cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,793
- 189,247
Nimekosa sanaa!!Haya kalale sasa mtoto mzuri, usiwe unatukana wakubwa wako
Nimekosa sanaa!!Haya kalale sasa mtoto mzuri, usiwe unatukana wakubwa wako
Nimekusamehe mtoto mzuri, usirudie tena. after D9 nitaku PM nikupe zawadi yakoNimekosa sanaa!!
Siku ya kwanza kusikia hii taarifa nilisema moyoni huyu kauwawa,na ndugu zake waneonyesha ana majeraha na wameenda police kuna mchezo kachezewa tena na watubwa karibu itajulikanaTaarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.
Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.
Global TV imezungumza na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.
View attachment 3502851
Source: Global TV Online
Kwani nasema uongo?Mejiii acha zako bas, 😂😂😂😂
Sijuiii mejiii.Kwani nasema uongo?
Risky 😂Sijuiii mejiii.
😂😂😂😂Risky 😂
Huyu jamaa nae asije akawa anatafuta attention tu
Ukiwasikia saaa wanavyojitapa: tutakuvunja miguu.Taarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.
Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.
Global TV imezungumza na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.
View attachment 3502851
Source: Global TV Online
bora uwe kichaa tujue mojaHakuna mtu yuko USELESS wewe, tatizo mko material oriented....Binadamu yoyote ana maana - itategemea unaangalia katika angle ipi.
Unafikiri wenye ndugu vichaa wanatamani WAFE sio??
Hili sijasikia likijadiriwa sehemu yoyoteKama dr anasema alifikishwa akiwa amefariki hao waliompeleka ni nani na walimtoa wapi?
Huwez tenganisha ndoa na mwanamke,Nisome kwa utuo afu ndo utaelewa, matatizo ya kukurupuka ndio haya.
Poleeeee.
habari ya leo mama D