Dole la Kati limeingia mahara pake,
Kwanza walitunga Sheria kuzuia ukawa isiundwe,wakashindwa,wakatunga Sheria hakuna vyama tofauti kupigiana debe,wakashindwa,
Wakazuia choper ya TL isiruke,wakashindwa,
Sasa wanaitumia NEC kumsumbua TL,watashindwa pia.
TL ni maraika,analindwa na Mungu,hamkuweza kumuua kwa risasi,sasa dole la Kati limewaingia vzr.
Jibuni hoja,bunge gani liliamua manunuzi ya Ndege,ujenzi wa uwanja wa chato,wekeni ushahidi.
Kwa miaka mitano,mlizuia wengine wasiongee,sasa hv,wtz wanawaonyesha hasira zao,you just can not kill an idea,mara hii tunawatimua magogoni,
 
mdahalo kwan magu amesomea kuandika IMLA na mipasho? yeye kasoma PCM na ni phd holder huyo mwenzenu kasoma HGE lakini anajiona kama hakuna mwanasheria kama yeye tanzania, cha ajabu kila anachoogea ni pumba supporters wake wanamsupport tu, huu mwaka tegemeeni QUOTE]Huu ndio upunguani wenyewe, kwani mdahalo ni kwenda kuandila IMLA?? Chuki isikutie upofu mzee. Wanafanya mdahalo nchi zilizoendelea sembuse sisi, lazima wajibu maswali yetu kama wanataka kutumikia lazima tuwahoji.
 

tatizo lenu ambao ndo upunguani mnataka kujua nan atashinda kwa kuongea sana, huu ni uchaguzi wa ngap? midahali mingap imefanyika? mbowe amekua mwenyekiti mwaka wa ngap? amefanya mdahalo na nan? rushwa yote iliotokea chadema na yeye ndo mwanasheria wa chadema amemfanyia mdahalo mwenyekiti?

mdahalo lissu hataweza kwa sababu magu sio mtu wa kujibu watu hovyo na pia yeye ni mwanasayansi, lissu anaweza onekana mshindi kwa sababu ya mapunguani kama nyie, but in real sense lissu hataweza kujibu maswali ya kisayansi ya magufuli na magufuli hataweza kujibu sana maswali ya lissu kwa sababu sio mwanasheria: ndo maaana nakwambia its useless
 
Hongera kachukue buku7 yako Lumumba.
tatizo lenu ambao ndo upunguani mnataka kujua nan atashinda kwa kuongea sana, huu ni uchaguzi wa ngap? midahali mingap imefanyika? mbowe amekua mwenyekiti mwaka wa ngap? amefanya mdahalo na nan? rushwa yote iliotokea chadema na yeye ndo mwanasheria wa chadema amemfanyia mdahalo mwenyekiti?

mdahalo lissu hataweza kwa sababu magu sio mtu wa kujibu watu hovyo na pia yeye ni mwanasayansi, lissu anaweza onekana mshindi kwa sababu ya mapunguani kama nyie, but in real sense lissu hataweza kujibu maswali ya kisayansi ya magufuli na magufuli hataweza kujibu sana maswali ya lissu kwa sababu sio mwanasheria: ndo maaana nakwambia its useless
 
Yani fikiria wewe ni shabiki wa timu fulani halafu unaambiwa kacheze mechi ya timu unayoishabikia nadhani sote tuna majibu juu ya maamuzi yatakayotokea!
 
CCM mmeanza lini siasa za kuheshimiana hasa huyu mgombea wenu asie na breki mdomoni.

Polepole Jana kasema Lisu ni msukule je ndio siasa za kuheshimiana, Polepole kasema Lissu sio mwenzetu amepewa uraia na mabeberu hata watoto wake wamepewa uraia huko hizi ndio siasa za kuheshimiana.

CCM Sasa hivi mmepata mpinzani haswa, mkimpiga ngumi ya Jicho yeye anawapiga ngumi ya sikio, mkimuuliza unaonaje naye anawauliza mnajisikiaje.
Duh! Kweli hiki ni kizazi cha ng'adu kwa ng'adu. Weka ugoko niweke chuma.
 
zile ndo sheria sister, ndo maaana wanasema fanyeni kampeni za kistarabu, ukifanya kampeni unatakiwa uwe na adabu pia! tumia lugha nzuri kunadi sera zako na pia jitahidi kushawishi wananchi kwa uwezo wako wote ukitumia staha

sasa jamaa ana mdomo mchafu alafu anajiona kama ndo anajua sheria peke yake nchi nzima, ona yanayomkuta sasa, aende kujibu nec, akimaliza akikosa uraisi kuna kesi znamsubiri, kule wananchi wanataka kumpiga mawe uku kwingine wasiojulikana wanamweka target
Vipi alikwenda?

Jiwe ndiye mwenye kauli mzuri?
 
Amezidisha uongo acha aitwe na mnaotetea uongo sawa kwa kuwa ndo manufaa yenu Ila haiwezekan umma uhadaiwe
Kwani magufol haongei uongo?


Uongo WA lissu uko wapi ikiwa mumeshindwa kujibu hoja zake kwa facts.
 
TAL anajiamini sana katika sheria sasa NEC kama ina wansheria wa kimaandazi maandazi atawasumbua sana
 
Back
Top Bottom