Sure ndio maana kuna makampuni yanakupa hela ya bure ya kubetia lakini wanakulazimisha uweke 1x2
 
Nawasalimu tu wadau wenzangu, sijapita hapa siku nyingi, natumai mapambano yanaendelea.

Ref
Kazi yoyote ili ufanikiwe lazima uwe na nidhamu, hivyo tuwe na nidhamu. Tuache ule mchezo wa kuweka makokoro ambayo mwisho yanatupeleka kwenye kipigo.

Cheza game ulizozifanyia analyse tu. Odds ziwe 2-3.

Nawatakia kazi njema.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…