TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

Sasa huo uhakika ni wa kwenye uzi wa fantasy, mie nikajua umewahi kuniinamisha na kunipumulia mgongoni.

Em kaoneshe hiyo comment niliyosema nimewahi kupigwa mtungo? Yess natetea na kuwakubali gays.

Waja wa JF mmevurugwaa eeeh? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Zilipendwa mejii ume anza vurugu!
 
Ndiyo ujuwe hata wauaji wa watanganyika unao watetea ipo siku nao watafukiwa chini ya ardhi.

Tenda wema na uwe na utu.. ukijua ya kwamba ipo siku utaiacha hii Dunia.. je utakumbukwa kwa lipi? Kuwatetea wauaji na kuunga mkono wadharimu wa wanyonge?
Hata waliochoma mali na kupora nao watakufa na kuchomwa
 
Mbona naskia naye alikua mtu wa...

Anyway niishie hapo hapo
Walimtupa badae ni genge moja na kina masanja.. ila huyu alipokata waya wajuba wakamtelekeza si unajua cover iki fyuuu. Kazi ya informer ya kiwaki sana kama mvua za misimu ndio kilichomkuta kijana wetu alie danja kwa maumivu makali kabisa ya mapenzi
 
Afadhali ameenda zake. Mungu Amemuepusha na machafuko yanayokuja kuikumba Tanzania. Kifo cha ghafla. Kifo cha amani. Bila mateso na mahangaiko. Apumzike salama ๐Ÿ™
Nani kakuambia hajateseka ?
Jamaa kuna siku, nimekuta kwenye SGR kama kachanganyikiwa, huyu mtu mda mwingi alikuwa ni mwenye udhuni . Kafa na mateso na misiba kifuani pake
 
Nashukuru Mkuu, mapenzi yanaumiza kinoma na sijui kwann ukiwa na mapenzi ya dhati lazima upigwe na kitu chenye ncha kali.

Binafsi sijisifii Ila ukweli n kwamba nna list ya wanawake wachache sana niliowahi kuwa nao kwenye serious relationship Na wote waliniumiza.
Ukweli nimerudi nyuma sanaaa kwenye mapenzi, na hili la kifo cha huyu jamaa. Imeniuma sana dogo alikuwa anatamba na demu wake ambae kamtupa, night anakuja nae pale movie M.city yaani.. alafu leo hii huyo huyo alie kuwa anatamba nae ndio kasababisha avute kamba kindezi kabisa.. hiii bagoshaaa, nitaendelea kununua tu
 
Mmh ila wanawake sisi Mungu anatuona
Haya kabaki na watt wadogo hawana baba
Nonsense
Wachungaji wa kisasa ni tatizo na kwa sehemu wame ua ndoa ya huyu dogo. Huyo ex wife toka emekuwa mshirika wa Tony ... Dogo akazidi nyong'onyezwaa uki plus wana walimtupa... Dogo kafa na maumivu makali sana.. Leo imekuwa siku ya hovyo maana kipindi yupo na hicho kidemu mala kibao dogo alikuwa anakuja nako cinema pale twapiga story. dah inauma sanaa
 
Back
Top Bottom