Ze Roberto
Member
- Oct 26, 2016
- 43
- 34
Sio vizuri dada anguAsee huyo dada angekua hai saa hii angepata soko sana.....
Churaaaaa....
Sio vizuri dada anguAsee huyo dada angekua hai saa hii angepata soko sana.....
Churaaaaa....
Kwani saa hii mna masoko ya bidhaa gani hizo?Asee huyo dada angekua hai saa hii angepata soko sana.....
Churaaaaa....
Chura wenu siku hizi ni vigodoro na mchina.Asee huyo dada angekua hai saa hii angepata soko sana.....
Churaaaaa....
Ww unatudanganya ww?Saartjie Baartman, alikufa akiwa na miaka 25 tu.
Alikuwa ana makalio makubwa sana na pia mashavu marefu ya uke (Labia majora). Wazungu walimshangaa sana na akauzwa huko uingereza kufanywa kama maonesho, akabatizwa akawa mkristo hapo Uingereza na baadae akauzwa ufaransa kama mtumwa.
Inasemekana alikufa kwa Syphillis, ugonjwa ambao kwa kipindi hicho ulikuwa unatikisa sana na inasemekana aliupata ugonjwa huo baada ya kuwa anajihusisha na biashara ya ngono ili kupata pesa ya kujikiku kwani watu wa maonesho waliacha kumsapoti tena.
Alipokuwa Ufaransa, kutokana na kufanywa maonesho ya aibu, alianza kunywa pombe kali na akawa Heavy drinker, hata katika maonesho bado alikuwa amelewa (Tilalila) hii ilimsaidia kuondoa aibu.
Alikuwa anaweza kuongea lugha nne. Ki-khoisan, kifaransa, kiingereza na ki dachi.
Tatizo ni id yako sasaDah huwa nasikitika sana nikisoma story yake huyu mama
Ni hasara kwa serikali na taifa kwa ujumla...kuwapa mikopo ya elimu watu wenye upeo kama wakoAsee huyo dada angekua hai saa hii angepata soko sana.....
Churaaaaa....
Ushindi wa Sarah huyu ni upi?Wanawake wenye jina Sarah, hupitia mapito yasio na kifani ila mwishoni hua washindi wasio na mshindani.
I' have come to take you home.... machozi yamenilenga.
mbona hiyo mpk leo ipo hapo Amsterdam,ni kwamba kuna mademu waafrika walatini mpk mablonde wanauzwa na mamaster wao,anawekwa shoo ya uchi,ukitaka kugusa unaongeza dau,ukitaka kunawa dau zaidi ukitaka gemu bao 50 euro.View attachment 331390
Kwa kuongezea tu ni kwamba wakoloni walimfanyia Kama udharirishaji tu Kwa sababu ilikuwa ukitaka kushika tako lake unalipa au kupigana nae picha hata ukitaka kufanya nae mapenzi.ila alikuja kufa akiwa Na miaka 26 tu Kwa magonjwa ya zinaa.
Ili swali hata mimi uwa najiuliza,hivi sisi kuna kitu gani mola wetu katuandalia?kwani ni kama daraja la mwisho la binaadamu na jins tunavyobagulia,popote tuendako?nami nimekwisha kutana na ubaguzi ulionifan niwe mkorofi kwenye nchi za hawa jamaa,na ilifika sehemu wakawa wananiogopa,na waliziogopa hata dred zangu kuzishika shika,nawachukia baadhi yao si wote,kuna wenye roho za utuAsante Mkuu japo huo udhalilishaji ninao usema wa Instagram kiasi fulani wazungu wamekuja tu na advanced tool ya unyanyasaji badala ya kulazimishwa mtu anaweka tu mwenyewe ,Waafrika tunadharaulika sana ,wakati mwingine huwa namuuliza Mungu hivi siku ya hukumu kama kutakua na session ya maswali na majibu ,Mtu kama Sarah ama Otta wakimuuliza Mungu ni kwanini uliamua nipitie haya sijui atakuja na majibu gani ila naamini ni muweza wa yote na sipaswi kuwa na wasiwasi nae, Waafrika kwa sehemu kubwa nadhani tumeumbiwa mateso ,
Walituvisha uwoga na tukasahau kufikiri . ..lakini sasa tumeamka . ..jambo kuu tusiwe na hasira . ..Mwenye Enzi Mungu atuongoze mileleIli swali hata mimi uwa najiuliza,hivi sisi kuna kitu gani mola wetu katuandalia?kwani ni kama daraja la mwisho la binaadamu na jins tunavyobagulia,popote tuendako?nami nimekwisha kutana na ubaguzi ulionifan niwe mkorofi kwenye nchi za hawa jamaa,na ilifika sehemu wakawa wananiogopa,na waliziogopa hata dred zangu kuzishika shika,nawachukia baadhi yao si wote,kuna wenye roho za utu