matako

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mtu atusaidie kumnyang'anya Nyahoza Kalamu

    Nahisi watako, Kichwa, Miguu, Tumbo, macho na Midomo wao hawana.. Mtu atusaidie kumnyang'anya Nyahoza Kalamu. Msajili wa Vyama vya Siasa kajigeuza mwalimu wa kiswahili na Mahakama.
  2. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Wanatuonesha maziwa na matako mtandaoni kwa kigezo cha kunadi biashara ya nguo za ndani; Serikali haiwaoni?

    Kwanza nikiri huyu dada ni chuma haswa yani ni mzuri mpaka mzuri tena Ana rangi ya chocolate, macho mazuri na shape pia mashaallah anayo. Ana biashara yake ya kusimamisha maziwa na yeye mwenyewe ndiye anayefanya kama sampuli kuvutia wateja ila sasa kukaa kifua wazi kabisa bila chochote...
  3. sergio 5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania HUU MSHANGAJI UMEELEWEKA UNA MATAKO LAINI

    Nilikuwa nauelewaga kitambo Jana nikakutana nao Niko vyombo nikaupiga sound ukaeleweka Nitegemee nini maana sijawahi toka na mishangazi anyway hauna hela ila Tu ni mkubwa matako mengi Sana na laini
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Trump: Kuna nchi zinabusu 'makalio' yangu kuomba makubaliano!

    Akiwa katika moja ya mikutano ya Republicans Trump ametumia lugha kali ya mtaani kujisifia kwamba kuna nchi zinabusu makalio yake kuamba makubaliano katika vita vya tarrifs alivyovianzisha!
  5. PSL god

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakikisha mchepuko wako ana matako makubwa utanishukuru baadae

    Jumanne njema watafutaji wenzangu, Baada ya kusaka nyau ya big booty kwa wiki 3 mfululizo hatimae nikaangukia kwa dodo lenye msambwanda wake basi baada ya kukusanya stress za wiki nzima jumapili ya juzi nikaamua kuliomba gemu basi halikukataa wala nini. Of course tulisasambuana vya kutosha...
  6. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi wanaojivunia Uzuri wa Makalio wamejisahau kwenye Usafi wa Mwili: Wazingatie Manukato baada ya kuoga

    Sina mengi sana ile wenye wapenzi vibonge tunapata hio kero ya kujirudia miongoni mwa vibonge ambao ni wapenzi wetu. Vibonge ukiona mwanaume hakutafuti mara kwa mara jiulize kama sio shoo mbovu basi ujue umekosa maksi kwenye Usafi wa mwili. Zama hizi sabuni nzuri zipi na perfume nzuri zipo...
  7. Justine Marack

    JamiiForums Tanzania Mmakonde umenikera huko Rwanda

    Nikiri tu kwamba mimi namchukia sana huyu dogo. Sababu ni moja tu, kuonesha dharau na Chili kwa mtu aliyemsaidia. Sote tunajua maisha yalivyo magumu mtaani. Sasa ukipata mtu akushike mkono inatakiwa kumpa heshima yake. Sasa huyu mjinga leo nimeangalia Interview yake akiwa Rwanda katikati ya...
  8. ANKOJEI

    JamiiForums Tanzania Sarah Baartman: Mwanamke mweusi kutoka Afrika Kusini aliyesafirishwa Ulaya kwa maonesho ya makalio makubwa

    Alitekwa miaka ya 1780 ivi huko South Africa akapelekwa ulaya kwenye madanguro, akafa, hakuzikwa ila alifanyiwa upasuaji wa ubongo, makalio yake makubwa na sehemu za siri zikawekwa maabara uko ufaransa na uingereza. Then Mandela alienda kurudisha mabaki ya mwili wake (chini ya mabishano makali...
  9. Black Butterfly

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli wanaume wanapenda makalio makubwa?

    Imesemekana kwamba wanaume wanapenda sana makalio makubwa. Je, ni kweli na kwanini? Imani maarufu Inaaminika kuwa wanawake walio na muundo wa mgongo uliopinda wanaweza kusawazisha uzito wao kwenye viuno wakati wa ujauzito. Inafaa zaidi wakati wa ujauzito na husababisha majeruhi machache ya...
Back
Top Bottom