Tumeshakuzoea kwenye keyboard wewe ni hatari.My friend, there is more to come.
Just wait and see.
Tumeshakuzoea kwenye keyboard wewe ni hatari.My friend, there is more to come.
Just wait and see.
Jibu hoja wewe!Mkuu nilishakuambia acha kusaka mabasha kinguvu hapa jukwaani, hakuna mtu anahitaji hiyo huduma. Unaona sasa unavyopanick?
Naomba wamuite na Magufuli kwa sababu amekua akiwatishia wananchi kwamba wakichagua upinzani hawatapata maendeleaoTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.
Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.
Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.
Chanzo: TBC Online
Hapa tume wanaongelea maadili ya mgombea Mimi CCM sio mgombea naweza mporomoshea mitusi yote ya nguoni Lisu na CCM wala tume haiwezi nifanya chochote .Polepole sio mgombea NEC hawamjui hata akimporomoshea mitusi ya Nguoni LisuHivi msemaji wa Chama anaongea kwa niaba ya nani?
Jibu hoja wewe!
NEC inaanza kuburuzwa na CCM iokoe jahazi linazama.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.
Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.
Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.
Chanzo: TBC Online
Mahera ni nani? Mtu yeyote ambaye anaishi kwa kulamba nyayo za wanasiasa badala ya kuegemea taaluma yake na maadili ya ofisi aliyokabidhiwa, anakuwa takataka mbele ya jamii.Haya ameyataka mwenyewe! Ngoja tusubiri tena wamemlea muda mrefu sana!
Halafu wanakanusha eti hawajawaita wakati mpaka ushahidi tunao, hao ma DED ni wanafamilia wetu na wanatupatia taarifaBaada ya wagombea urais kuapishwa DEDs wanawajibika kwa NEC. Kitendo cha Magufuli kuwaita DEDs Dodoma yeye akiwa mgombea alivunja sheria za uchaguzi kwa kiwango cha kutishia amani.
Tumeshakuzoea kwenye keyboard wewe ni hatari.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtaka mgombea urais (CHADEMA), Tundu Lissu afike katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa Septemba 29. NEC imesema baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli.
Source:
Wewe ni DED??Halafu wanakanusha eti hawajawaita wakati mpaka ushahidi tunao, hao ma DED ni wanafamilia wetu na wanatupatia taarifa
Kwa hiyo Tumani Makene akitukana ni sahihi?Hapa tume wanaongelea maadili ya mgombea Mimi CCM sio mgombea naweza mporomoshea mitusi yote ya nguoni Lisu na CCM wala tume haiwezi nifanya chochote .Polepole sio mgombea NEC hawamjui
Halafu wanakanusha eti hawajawaita wakati mpaka ushahidi tunao, hao ma DED ni wanafamilia wetu na wanatupatia taarifa
Wewe unaamini kuwa chini ya Mahera kuna Tume ya Uchaguzi au kakitengo ka CCM kanakofanyia kazi kwenye ofisi za NEC?Anapashwa kushughulikiwa huyu naona tume imechoka kumlealea!