Wadau mnaotumia safari com kwenye kuweka hela 1xbet leo kuna tatizo gani kwenye deposit make ni muda sasa nimetuma hela lakini haijasoma kwenye account
 
Nimeweka mafanikio ya kitu ambacho nakifanya kila siku. Sasa wewe mkundu wa mama yako unasema napotosha, nimepotosha nini hapo? **** wewe, hebu basi wewe tuwekee ukweli.
nahisi wewe utakua umebemendwa au msukule,,,,sasa turejee kwenye point..under 2 maana yake goli moja ume win,zikikifka goli mbili unakua refunded..lost inaanzia goli tatu..weka mkeka uliowin kwa goli kufika mbili na odds zikawa zilezile kwa option ya under 2
 
We ndondocha usiwe km mbwa kihande ww, tofautisha under 2 na under 2.5
 
We ndondocha usiwe km mbwa kihande ww, tofautisha under 2 na under 2.5


msitukanane sana wakuu.. hizi mambo inategemea na kampuni husika.
kuna makampuni ambayo under 2 ( mechi ikiisha na goli 2 wana kurefund na kuna ambao unakuwa ume lost) so nadhani inategemea kila mmoja wenu anatumia kampuni gani na experience yake.
 
AMA KWELI ASHABOKO UMEAMUA KUTETEA UJINGA WAKO
 
msitukanane sana wakuu.. hizi mambo inategemea na kampuni husika.
kuna makampuni ambayo under 2 ( mechi ikiisha na goli 2 wana kurefund na kuna ambao unakuwa ume lost) so nadhani inategemea kila mmoja wenu anatumia kampuni gani na experience yake.
kampuni gani ambayo yakifika magoli mawili kamili unakua umelost kwa option ya under 2..?
 
Mkuu kwanza acha jazba na matusi elekeza kwa lugha ya staha utaeleweka zaidi

Betpawa hawana option ya under 1 wala 2 nk
Wana option ya under 1.5 au 2.5 nk

Ungetoa ufafanuzi unatumia kampuni gani maana kampuni zinatofautiana option

1xbet kwenye Total ukibet under 2 na goli zikiwa 2 unakua refunded, na kwenye 3ways ukibet under 2 na goli zikiwa mbili unakua umelost

Tupe uzoefu wako na kampuni unayobetia
 
Kibongo bongo sijawahi kukutana na game yenye option ya under 2. Hii unayosema wewe mkuu ni under 2.5; nimependa akili uliyotumia kumpiga muhindi, ngoja na mimi nijaribu labda hela ya kubadilisha mboga nitakuwa siikosi.
 
Kibongo bongo sijawahi kukutana na game yenye option ya under 2. Hii unayosema wewe mkuu ni under 2.5; nimependa akili uliyotumia kumpiga muhindi, ngoja na mimi nijaribu labda hela ya kubadilisha mboga nitakuwa siikosi.
Mkuu hii option ni tamu sana tatizo lake odd kiduchu sana inabidi uweke kamkeka karefu kufikia odd 2
Na kampuni nyingi za kibongo huwa hawaiweki
Na wakiiweka ujue ni game ambayo inauwzekano wa magoli mengi sana
 
Mkuu hii option ni tamu sana tatizo lake odd kiduchu sana inabidi uweke kamkeka karefu kufikia odd 2
Na kampuni nyingi za kibongo huwa hawaiweki
Na wakiiweka ujue ni game ambayo inauwzekano wa magoli mengi sana
Tamu, lakini roho inakuwa juu juu. Kaoption kengine katamu ni over 0.5 lakini sasa kupata angalau odd ya 1.50 mkeka lazima uwe kama treni.
 
Kuna mdau ambaye amefanikiwa kuweka pesa kwenye 1xbet kwa kutumia mpesa MasterCard? Kama yupo naomba anifahamishe alivyofanya,aksante
 
Kuna mdau ambaye amefanikiwa kuweka pesa kwenye 1xbet kwa kutumia mpesa MasterCard? Kama yupo naomba anifahamishe alivyofanya,aksante
Achana na hiyo mkuu itakusumbua kutoa
Safaricom au. Bitcoins ndio suluhisho
 
Shukran kiongozi, Line langu nimeipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…