shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,794
- 13,474
Huto twa kijijini ndo tutakufanya ufe mapema tukishaujua mji!Itabidi nirudi nyumban mambo ya mjini magumu
Komaa na hao hao makurumbembe!
Huto twa kijijini ndo tutakufanya ufe mapema tukishaujua mji!Itabidi nirudi nyumban mambo ya mjini magumu
YaaaaaaaniPole kwa familia, hii taarifa nataka kuisikia kwa manyonyo imemtokea.
NaamBora angefia kimara tatehe 29 taifa lingemkymbuka one kaondoka kizembe sana
Wanaumiza sanaHuto twa kijijini ndo tutakufanya ufe mapema tukishaujua mji!
Komaa na hao hao makurumbembe!
Kumbe ni mwanaccm poa tu akafie mbali hukoTaarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.
Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.
Global TV imezungumza na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.
View attachment 3502851
Source: Global TV Online
Na wewe waumize iwe Ngoma dro🤣🤣🤣🤣Wanaumiza sana
Huwa nikimpata wa kumuumiza naumiza kweli kweliNa wewe waumize iwe Ngoma dro🤣🤣🤣🤣
Ndo maisha yalivyo!Huwa nikimpata wa kumuumiza naumiza kweli kweli
Ina sikitisha sana, ndio maana uli badilika huko nyuma.Yan Mkuu, mm mwnyw kuna mahali nilikuwa nalia sana ila nashukuru Mungu nimebaki salama baada ya kukubali kuwa hakuwa kwa ajili yangu.
Yn ukiona kwenye mapenzi unatumia nguvu nyingi kulinda penzi bc ujue hapo ndipo kifo chako kilipopangwa.
Ana impacts gani huyo kaka?Au ndo wamemuua ili kubadilisha upepo?
Aaagh! Pombe hizi.. Wacha nikajilalie.