic note dated February 2...
  2. Wadiz

    Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi

    Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level. Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko. Endeleeni na vilaza...
  3. K

    Je, ni vibaya kuona aibu kuzidiwa na Kenya, Zambia na Malawi kwenye demokrasia

    Kulikuwa na mkutano wa African diaspora hapa Texas. Sio uongo niliona aibu sana wenzetu wa Zambia, Kenya, na Malawi wakiongelea siasa na demokrasia. Sisi masikini hata katiba nzuri yenye kutoa haki sawa tunaleta siasa. Nilijiuliza sana bila kupata jibu zuri. Kama kweli viongozi wetu wanapenda...
  4. Erythrocyte

    Wananchi wa Kyela wanatamba na Sukari ya Malawi

    Nchi ndogo ya Malawi iliyojaa akili nyingi kwa miaka mingi haijawahi kukumbwa na Uhaba wa sukari. Bali mara zote inazidiwa na sukari kiasi cha kuruhusu ivushwe Tanzania ili kuokoa Uhaba wa sukari wa nchi hiyo duni. Haya malalamiko yenu kuhusu Uhaba wa sukari, Kyela hayapo kwa vile sukari ya bei...
  5. GENTAMYCINE

    Kwanini 'Ukingonoka' na Wanawake kutoka Malawi waliojazana Tanzania wala huwa 'hawajihangaishi' kukuambia uvae Condom?

    Naanza sasa kupata Hisia kuwa huenda Taifa la Malawi lina Agenda Ovu na ya Siri na Tanzania na Watanzania. Walianza na kutuletea Panya wao hawa wa sasa wenye Mkia mfupi, wanalia kama wanapiga Miluzi na ambao ukiwawekea Sumu hawafi hawaliwi na Paka na wala hawana Kasi ya Kukimbia kama ikitokea...
  6. ward41

    Israel wamatoa ofa ya ajira 100000 kwa Malawi🇲🇼

    Serikali ya Israel imetoa offer ya Ajira 100000 kwa wananchi wa Malawi. Waziri wa uchumi wa Israel amezungumza hayo kwa maafisa wa serikali ya Malawi Nafasa za Ajira zipo za kumwaga mashambani na sector ya ujenzi. Tuchangamkie fursa hiyo Israel --- Speaking at a meeting with the Malawi...
  7. GENTAMYCINE

    Nani kawaleta Kawe hawa Panya wa maajabu na wa kimkakati wanaosemekana kutokea nchini Malawi?

    1. Wana mikia mifupi 2. Wana mlio kama wa Mluzi 3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu 4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe 5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata 6. Lishe yao...
  8. U

    Kuwatoa wajenzi Malawi kuwaleta Tanzania wanahitaji vibali gani?

    Habari zenu jukwaa. kuna kiwanja nilishawahi kukipata na kukipigia fensi, nataka niaze ujenzi mwezi wa sita. Dhumuni kuu la kuwaleta mafundi wamalawi ni ile sifa yao wanayojulikana kuwa nayo HONESTY / UAMINIFU japo soo wote, lakini pia huko Malawi gharama zao za ufundi zipo chini. vitu gani...
  9. Tate Mkuu

    TEC jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya huu upotoshaji unaoendelea duniani, na pia nchini mwetu kuhusu kauli ya Papa.

    Chonde chonde Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Tanzania (TEC)! Jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya kauli ya Papa ya kuwaruhusu Mapadre wetu kubariki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Hiyo kauli yake pamoja na huo waraka wake alioutoa bila shaka mnafahamu ni kwa namna gani...
  10. Girland

    Upinzani ndani ya Kanisa Katoliki - Maaskofu wapinga kauli ya Papa, Poland, Kenya na Malawi wapinga

    Baraza la maaskofu nchini Poland limekataa kutoa baraka kwa wapenzi wa jinsia moja. Hatua hii inaifanya Poland, Kenya na Malawi kuwa nchi zilizopinga agizo la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki. SIJASIKIA kauli ya TEC, je, wanaunga mkono kubariki wapenzi wa jinsia moja au la? Au tuwaache kwanza...
  11. Alwaz

    Akili gani hii ya Kiafrika! Viwanja vya ndege vimefungwa na mashirika ya meli kubadili njia. Kenya na Malawi wanawaza kupeleka vibarua Israel

    Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana. Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi...
  12. Nsanzagee

    Rais Samia, kama walivyofanya Malawi na sasa Kenya, nasi kama vijana wa Tanzania, tupo tayari kwenda Israel kuwa vibarua

    Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati, Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana! Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira...
  13. FaizaFoxy

    Mazayuni walivyouliwa kwa wingi sasa wanachukuwa askari wa Kukodi kutokea Malawi

    Mapya haya sasa, Mazayunni wameanza kuchukuwa askari wa kukodiwa Malawi, wanajuwa dhiki zetu Afrika na pesa wanayotowa zitatufanya twebde tu, Dah, hali inatisha: Video clip inapanda taratibu.
  14. Wimbo

    Rais Samia nakushauri ufute safari za nje

    Nampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje matembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma-allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake. Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina...
  15. BARD AI

    Rais Chakwera apiga marufuku Safari za Nje za Viongozi pamoja na yeye mwenyewe

    Rais Lazarus Chakwera amesitisha mara moja safari zote za Kimataifa zinazomhusisha yeye na maafisa wote wa Serikali huku akiwaagiza Mawaziri wote walioko nje ya nchi kwa sasa kurejea haraka Nchini humo. Pia, Chakwera ameweka vikwazo vya Safari za ndani ya Nchi na kupunguza kwa nusu ya mgawo wa...
  16. JanguKamaJangu

    Malawi kuzuia biashara ya fedha za kigeni ili kunusuru uchumi

    Malawi itaanza kuzuia biashara ya fedha za kigeni na kufanya msako dhidi ya wafanyabiashara magendo, baada ya kushuka thamani ya sarafu yake, wizara ya fedha imesema Jumatatu. Kwa mujibu wa shirika la habari Reuters, nchi hiyo ya kusini mwa Afrika imeshusha thamani ya sarafu ya Kwacha kwa...
  17. A

    DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

    Habari, Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au Malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari. Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa...
  18. Roving Journalist

    Raia wa Malawi aliyetibiwa Magonjwa ya Moyo, asimulia JKCI ilivyorejesha furaha yake

    Jane Chimuyaka, raia wa Nchini Malawi aliyekuwa akisumbuliwa na Magonjwa ya Moyo ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Tanzania kwa kuanzisha matibabu ya moyo nchini kusaidia wagonjwa wa moyo waliopo Tanzania na nchi za jirani. Jane aligundulika kuwa na matatizo ya moyo kupitia kambi maalum ya...
  19. Burhani Khaled

    Je Kuku aina ya Malawi huatamia na kuangua vifaranga?

    Habarini ya kazi. Naomba kufahamu kwa wanaojua, hivi kuku aina ya Malawi wale wanaopatikana sana Mbeya huatamia na kuangua mayai yao ama nao ni kama chotara wa kawaida wanataga tu pasipo kuatamia mayai?
Back
Top Bottom