Rev,Jamani mlioko nyumbani na mliokwenda msibani, mnaweza kutupa updates?
Rev,
Nipo msibani na sasa ni saa 10 alfajiri.
Mazishi yatakuwa saa 10 jioni na nitawafahamisha kadiri nitakavyopata muda wa kufanya hivyo maana natumia simu na charge imenipungukia.
Kwa niaba ya mme wa marehemu napenda kuwashukuru wana JF wengi ambao tuliungana na familia ya wafiwa na pia shukrani za kipekee ni kwa wale tulioambatana kuja huku kuusindikiza mwili wa marehemu. Pia wale walio nje waliompigia simu anawashukuru sana kwani imekuwa faraja kwake.
Zaidi nitawafahamisha pindi nikipata wasaa.