Wanasaccos wana IQ kubwa. Mabumunda ya Lumumba ndiyo zero brain akilizao zinashikiliwa na matumbo yaoUnaweza kweli ukawaelewesha wanasaccos!!?
Huo ni mtizamo wako tu.Hakuna kitu kama hicho! Uelewa wako na mleta mada ni mdogo kwenye sheria.
Unanifuatilia kama mume wako. Hebu taja hizo zingine nilizonazoSi ndiyo maana una ID kumi humu JF
Nakufuatilia sana tu mkuu!Unanifuatilia kama mume wako. Hebu taja hizo zingine nilizonazo
Lea kachanga hako kwanza kamalize kunyonyaNakufuatilia sana tu mkuu!
Eleza wewe mwenye uelewa mkubwa tukueleweHakuna kitu kama hicho! Uelewa wako na mleta mada ni mdogo kwenye sheria.
Itakua time period extension tuKuna nini anataka kufanya mpaka ajihami hivi?
Cha ajabu Ndugai ataunga mkono muswada huu.Msiogope, kila kitu kibaya kina solution!
Hapo ndipo mzalendo namba moja na rais wa wanyonge anaponishangaza. Mzalendo wa kweli angeweka sheria za kuwabana viongozi wanaotumia madaraka vibaya, mijizi na mafisadi, badala yake anaweka sheria za kuwalinda.Magu anaogopa nini? Kwa nini anatunga sheria ya kumlinda baada ya kustaafu ilhali yeye ni rais mwema wa wanyonge?
Wewe umelewaje tueleweshe au wewe ndio wale wapiga makofi wa mfalmeUelewa wenu ndiyo shida
Exactly, wanakuwa wameshakaa na kukubaliana... haya CJ hovyooooooooooooooooooooooooCha ajabu Ndugai ataunga mkono muswada huu.
Inamaana waliyomfanyia lisu ben Azory nk wasishitakiwe ? Aaah hapana haitakuwa sawa.Hili ni jambo la kuogofya sana linaelekea kutokea nchini, serikali imepeeleka mswada bungeni ili kumuongezea kinga rais na viongozi wengine wa bunge na mahakama kinga dhidi ya kushatakiwa moja kwa moja kwa kukiuka katiba ya nchi.
Huu ni mswada wa ajabu na wa kuogofya sana, mtu aliyeapa kuilinda na kuitetea katiba ya nchi inakuwaje leo anatafuta uhuru wa kuivunja katiba hiyohiyo?
Inakuaje marais wengine wote waliotangulia hawakuona kikwazo chochote kwenye kufuata katiba lakini huyu wa sasa kwake yeye katiba imekua kero kwake?
Ni nini hatma ya nchi yetu ikiwa tutaruhusu ujinga wa namna hii kuendelea kutokea? Unajua hata Adolf Hitler aliingia madarakani kwa njia halali kabisa, lakini taratibu akaanza kujiongezea mamlaka na kuwanyamazisha wote aliowaona kuwa kikwazo. Mwisho wake sote tunajua kilichotokea. Binadamu wote ni corrupt kwa viwango tofauti tofauti, hauwezi kumpa binadamu mwezako mamlaka yasiyo na mipaka, mwisho wake ni mbaya tu.
Wito wangu kwa wote mlioapa kuilinda na kuitetea katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania, wakati wenu ni sasa kufanya hivyo, the republic as we know it is under attack.
Naniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mh watumbuliwe? Kila mmoja anaangalia maslahi yake wote wamejawa na tamaa ya madaraka wanahisi kuwa wapole kutawapelekea kuwa wateule,hilo limepita bila kupingwa labda kwa nguvu ya umaa ndo njia pekee japo kichapo kitatembeaaaNi wakati sasa wa vyombo vya ulinzi na usalama kuingilia kati na kuwaweka sawa hawa watawala.
Maofisa wote wa jeshi, polisi na hata usalama wa taifa hua wanaapa kuilinda na kuitetea katiba ya nchi.
Wakati ndio huu, tukishindwa kumdhibiti huyu Magufuli atazidi kuitumbukiza nchi kwenye udikteta hatua kwa hatua, tutakuja kuamka ikiwa too late.