Mungu umpokee kwenye nuru ya uso wako mwana jf mpiganaji mwenzetu. Mme mfiwa, BWANA AKUTIE NGUVU, Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe-AMEN.
Jamani pole sana kwa kumpoteza mwa JF. Hili ni pigo hapa. Pole nyingi pia kwa mme uliyempoteza mke. Huu ni wakati wake mgumu. Lakini jipe moyo. Na uwe na faraja ya Mungu mwenyewe.
Pole sana Ndugu mfiwa!,
Wafiwa wote poleni ikiwa ni pamoja na wana JF. Tumeondokewa na mpiganaji mwenzetu. Ila tufahamu kuwa yeye ametutangulia tu katika hiyo safari.
Sisi tulimpenda ila mwenyezi Mungu kampenda zaidi yetu ndo maana kamwita kwake....
Bwana uilaze mahala pema peponi Amina..
Pole sana ndugu wa marehemu katika kipindi hiki kigumu..
Members nimetoka msibani muda sio mrefu.Nimeongea na Max akirudi atutangazie utaratibu mzima wa Kumuaga dada yetu ili kwa yule atakaye kuwa na nafasi tujumuike pamoja.
Bwana ametoa na bwana ametwaa,jina la Bwana libarikiwe.
Pole sana Bwana mfiwa kwa Msiba mzito uliokukumba..poleni sana na wana JF wote kwa kupotelewa na kamanda wetu tunayeamini kuwa mchango wake ulisaidia sana kwa namna moja au nyingine kuendeleza gurudumu ya kutaka kuona mwangaza katika nchi yetu. may her soul Rest In in Peace.. AMEN.....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.