Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Hii nchi Ina watawala wa ajabu sana ,naona wstatawala milele ,Mungu atupe uzime tuje tuwaone wsnavyopandishwa the hague.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo maana halisi ya 'serikali ya wanyonge'. Mnyonge anyongwe akishakufa apewe haki yake ya maziko.Mabadiliko haya yakipitishwa yatazuia raia wengine kufungua mashtaka kwa maslahi ya umma wanapohisi kuna uvunjifu wa Katiba.
Hutaruhisiwa kumtetea raia mwenzako hata kama hana uwezo wa kujitetea, hutaruhusiwa kutetea nchi yako kupitia mahakama isipokuwa pale tu unapokuwa umenyanyaswa moja kwa moja, na hutaweza kutoa mchango wako kuilinda KatibaYetu. Hii inaondoa uzalendo.
Kutoruhusu mtu au taasisi kufungua mashtaka bila kuathirika moja kwa moja inakulazimisha kujitegemea na kujitetea unapokutwa na unyimwaji wa haki zako unaohitaji mahakama kuingilia.
Mabadiliko haya yatawaathiri sana wasiokuwa na uwezo na ujasiri wa kujisimamia wenyewe kisheria kama vile walemavu, watoto, wajane na makundi mengine mengi ya kijamii ambayo yamekuwa yakisaidiwa na watetezi wa haki za binadamu kwa maslahi ya umma.
Chato regime on fleekMabadiliko haya yakipitishwa yatazuia raia wengine kufungua mashtaka kwa maslahi ya umma wanapohisi kuna uvunjifu wa Katiba.
Hutaruhisiwa kumtetea raia mwenzako hata kama hana uwezo wa kujitetea, hutaruhusiwa kutetea nchi yako kupitia mahakama isipokuwa pale tu unapokuwa umenyanyaswa moja kwa moja, na hutaweza kutoa mchango wako kuilinda KatibaYetu. Hii inaondoa uzalendo.
Kutoruhusu mtu au taasisi kufungua mashtaka bila kuathirika moja kwa moja inakulazimisha kujitegemea na kujitetea unapokutwa na unyimwaji wa haki zako unaohitaji mahakama kuingilia.
Mabadiliko haya yatawaathiri sana wasiokuwa na uwezo na ujasiri wa kujisimamia wenyewe kisheria kama vile walemavu, watoto, wajane na makundi mengine mengi ya kijamii ambayo yamekuwa yakisaidiwa na watetezi wa haki za binadamu kwa maslahi ya umma.
Wakati ni sasa, wanatakiwa wapingwe nje na ndani, kwa gharama yoyote...hili la kusema wataondoka na sisi tutairudisha ni kukubali kushindwa asubuhi. Hawa wakiishajiwekea hizo kinga hamuwatoi madarakani na ndipo watakapowavuruga kuliko kawaida! Wapingwe sasaWataondoka na sisi tutairudisha nchi kwenye utawala wa sheria
hawajui nchi inakwenda wapi kwa vizazi vinavyo. Bora wangelia sasa ili waje kucheka kesho. lkn naona wanacheka Leo Ila watalia keshoUlitaka walie kama wewe.
unakaa nyagwa wewe, , unajua maana ya Uhuru wa bendera, au mpaka ukifa ndipo ukamsumbue Nyerere akujuze, ukoloni mamboleo ndio misingi ya katiba zetu hizi za kiafrika sawa mama mdogoMawazo ya kipumbavu haijawahi kutokea.
Toka lini katiba yetu ikatungwa na mabeberu??
Mnataka kutuambia kwamba Nyerere alikuwa beberu??
Katiba yetu ilitungwa wakati wake,kama una maana hiyo tukufu basi ili kuona namna ya kushughulikia kwa kujibu wa katiba yetu Nyanga'au wewe!
wanamtumia mtu.kama lisu anaingiza kipengele kwenye katiba eti uwe unaolewa mara kwa mara,Kuna beberu kakutungia katiba?
haswaa, wenyewe walishatoa jina unakuwa dikteta hata kama unajaribu kuiga ya Gaddafi wa libyaNa ili utawale zaidi ya vipindi viwili lazima unajisi katiba
acha uzwazwa si umuulize au huwa humsikii anapoongelea neno mabeberu(wanyonyaji mali) anavyowazungumzia??Kwahiyo Magufuli anashindana na mabeberu ?
kwasababu katiba zenyewe zimekaa kimtegomtego kuvunjwa na ni rahisi sana kwa kiongozi wa afrika kuvunja katiba ,hilo linawezekana sana tu ,ilihali sio.woteSio kweli, viongozi wa kiafrika wanavunja katiba zao kwa manufaa yao binafsi.
Namkumbuka marehemu Mtikila. Angekuwepo angefungua kesi mahakama ya rufaa kupinga. Anyway, alikuwa mwanasheria. Wanasheria mpo wapi? Ama sisi walala hoi tufanyeje sasa?Watu wanafanya maandalizi ya kunajisi katiba ya nchi ndiyo maana wanatunga sheria ya kuwalinda alafu mataga yanakenua kama ngiri