Natofautiana na wewe. Wanaohitajika ni wachumi wabobezi maana wana uwezo wa kuangalia kile kinachoitwa picha kubwa. Finance ni sehemu moja tuu ya uchumi.Watu wengi hasa watanzania hawajui tofauti ya Economics and Finance. Uchumi sio finance, profesion ya Finance hajulikani vzr hivyo watu hupelekea kuwapa wizara ya fedha watu wa uchumi ambao hawana utaalamu kabisa kwenye mambo ya finance....
Ukiona mtu anajiandika majina yake kwenye mawe ujue mtu huyo ni mbumbumbu hata kama ana PhDMhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba...
Katengeneza tatizo yeye na analitatua yeye mwenyeweNaona mama anaendelea kuupiga mwingi
Hapa sio Ulaya wala US kipato chetu na chao ni tofauti kabisa
Vipi kwani mpango wake wa kuinject trilion 5 umeshindikana au hizo trilion hazipo Tena hii serikali ina watu wa hovyo sana yaani wenye kujijali n akujali maslahi yao tu.Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba...